ItakuwajeWatanzania wote tukiwa na mzuka wa Magufuli?
NAPENDA sana jinsi Dk. John Magufuli, Rais mpya alivyaonza kazi kwa nguvu.
Njonjo Mfaume
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM BlogRAIS MAGUFULI AWASHUKURU VIONGOZI WA DINI NA WATANZANIA WOTE
Ametoa shukrani hizo katika Misa takatifu kwenye Kanisa Katoliki Parokia ya Bikira Maria Imaculata Chamwino Dodoma
Akiwa Kanisani hapo, Rais Magufuli ameendesha harambee ya kuchangia upanuzi wa Kanisa hilo na kufanikiwa kuchangisha zaidi ya Tsh. Mil 17 ikiwemo Tsh. Mil 10 aliyochangia yeye mwenyewe na mifuko 76 ya saruji, ametaka upanuzi wa kanisa uanze kesho.
10 years ago
Habarileo13 Jul
JK: Tumetoka Dodoma tukiwa imara zaidi
MWENYEKITI wa Taifa wa CCM, Rais Jakaya Kikwete amesema chama hicho kimetoka wamoja ndani ya Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) na waliodhani kitasambaratikia hapo, wataula wa chuya.
9 years ago
Bongo510 Nov
Mimi na Aika tulianza kuishi tukiwa na godoro tu — Nahreel
Member wa kundi la Navy Kenzo na mtayarishaji wa muziki, Nahreel amesimulia maisha na mpenzi wake Aika wanayeunda naye kundi hilo.
Kabla ya kuanzisha kundi la Navy Kenzo, wawili hao walikuwa wakiunda kundi la Pah One na wasanii wengine wawili.
“Mimi na Aika tumekutana tukiwa India masomoni, wote tulikuwa tunasomeshwa na wazazi wetu, tumepitia mambo mengi sana tukamaliza shule na tukaja Tanzania,” Nahreel alikiambia kipindi cha Mkasi cha EATV.
“Mimi nikawa nimeajiriwa na Aika akawa...
9 years ago
Bongo Movies22 Dec
Filamu ya ‘Going Bongo’ Mzuka
ILE Filamu kubwa ya Going Bongo imepokelewa vizuri na wapenzi wa filamu kwa kukusanya watu wengi wakiwemo wasanii nyota kutoka viunga vya Bongo sinema hiyo ambayo imerekodiwa katika kiwango cha kimataifa ilirushwa katika ukumbi wa sinema wa Cinemax Mlimani City na kuteka watazamaji.
Ernest akiwa katika moja ya scene ya filamu ya Going bongo
Mmoja wa wasanii nyota katika vichekesho Masanja Mkandamizaji alisifia ubora wa sinema hiyo na kusema sasa Tanzania imepiga hatua katika utengenezaji wa...
5 years ago
MichuziRais Magufuli awashukuru Viongozi wa Dini na Watanzania wote kwa kuomba dhidi ya Corona
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt....
9 years ago
Bongo508 Oct
Mimi na Nahreel ni kama Timbaland na Aaliyah tukiwa pamoja — Vanessa Mdee
11 years ago
Mwananchi18 Jun
Kiungo Pogba atakiwa kutuliza mzuka
11 years ago
GPLMWIGULU, RIDHIWANI KIKWETE MZUKA 100%
11 years ago
Mwananchi10 Dec
Kili Stars ‘full’ mzuka kwa Kenya