Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ItakuwajeWatanzania wote tukiwa na mzuka wa Magufuli?

NAPENDA sana jinsi Dk. John Magufuli, Rais mpya alivyaonza kazi kwa nguvu.

Njonjo Mfaume

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

RAIS MAGUFULI AWASHUKURU VIONGOZI WA DINI NA WATANZANIA WOTE

Rais Dkt.Magufuli amewashukuru Viongozi wa Dini na Watanzania wote kwa kuitikia wito wa kumuomba mwenyezi Mungu aepushe Corona.
Ametoa shukrani hizo katika Misa takatifu kwenye Kanisa Katoliki Parokia ya Bikira Maria Imaculata Chamwino Dodoma


Akiwa Kanisani hapo, Rais Magufuli ameendesha harambee ya kuchangia upanuzi wa Kanisa hilo na kufanikiwa kuchangisha zaidi ya Tsh. Mil 17 ikiwemo Tsh. Mil 10 aliyochangia yeye mwenyewe na mifuko 76 ya saruji, ametaka upanuzi wa kanisa uanze kesho.

 

10 years ago

Habarileo

JK: Tumetoka Dodoma tukiwa imara zaidi

Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akihutubia mkutano mkuu wa chama hicho.MWENYEKITI wa Taifa wa CCM, Rais Jakaya Kikwete amesema chama hicho kimetoka wamoja ndani ya Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) na waliodhani kitasambaratikia hapo, wataula wa chuya.

 

9 years ago

Bongo5

Mimi na Aika tulianza kuishi tukiwa na godoro tu — Nahreel

12224533_1614153525517612_411958139_n

Member wa kundi la Navy Kenzo na mtayarishaji wa muziki, Nahreel amesimulia maisha na mpenzi wake Aika wanayeunda naye kundi hilo.

12224533_1614153525517612_411958139_n

Kabla ya kuanzisha kundi la Navy Kenzo, wawili hao walikuwa wakiunda kundi la Pah One na wasanii wengine wawili.

“Mimi na Aika tumekutana tukiwa India masomoni, wote tulikuwa tunasomeshwa na wazazi wetu, tumepitia mambo mengi sana tukamaliza shule na tukaja Tanzania,” Nahreel alikiambia kipindi cha Mkasi cha EATV.

“Mimi nikawa nimeajiriwa na Aika akawa...

 

9 years ago

Bongo Movies

Filamu ya ‘Going Bongo’ Mzuka

ILE Filamu kubwa ya Going Bongo imepokelewa vizuri na wapenzi wa filamu kwa kukusanya watu wengi wakiwemo wasanii nyota kutoka viunga vya Bongo sinema hiyo ambayo imerekodiwa katika kiwango cha kimataifa ilirushwa katika ukumbi wa sinema wa Cinemax Mlimani City na kuteka watazamaji.

Ernest akiwa katika moja ya scene ya filamu ya Going bongo

Ernest akiwa katika moja ya scene ya filamu ya Going bongo

Mmoja wa wasanii nyota katika vichekesho Masanja Mkandamizaji alisifia ubora wa sinema hiyo na kusema sasa Tanzania imepiga hatua katika utengenezaji wa...

 

5 years ago

Michuzi

Rais Magufuli awashukuru Viongozi wa Dini na Watanzania wote kwa kuomba dhidi ya Corona

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza wakati alipokuwa akiendesha Harambee ya Papo kwa papo kwa ajili ya upanuzi wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mtakatifu Bikira Maria Imaculata Chamwino Ikulu mkoani Dodoma leo tarehe 7 Juni 2020. Katika Harambee hiyo jumla ya Shilingi Milioni 17 zilipatikana pamoja na mifuko 76 ya Saruji na Mhe. Rais Magufuli alichanga peke yake kiasi cha Shilingi Milioni 10.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt....

 

9 years ago

Bongo5

Mimi na Nahreel ni kama Timbaland na Aaliyah tukiwa pamoja — Vanessa Mdee

Jumatatu ya Oct. 12 ndio siku ambayo hit maker wa ‘No Body But Me’ Vanessa Mdee ataachia single yake mpya ‘Never Ever’. Kwa mara nyingine katika wimbo huo mpya Vee Money amefanya kazi na producer Nahreel wa The Industry, ambaye alifanya naye kazi zake zilizopita na hata zingine ambazo bado hazijatoka. Vee ametoa sababu za […]

 

11 years ago

Mwananchi

Kiungo Pogba atakiwa kutuliza mzuka

Kiungo wa Ufaransa na klabu ya Juventus, Paul Pogba ametakiwa kuwa mtulivu katika michezo yote iliyobaki ya fainali za Kombe la Dunia nchini Brazil.

 

11 years ago

GPL

MWIGULU, RIDHIWANI KIKWETE MZUKA 100%

Stori: Gladness Mallya KWELI raha jipe mwenyewe! Usemi huo ulidhihirika wikiendi iliyopita ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kwenye Tamasha la Usiku wa Matumaini (Night of Hope) ambapo wabunge mashabiki wa Yanga walikipiga na wabunge mashabiki wa Simba na kutia fora kwa kushangiliwa wakati wa mtanange huo. Katika mchuano huo, wabunge wa Yanga waliwagaragaza wa Simba kwa mabao 3-2 hali iliyosababisha uwanja ulipuke kwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Kili Stars ‘full’ mzuka kwa Kenya

Kikosi cha Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’ kinashuka kwenye Uwanja wa Kenyatta mjini Machakos leo kwa lengo moja tu la kusaka ushindi dhidi ya wenyeji Kenya katika nusu fainali ya kwanza ya Kombe la Chalenji.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani