Mganda Simba adai chake Dar
Wakati kocha wa zamani wa viungo wa timu ya Simba, Richard Amatre raia wa Uganda akitua nchini kudai chake, uongozi wa klabu hiyo umesema kuwa kocha huyo hana anachokidai na kwamba anatumiwa ili kuivuruga timu hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo507 Oct
Linah adai penzi lake na Mganda ni imara zaidi ya saruji
Hitmaker wa Ole Temba, Linah Sanga amesema uhusiano wake na raia wa Uganda, Williams Bugeme ni imara zaidi ya vile wengi wanavyodhani. Linah ameiambia Bongo5 kuwa uvumi kuwa tayari wameachana na mpenzi wake huyo, umetokana na kuonekana kutokuwa naye karibu kama zamani. “Mimi nashangaa watu wanataka nini?” amehoji. “Watu wanafikiri mimi na mpenzi wangu tunaweza […]
10 years ago
Mwananchi07 Dec
Mganda: Simba legelege
Kocha Mkuu Express ya Uganda, Wasswa Bossa amesema Simba ina kikosi kizuri ila kuna vitu lazima ivifanyie kazi ili wachezaji wake wawe na nguvu ya kuhimili kucheza dakika tisini.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Qyn*Uz1WnG-UmW9i3lU9KDY8-9azkEAu2eft9GMMYIXBgUNHKvQKxulATCY3NiAgXCUdfWJekp6dgvh*2ofbXx447EQW6OQw/Kiongera.jpg)
Kiongera arejeshwa, kumuondoa Mganda mmoja Simba SC
Mshambuliaji wa Simba,Paul Kiongera. Wilbert Molandi na Nicodemus Jonas Dar es Salaam
TIMU ya Simba imepanga kumrejesha kiungo mshambuliaji Paul Kiongera katika usajili mkubwa wa msimu ujao wa Ligi Kuu Bara kwa ajili ya kukiimarisha kikosi hicho.Wakati mipango ikiwa hivyo, kiungo huyo ametoa kauli kuwa anakuja akiwa fiti, hiyo ikimaanisha kuwa ushindani wa namba kwenye idara ya ushambuliaji utakuwa mkali kati yake na Elias...
9 years ago
Habarileo18 Nov
Kerr adai Matola si pengo Simba
KOCHA wa timu ya soka ya Simba, Dylan Kerr amesema kuondoka kwa msaidizi wake, Selemani Matola hakujaacha pengo na kwamba ana uhakika ataendelea kuifundisha timu hiyo na kuipa mafanikio makubwa katika Ligi Kuu ya Tanzania Bara.
9 years ago
Bongo512 Oct
Abdul Kiba adai kuitwa na kikosi cha Simba kufanyiwa majaribio
Abdul Kiba amedai ameitwa na klabu ya Simba ili kufanya majaribio ya kuichezea timu hiyo. Akizungumza na Bongo5 jana, Abdul Kiba alisema ikitokea atapewa nafasi ya kuichezea timu hiyo atacheza. “Yeah bana nimeitwa na Simba, mimi ni mchezaji sio kocha, kwahiyo ukisikia nimeitwa ujue ni kuhusu kucheza. Bado sijakaa nao chini na kuzungumza ila nikifanikiwa […]
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ws8ZUKcMJII/U_9lIrjSr2I/AAAAAAABLxA/PuEl3wjc1g4/s72-c/IMG_2204.jpg)
OKWI AREJEA SIMBA SC KUCHEZA KWA MUDA KULINDA KIPAJI CHAKE WAKATI KESI YAKE NA YANGA IKIENDELEA
Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAMSTAILI ile ile waliyotumia Yanga SC kumpata mshambuliaji Emmanuel Arnold Okwi ndiyo ambayo klabu yake ya zamani, Simba SC inaitumia kumrejesha kundini Mganda huyo.
Akizungumza na Waandishi wa Habari jioni hii mjini Dar es Salaam, Okwi amesema kwamba amesaini Simba SC mkataba huru wa muda, baada ya Yanga SC kumpa barua ya kusitisha mkataba naye jana pamoja na kumshitaki Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).
Okwi amesema ameamua kuomba kuichezea Simba SC kipindi...
10 years ago
VijimamboJENGO SKULI MPYA YA MICHAKAINI WILAYA YA CHAKE CHAKE YAFUNGULIWA RASMI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ayi9WmYtAow/VH9GZ3N2-3I/AAAAAAAG1EQ/1lakuooawZ8/s72-c/unnamed%2B(31).jpg)
SIKU YA WALEMAVU DUNIANI ZANZIBAR YASHEREHEKEWA KITAIFA CHAKE CHAKE, PEMBA
![](http://4.bp.blogspot.com/-ayi9WmYtAow/VH9GZ3N2-3I/AAAAAAAG1EQ/1lakuooawZ8/s1600/unnamed%2B(31).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-mTYPsurbjVI/VH9GaEPG31I/AAAAAAAG1EU/aZ-ro06S1WU/s1600/unnamed%2B(32).jpg)
9 years ago
VijimamboMAALIM SEIF AUNGURUMA VIWANJA VYA TIBIRIZI, CHAKE CHAKE PEMBA
Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Wananchi CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad amesema iwapo atachaguliwa kuwa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania