JK: Tumetoka Dodoma tukiwa imara zaidi
MWENYEKITI wa Taifa wa CCM, Rais Jakaya Kikwete amesema chama hicho kimetoka wamoja ndani ya Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) na waliodhani kitasambaratikia hapo, wataula wa chuya.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo507 Oct
Linah adai penzi lake na Mganda ni imara zaidi ya saruji
9 years ago
Raia Mwema20 Nov
ItakuwajeWatanzania wote tukiwa na mzuka wa Magufuli?
NAPENDA sana jinsi Dk. John Magufuli, Rais mpya alivyaonza kazi kwa nguvu.
Njonjo Mfaume
9 years ago
Bongo510 Nov
Mimi na Aika tulianza kuishi tukiwa na godoro tu — Nahreel
![12224533_1614153525517612_411958139_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12224533_1614153525517612_411958139_n-300x194.jpg)
Member wa kundi la Navy Kenzo na mtayarishaji wa muziki, Nahreel amesimulia maisha na mpenzi wake Aika wanayeunda naye kundi hilo.
Kabla ya kuanzisha kundi la Navy Kenzo, wawili hao walikuwa wakiunda kundi la Pah One na wasanii wengine wawili.
“Mimi na Aika tumekutana tukiwa India masomoni, wote tulikuwa tunasomeshwa na wazazi wetu, tumepitia mambo mengi sana tukamaliza shule na tukaja Tanzania,” Nahreel alikiambia kipindi cha Mkasi cha EATV.
“Mimi nikawa nimeajiriwa na Aika akawa...
9 years ago
Bongo508 Oct
Mimi na Nahreel ni kama Timbaland na Aaliyah tukiwa pamoja — Vanessa Mdee
10 years ago
Mwananchi05 Nov
Kwa hili la Katiba, tumetoka kwenye mwanga tunaelekea gizani
11 years ago
Dewji Blog18 Jun
Tumetoka Mbali: Wazo La ‘Mjengwablog’ Lilizaliwa Kwenye Mazungumzo Haya Na Muhidin Michuzi…!
Ndugu zangu,
Septemba kumi, 2006 nilikutana na ndugu na kaka yangu Muhidin Issa Michuzi pale Food World Restaurant, Maktaba Street, Dar es Salaam.
Kaka Michuzi na mimi tulizungumza kwa kirefu juu ya masuala ya kublogu. Wakati huo blogu ilikuwa ni kitu kipya sana hapa nyumbani. Na hakika hapa nyumbani alianza Muhidin Michuzi kuwa na blogu ya habari na picha. Mimi ni kati ya wachache tuliofuatia kwa hapa nyumbani.
Kwenye mazungumzo yetu pale Food World, nilimwambia Michuzi niwe nachangia...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ivoOCQoozvU/U6FG7cj-GiI/AAAAAAAFraE/5qAI-EybXxk/s72-c/1.jpg)
Tumetoka Mbali: Wazo La 'Mjengwablog' Lilizaliwa Kwenye Mazungumzo Haya Na Ankal Muhidin Michuzi.
![](http://3.bp.blogspot.com/-ivoOCQoozvU/U6FG7cj-GiI/AAAAAAAFraE/5qAI-EybXxk/s1600/1.jpg)
Ndugu zangu,
Septemba kumi, 2006 nilikutana na ndugu na kaka yangu Muhidin Issa Michuzi pale Food World Restaurant, Maktaba Street, Dar es Salaam.
Kaka Michuzi na mimi tulizungumza kwa kirefu juu ya masuala ya kublogu. Wakati huo blogu ilikuwa ni kitu kipya sana hapa nyumbani. Na hakika hapa nyumbani alianza Muhidin Michuzi kuwa na blogu ya habari na picha. Mimi ni kati ya wachache tuliofuatia kwa hapa nyumbani.
Kwenye mazungumzo yetu pale Food...
5 years ago
CCM Blog26 May
MJI WA SERIKALI DODOMA UTAKAPOKMILIKA UTAGHARIMU ZAIDI YA TRILIONI 10
Eneo: Jiji la Dodoma imetenga eneo la mji wa Serikali ambao upo katika Kata ya Ihumwa kilomita 17 kutoka katikati ya Mji. Eneo hili lina ukubwa wa Hekta 617.15 sawa na Ekari 1,542.88.Mipaka: Mji wa Serikali kwa upande wa mangaribi unapakana na kambi ya Jeshi ya Ihumwa, Kaskazini-Mashariki unapakana na kata ya Mtumba na upande wa Kusini unapakana na barabara kuu iendayo Dar es salaam.Mgawanyo: Mji wa Serikali umegawanyika katika maeneo tofauti kama ifuatavyo:-Wizara za Serikali, Ofisi za...
5 years ago
CCM BlogNDEGE ZA ABIRIA ZAIDI YA 200 KUTUA KIWANJA CHA DODOMA
Dodoma, Tanzania
Kukamilika kwa upanuzi wa mita 250 katika kiwanja cha ndege cha Dodoma kutaruhusu ndege kubwa zenye uwezo wa kubeba abiria zaidi ya 200 aina ya Airbus kuruka...