Linah adai penzi lake na Mganda ni imara zaidi ya saruji
Hitmaker wa Ole Temba, Linah Sanga amesema uhusiano wake na raia wa Uganda, Williams Bugeme ni imara zaidi ya vile wengi wanavyodhani. Linah ameiambia Bongo5 kuwa uvumi kuwa tayari wameachana na mpenzi wake huyo, umetokana na kuonekana kutokuwa naye karibu kama zamani. “Mimi nashangaa watu wanataka nini?” amehoji. “Watu wanafikiri mimi na mpenzi wangu tunaweza […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi21 Jan
Mganda Simba adai chake Dar
10 years ago
Habarileo13 Jul
JK: Tumetoka Dodoma tukiwa imara zaidi
MWENYEKITI wa Taifa wa CCM, Rais Jakaya Kikwete amesema chama hicho kimetoka wamoja ndani ya Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) na waliodhani kitasambaratikia hapo, wataula wa chuya.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cGEsfZahF3s6kqtPkHzqYoXXqs3pH0zLq9*JsXXMxYjDY33qokYDzIcqj1RQR01Lyrjh7RhjexO2iQ3xvCZLZddy2F-hqsxe/Wemaa.jpg)
PENZI LAKE NA WEMA ,KUMBE DIMPOZ BOYA TU
10 years ago
Bongo507 Oct
Linah adai $30,000 walizompa Godfather kushoot video ya ‘Ole Themba’ zilimuuma
10 years ago
Mwananchi22 Feb
JACK PENTEZEL: Awajia juu wafitini wa penzi lake
9 years ago
Bongo Movies02 Nov
Aunt Ezekiel Awapa Makavu Wanaoponda Penzi Lake na Baba Cookie
Staa wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel ‘mama Cookie’ ambaye amezaa na mcheza shoo wa msanii Diamond Platnumz, Moses Iyobo amewapa makavu wale wote wanaodani kuwa amepotea kwa kitendo chake cha kuzaa na mcheza shoo huyo.
Kupitia ukurasa wake mtandaon, Aunt aliweka picha hiyo hapo juu ya Iyobo na kuandika haya.
“Kazi ni kazi ilimradi mkono uende kinywani nyinyi na Maboss wenu mimi na Dancer wangu wote tunatembelea makalio pumbavuu kaza buti Dady Cookie wangu nakupenda hvyohvyo.....”
Ujumbe...
11 years ago
Dewji Blog10 May
Rais Kikwete atembelea kiwanda kikubwa zaidi cha saruji duniani
. Ni kile kinachomilikiwa na mwekezaji anayejenga kiwanda cha saruji Mtwara
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-LRI-evpm1pc/U26XVieccPI/AAAAAAAFgxY/PK79krwc3C8/s72-c/d10.jpg)
Rais Kikwete atembelea kiwanda cha saruji kikubwa zaidi duniani
![](http://1.bp.blogspot.com/-LRI-evpm1pc/U26XVieccPI/AAAAAAAFgxY/PK79krwc3C8/s1600/d10.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Qd_QfHUJoX8/U26XVm03xuI/AAAAAAAFgxc/2e1l1MBB4A0/s1600/d12.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-h2dm3PqH7OE/U26XVRHi1II/AAAAAAAFgxU/X9Vd4uI2UyM/s1600/d16.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-0WKQNQmes7A/U26XZKLB-hI/AAAAAAAFgxs/PvBc5NL3jJs/s1600/d17.jpg)
10 years ago
Bongo Movies05 Mar
Baada ya Serengeti Boy Kujinadi Kulifaidi Kufaidi Penzi Lake, Wolper Achukulia Kama Changamoto!
Mrembo na staa wa bongo movies, Jackline Massawe Wolper ameonyesha kuchukulia ni kama changamoto kitendo cha msanii wa muziki kutoka kundi la makomando Fredy Felix ambae ni bwa’mdogo “Serengeti Boy” kujinadi hadharani kuwa alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na Wolper huku akielezea njinsi alivyompata na kumsifu kuwa alimpata penzi ambalo hatoweza kulisahau.
Felix aliyasema hayo hivi juzi kati alipokuwa akifanya mahojiano na Global Tv online nakusababisha stori hii kuenea kwa kasi sana...