MJI WA SERIKALI DODOMA UTAKAPOKMILIKA UTAGHARIMU ZAIDI YA TRILIONI 10
Eneo: Jiji la Dodoma imetenga eneo la mji wa Serikali ambao upo katika Kata ya Ihumwa kilomita 17 kutoka katikati ya Mji. Eneo hili lina ukubwa wa Hekta 617.15 sawa na Ekari 1,542.88.Mipaka: Mji wa Serikali kwa upande wa mangaribi unapakana na kambi ya Jeshi ya Ihumwa, Kaskazini-Mashariki unapakana na kata ya Mtumba na upande wa Kusini unapakana na barabara kuu iendayo Dar es salaam.Mgawanyo: Mji wa Serikali umegawanyika katika maeneo tofauti kama ifuatavyo:-Wizara za Serikali, Ofisi za...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziWAZIRI HASUNGA ABAINISHA TAARIFA YA UZALISHAJI WA KOROSHO, SERIKALI YAINGIZA ZAIDI YA TRILIONI 3.3
Na Mathias Canal, Wizara ya KilimoWAZIRI wa Kilimo, Japhet Hasunga (Mb) ametoa taarifa ya uzalishaji wa zao la Korosho katika kipindi cha miaka minne ya serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Mhe Rais Dkt John Pombe Magufuli ambapo amebainisha kuwa uzalishaji...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CjshdsFPLC0/XuMfkzZLi7I/AAAAAAALthc/kd4z4CIoCmoiHHna0kZN-n7puC3y0ZUewCLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
Barabara za lami katika Mji wa Serikali kugharimu zaidi ya Bilioni 89
Akizungumza leo Jijini Dodoma wakati akiweka jiwe la...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-liyv1ZFUVqc/XnihoC7_mDI/AAAAAAALkxU/QAfq7-iCdMAGJICMBSgAObq7a0ZiWcr1QCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Kilomita 39 za Barabara za Lami Zaanza Kujengwa Mji wa Serikali Mtumba Dodoma
Akizungumza leo Machi 20, 2020 katika mahojiano maalum, Katibu wa Kikosi Kazi cha Taifa cha Kuratibu Mpango wa Serikali kuhamia Dodoma Bw. Meshack Bandawe amesema kuwa ujenzi huo unahusisha barabara zenye urefu wa kilomita 39 ndani ya mji huo.
“Serikali inaimarisha miundombinu ndani ya mji wa Serikali ikiwemo ujenzi wa barabara za njia mbili zenye urefu...
5 years ago
MichuziWajumbe wa baraza la Maadili wajitambulisha kwa Waziri Mheshimiwa Kapt. (Mst) George Mkuchika Ofisini kwake katika mji wa serikali Mtumba Dodoma
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-na2TtjOJRZI/XuJC3J-jCfI/AAAAAAALtb8/cM__1C5GO04wMnjDyvUq1LSoPSDNF7pJwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.-2048x1365.jpg)
RAIS DKT. MAGUFULI AWEKA JIWE LA MSINGI BARABARA ZA LAMI KM 51.2 MJI WA SERIKALI PAMOJA NA KUFUNGUA JENGO LA MAKAO MAKUU YA OFISI ZA TARURA JIJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-na2TtjOJRZI/XuJC3J-jCfI/AAAAAAALtb8/cM__1C5GO04wMnjDyvUq1LSoPSDNF7pJwCLcBGAsYHQ/s640/1.-2048x1365.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimsikiliza Mtendaji Mkuu wa TARURA Mhandisi Victor Seff kuhusu mradi wa ujenzi wa Barabara za lami zenye jumla ya km 51.2 katika mji wa Serikali (Mtumba) mkoani Dodoma leo tarehe 11 Juni 2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/2-10-scaled.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-0tZzK5KFFmM/XuJH6111yUI/AAAAAAACM_Y/YYhli3mjWEADwEDqbeamHer1QlEZFQ6mQCLcBGAsYHQ/s72-c/17.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI AWEKA JIWE LA MSINGI BARABARA ZA LAMI KATIKA MJI WA SERIKALI, AFUNGUA JENGO LA MAKAO MAKUU YA TARURA NA OFISI ZA ZIMAMOTO MAKOLE JIJINI DODOMA, LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-0tZzK5KFFmM/XuJH6111yUI/AAAAAAACM_Y/YYhli3mjWEADwEDqbeamHer1QlEZFQ6mQCLcBGAsYHQ/s400/17.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-xc3EVu2CGYA/XuJIGBt2I7I/AAAAAAACM_c/1x-hs6N1qo4gRBesWgrbpfIWOXIGY9ByQCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Q5Ku3cvHD0o/XuJIRwvhcBI/AAAAAAACM_g/kDyLp-KiGiU0Gzwd705Qca6UdKcdHcahwCLcBGAsYHQ/s400/3.jpg)
10 years ago
Vijimambo30 Apr
Bajeti ya mwaka 2015/16 ni ya kula. Ni Shilingi trilioni 22.5, Za maendeleo trilioni 5 tu.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Mkuya-30April2015(1).jpg)
Serikali imetangaza sura ya bajeti ya mwaka 2015/16, ikiwa imejielekeza zaidi katika matumizi ya kawaida ya safari, posho za viongozi na matumizi mengine kuliko miradi ya maendeleo inayogusa maisha ya Watanzani moja kwa moja.
Bajeti ya mwaka ujao inatarajiwa kuwa Sh. Trilioni 22.480, kwa matumizi ya kawaida na maendeleo.
Makadirio hayo ni ongezeko la asilimia 13.2 ya bajeti ya mwaka 2014/15 ambayo ilikuwa ni Sh. Trilioni 19.853.
Waziri wa Fedha, Saada Salum...
10 years ago
Mtanzania26 Aug
Wachina wa Magufuli waidai Serikali trilioni 1.3/-
![Waziri John Magufuli](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/John-Magufuli.jpg)
Waziri John Magufuli
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
WACHINA wa ‘samaki wa Magufuli’ walioachiwa huru wanadai meli na samaki zilizokuwamo, ambavyo vyote vina thamani ya Dola za Marekani 3,220,000.
Mbali na kutakiwa kulipa fedha hizo, pia inatakiwa kulipa Sh trilioni 1.3 ikiwa ni gharama zote, ikiwamo meli, samaki, mawakili na mabaharia wake.
Hayo yalisemwa Dar es Salaam jana na Wakili wa Wachina hao, Kapten Ibrahim Bendera na Wakili John Mapinduzi, walipokuwa wakizungumzia hatima ya madai...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/--KswuOycSgQ/U4CuyqdzsuI/AAAAAAAFkxE/xmcHpnoeDNE/s72-c/Mafuru.jpg)
BRN kuiongezea Serikali mapato mapya ya 3 trilioni
![](http://1.bp.blogspot.com/--KswuOycSgQ/U4CuyqdzsuI/AAAAAAAFkxE/xmcHpnoeDNE/s1600/Mafuru.jpg)
Hayo yamesemwa leo jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi wa Ukusanyaji Fedha kutoka Ofisi ya Rais-Usimamizi wa Utekelezaji wa Miradi (PDB), Lawrence Mafuru alipohojiwa katika kipindi cha Makutano Show kinachorushwa na Radio Magic FM.
PDB ni kitengo kipya kilichoanzishwa chini ya Rais...