Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK: Tumetoka Dodoma tukiwa imara zaidi

Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akihutubia mkutano mkuu wa chama hicho.MWENYEKITI wa Taifa wa CCM, Rais Jakaya Kikwete amesema chama hicho kimetoka wamoja ndani ya Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) na waliodhani kitasambaratikia hapo, wataula wa chuya.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Linah adai penzi lake na Mganda ni imara zaidi ya saruji

Hitmaker wa Ole Temba, Linah Sanga amesema uhusiano wake na raia wa Uganda, Williams Bugeme ni imara zaidi ya vile wengi wanavyodhani. Linah ameiambia Bongo5 kuwa uvumi kuwa tayari wameachana na mpenzi wake huyo, umetokana na kuonekana kutokuwa naye karibu kama zamani. “Mimi nashangaa watu wanataka nini?” amehoji. “Watu wanafikiri mimi na mpenzi wangu tunaweza […]

 

9 years ago

Raia Mwema

ItakuwajeWatanzania wote tukiwa na mzuka wa Magufuli?

NAPENDA sana jinsi Dk. John Magufuli, Rais mpya alivyaonza kazi kwa nguvu.

Njonjo Mfaume

 

9 years ago

Bongo5

Mimi na Aika tulianza kuishi tukiwa na godoro tu — Nahreel

12224533_1614153525517612_411958139_n

Member wa kundi la Navy Kenzo na mtayarishaji wa muziki, Nahreel amesimulia maisha na mpenzi wake Aika wanayeunda naye kundi hilo.

12224533_1614153525517612_411958139_n

Kabla ya kuanzisha kundi la Navy Kenzo, wawili hao walikuwa wakiunda kundi la Pah One na wasanii wengine wawili.

“Mimi na Aika tumekutana tukiwa India masomoni, wote tulikuwa tunasomeshwa na wazazi wetu, tumepitia mambo mengi sana tukamaliza shule na tukaja Tanzania,” Nahreel alikiambia kipindi cha Mkasi cha EATV.

“Mimi nikawa nimeajiriwa na Aika akawa...

 

9 years ago

Bongo5

Mimi na Nahreel ni kama Timbaland na Aaliyah tukiwa pamoja — Vanessa Mdee

Jumatatu ya Oct. 12 ndio siku ambayo hit maker wa ‘No Body But Me’ Vanessa Mdee ataachia single yake mpya ‘Never Ever’. Kwa mara nyingine katika wimbo huo mpya Vee Money amefanya kazi na producer Nahreel wa The Industry, ambaye alifanya naye kazi zake zilizopita na hata zingine ambazo bado hazijatoka. Vee ametoa sababu za […]

 

10 years ago

Mwananchi

Kwa hili la Katiba, tumetoka kwenye mwanga tunaelekea gizani

Tukio la kushambuliwa kwa mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Sinde Warioba ni kiashiria tosha kuwa nchi iko katika hali tete na inaweza kupasuka siku si nyingi.

 

11 years ago

Dewji Blog

Tumetoka Mbali: Wazo La ‘Mjengwablog’ Lilizaliwa Kwenye Mazungumzo Haya Na Muhidin Michuzi…!

1 (2)

Ndugu zangu,

Septemba kumi, 2006 nilikutana na ndugu na kaka yangu Muhidin Issa Michuzi pale Food World Restaurant, Maktaba Street, Dar es Salaam.

Kaka Michuzi na mimi tulizungumza kwa kirefu juu ya masuala ya kublogu. Wakati huo blogu ilikuwa ni kitu kipya sana hapa nyumbani. Na hakika hapa nyumbani alianza Muhidin Michuzi kuwa na blogu ya habari na picha. Mimi ni kati ya wachache tuliofuatia kwa hapa nyumbani.

Kwenye mazungumzo yetu pale Food World, nilimwambia Michuzi niwe nachangia...

 

11 years ago

Michuzi

Tumetoka Mbali: Wazo La 'Mjengwablog' Lilizaliwa Kwenye Mazungumzo Haya Na Ankal Muhidin Michuzi.

Ankal akiwa na Mdau Maggid Mjengwa.
Ndugu zangu, 
Septemba kumi, 2006 nilikutana na ndugu na kaka yangu Muhidin Issa Michuzi pale Food World Restaurant, Maktaba Street, Dar es Salaam.
Kaka Michuzi na mimi tulizungumza kwa kirefu juu ya masuala ya kublogu. Wakati huo blogu ilikuwa ni kitu kipya sana hapa nyumbani. Na hakika hapa nyumbani alianza Muhidin Michuzi kuwa na blogu ya habari na picha. Mimi ni kati ya wachache tuliofuatia kwa hapa nyumbani.
Kwenye mazungumzo yetu pale Food...

 

5 years ago

CCM Blog

MJI WA SERIKALI DODOMA UTAKAPOKMILIKA UTAGHARIMU ZAIDI YA TRILIONI 10


Eneo: Jiji la Dodoma imetenga eneo la mji wa Serikali ambao upo katika Kata ya Ihumwa kilomita 17 kutoka katikati ya Mji. Eneo hili lina ukubwa wa Hekta 617.15 sawa na Ekari 1,542.88.Mipaka: Mji wa Serikali kwa upande wa  mangaribi unapakana na kambi ya Jeshi ya Ihumwa, Kaskazini-Mashariki unapakana na kata ya Mtumba na upande wa Kusini unapakana na barabara kuu iendayo Dar es salaam.Mgawanyo: Mji wa Serikali umegawanyika katika maeneo tofauti kama ifuatavyo:-Wizara za Serikali, Ofisi za...

 

5 years ago

CCM Blog

NDEGE ZA ABIRIA ZAIDI YA 200 KUTUA KIWANJA CHA DODOMA

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe, akitoa maelekezo kwa Meneja wa Wakala wa Barabara Nchini (TANROADS) Mkoa wa Dodoma, Mhandisi Leonard Chimagu, Meneja wa Kiwanja cha Ndege cha Dodoma, Bertha Bankwa (kulia), wakati Waziri huyo alipokagua maendeleo ya upanuzi wa kiwanja hicho mkoani Dodoma.

Dodoma, Tanzania
Kukamilika kwa upanuzi wa mita 250 katika kiwanja cha ndege cha Dodoma kutaruhusu ndege kubwa zenye uwezo wa kubeba abiria zaidi ya 200 aina ya Airbus kuruka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani