Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kwa hili la Katiba, tumetoka kwenye mwanga tunaelekea gizani

Tukio la kushambuliwa kwa mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Sinde Warioba ni kiashiria tosha kuwa nchi iko katika hali tete na inaweza kupasuka siku si nyingi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

HIVI KUNA HILA GANI KWENYE HILI LA KATIBA MPYA?

Aliyewahi kuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samweli Sita akisalimiana na rais Jakaya Mrisho Kikwete.
MWAKA huu unaingia katika historia ya nchi yetu moja kwa moja pasipo maswali. Tofauti na wakati mwingine, mwaka huu una uwezekano wa kupitisha matukio makubwa mawili, ambayo kwa namna yoyote, yanaweza kuharibu au kuimarisha taifa letu lenye umri wa miaka 50 tangu lipate uhuru wake. Tukio moja tumelizoea...

 

11 years ago

Dewji Blog

Tumetoka Mbali: Wazo La ‘Mjengwablog’ Lilizaliwa Kwenye Mazungumzo Haya Na Muhidin Michuzi…!

1 (2)

Ndugu zangu,

Septemba kumi, 2006 nilikutana na ndugu na kaka yangu Muhidin Issa Michuzi pale Food World Restaurant, Maktaba Street, Dar es Salaam.

Kaka Michuzi na mimi tulizungumza kwa kirefu juu ya masuala ya kublogu. Wakati huo blogu ilikuwa ni kitu kipya sana hapa nyumbani. Na hakika hapa nyumbani alianza Muhidin Michuzi kuwa na blogu ya habari na picha. Mimi ni kati ya wachache tuliofuatia kwa hapa nyumbani.

Kwenye mazungumzo yetu pale Food World, nilimwambia Michuzi niwe nachangia...

 

11 years ago

Michuzi

Tumetoka Mbali: Wazo La 'Mjengwablog' Lilizaliwa Kwenye Mazungumzo Haya Na Ankal Muhidin Michuzi.

Ankal akiwa na Mdau Maggid Mjengwa.
Ndugu zangu, 
Septemba kumi, 2006 nilikutana na ndugu na kaka yangu Muhidin Issa Michuzi pale Food World Restaurant, Maktaba Street, Dar es Salaam.
Kaka Michuzi na mimi tulizungumza kwa kirefu juu ya masuala ya kublogu. Wakati huo blogu ilikuwa ni kitu kipya sana hapa nyumbani. Na hakika hapa nyumbani alianza Muhidin Michuzi kuwa na blogu ya habari na picha. Mimi ni kati ya wachache tuliofuatia kwa hapa nyumbani.
Kwenye mazungumzo yetu pale Food...

 

11 years ago

Mwananchi

Kwa Bunge hili la Katiba, CCM wameshapiga bao

>Mchakato wa Mabadiliko ya Katiba umeingia katika sura mpya ambapo uteuzi wa wajumbe 201 wa Bunge la Katiba umekamilika.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kwa Bunge hili na hoja hizi, tutapata katiba inayofaa?

MWANICHEFUA naapa! Mmeenda  Dodoma tukiwa taifa moja, lakini kwa   hisia zenu hizi zilizokosa uzalendo mnaweza mkarudi mkatuachia nchi iliyo vipande vipande. Nasema hata yale ya posho mie wacha tu nikae...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kukatika kwa umeme Bangladesh gizani

Bangladesh imekumbwa na tatizo kubwa la ukosefu wa umeme baada ya umeme kukatika nchi nzima

 

11 years ago

Habarileo

Bunge la Katiba hili

Kaimu Katibu Mkuu Kiongozi, Dk Florens Turuka akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana wakati wa kutangaza majina ya Wajumbe wa Bunge la Katiba jana. (Picha na Mroki Mroki).RAIS Jakaya Kikwete ametangaza wajumbe 201 wa Bunge Maalumu la Katiba kwa mujibu wa sheria, huku akiwajumuisha watu mbalimbali wenye umaarufu katika jamii.

 

9 years ago

Mtanzania

Nchi gizani kwa saa 12 wiki nzima

tanekoNA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM

SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limetangaza kuanza kukata umeme leo kwa mikoa inayotumia gridi ya taifa kwa   wiki moja kwa  saa 12 kila siku.

Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco,   Felchesmi Mramba alitaja baadhi ya mikoa ambayo itakumbwa na tatizo hiyo kuwa ni   Dar es Salaam, Mbeya,  Lindi, Mwara, Mwanza, Arusha na mingine.

Alikuwa  akizungumza na wandishi wa habari  jana kwenye ziara   ya kutembelea mitambo ya Kinyerezi na Ubungo,  Dar es Salaam.

“Umeme...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani