Mganda: Simba legelege
Kocha Mkuu Express ya Uganda, Wasswa Bossa amesema Simba ina kikosi kizuri ila kuna vitu lazima ivifanyie kazi ili wachezaji wake wawe na nguvu ya kuhimili kucheza dakika tisini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima28 Aug
CCM legelege inazaa serikali legelege
MOJA ya wosia na maangilizo muhimu ya kukumbukwa yaliyoachwa na Baba wa Taifa, hayati Mwalimu Julius Nyerere, kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Watanzania ni ile kauli yake aliyoitoa kwamba...
11 years ago
Mwananchi21 Jan
Mganda Simba adai chake Dar
10 years ago
GPLKiongera arejeshwa, kumuondoa Mganda mmoja Simba SC
10 years ago
Uhuru Newspaper17 Sep
Watendaji legelege TAKUKURU kukiona
NA EVA-SWEET MUSIBA, SIRARI
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), imezitaka idara za udhibiti za katika mpaka wa Sirari, kufanya kazi uadilifu ili kudhibiti bidhaa zisizofaa kuingizwa nchini.
Imeonya kuwa kinyume cha agizo hilo, watendaji watakaobanika watachukuliwa hatua kali kwa mujibu wa sheria.
Kamanda wa TAKUKURU Mkoa wa Mara, Joseph Holle, alisema kuwa idara hizo zinapaswa kufanya kazi kwa pamoja ili kuhakikisha bidhaa zisizofaa kutoka nchi jirani haziingizwi nchini.
Alisema...
9 years ago
Mtanzania08 Sep
Mganda amshinda Diamond tuzo ya Nigeria
NEW YORK, MAREKANI
ALIYEKUWA mshindani mkubwa wa mkali wa muziki Afrika Mashariki na Kati, Nasib Abdul ‘Diamond Platnumz’, msanii kutoka Uganda, Eddie Kenzo, ndiye aliyeibuka mshindi katika tuzo za Nigeria Entertainment Awards 2015 (NEA) kipengele cha ‘African Artist of The Year’ walichokuwa wakishindania.
Mganda huyo alishinda tuzo hiyo katika kipengele hicho maalumu kwa wasanii wasio Wanigeria, Septemba 6 huko New York, Marekani ambapo tuzo hizo zilitolewa.
Licha ya Diamond kuwania...
10 years ago
Mwananchi20 Dec
Mganda kidedea Spika Bunge Afrika Mashariki
10 years ago
Habarileo16 Sep
Mganda adaiwa kusababisha hasara mil.800/-
RAIA wa Uganda, Tonny Nsamba (31) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashitaka ya kuingiza vifaa vya mawasiliano nchini bila kibali na kuisababishia Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) hasara ya Sh milioni 799.2.
9 years ago
Bongo507 Oct
Linah adai penzi lake na Mganda ni imara zaidi ya saruji
10 years ago
Mwananchi07 Dec
Zari ‘The bossy Lady’ ; Mganda aliyeviteka vyombo vya habari NCHINI kwa sasa