CHADEMA balaa
CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimetaka Rais Jakaya Kikwete, asiondoke madarakani vibaya kwa kusababisha yale yaliyotokea Burkinafaso kama ataendelea na mpango wake wa kulazimisha Katiba inayopendekezwa kupigiwa kura ya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Raia Mwema29 Jul
Kura za maoni Chadema Mbeya balaa
KURA za maoni, nafasi ya ubunge kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mkoani Mbeya zime
Mwandishi Wetu
10 years ago
Michuzi15 Sep
MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU WA CHADEMA TAIFA 2014:FREEMAN MBOWE ASHINDA NAFASI YA MWENYEKITI CHADEMA TAIFA, PROFESA ABDALLAH SAFARI MAKAMU MWENYEKITI WA CHADEMA BARA
![](https://1.bp.blogspot.com/-VwjPajbyPYM/VBYGNHuHZnI/AAAAAAADDa8/w_3TshBHAoo/s1600/WP_20140914_21_58_12_Pro__highres.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-HG5Aa9bQe-c/VBYGNwW5hgI/AAAAAAADDbI/0LaVyaK69RA/s1600/WP_20140914_22_03_19_Pro.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-zkazILlqtYY/VBYGORb9FrI/AAAAAAADDbQ/kDW2ga7xEMw/s1600/WP_20140914_22_03_52_Pro__highres.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8pnqwPqNt2Nt6ZzrMlO-gSwh8BhI-NcKsIynKJEEMxrxIY-kaOLQRpsBb3vPTmwaj8icBklROyxf3GUBQnT9aFwHE25fMvxr/balaa.jpg?width=650)
BALAA LA PASAKA
KIFO njenje! Baba aliyetajwa kwa jina moja la Nuhu maarufu kama ‘Mzee Kijana’ (54), nusu auawe na raia wenye hasira kali, msimu wa Pasaka kisa kikiwa ni kuachiwa kwa dhamana isiyoeleweka baada ya kunaswa kwa kosa la ulawiti wa madenti. Baba aliyetajwa kwa jina moja la Nuhu maarufu kama ‘Mzee Kijana’ (54) anusurika kifo baada ya fumanizi Aprili 19 (Ijumaa Kuu), mwaka huu maeneo ya Tuangoma Mjimwema,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/A8I8pebmYzp5IdYdSoWEwmRQ7RtFmCDDoC5t72EuqVrlG4OoKuhuH6QMBfTSJqSv58uhWSlWzDs4gQkixt7EN6gTjxd4G2AC/balaaa.jpg?width=650)
BALAA GESTI
Stori: MWANDISHI WETU
DUNIA ina mambo jamani! Mfanyabiashara wa madini aliyefahamika kwa jina moja la Jimmy amejikuta katika wakati mgumu baada ya kufumaniwa na mkewe akiwa na kimada gesti. Tukio hilo lililofunga mtaa kwa kujaza wambea kibao, lilitokea hivi karibuni ndani ya gesti hiyo (jina tunalo) Kinondoni jijini Dar es salaam ambapo mke wa mfanyabiashara huyo (jina halikupatikana mara moja), alimnasa mumewe akijiandaa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lnNHCVxKyAK32I9eqvb-1EYXjZmtHsHg5XrVmyHlxvPmnc6dMJsYARYuQSWBpiPRu4cuApNjT6zag889agKXCh7iLPCc3Xpt/vikoba.gif?width=650)
BALAA LA VIKOBA
Chande Abdallah na Deogratius Mongela MAJANGA! Mwanamke mmoja, Catherine Melzedeki mkazi wa Mzinga, Kitunda jijini Dar ambaye ni Mweka Hazina wa kikundi cha Vikoba amezua balaa baada ya kukombwa samani za ndani kufuatia kushindwa kulipa hela ya upatu inayofikia shilingi milioni 1.2. ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1IDtqrw
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DmWKX8GKoMn2Q31m1W2fvsR71qwxq0nFdjwVDDARDQ6cflEAK6kJLQ2FEwBf9X8*ljm3imM45t1Uv91KiQrtgbp55P-M16pg/balaa.jpg?width=650)
BALAA LA MCHEPUKO!
Stori: Issa Mnally AMA kweli mchepuko ni balaa! Jamaa aliyefahamika kwa jina moja la Peter amekiona cha moto baada ya kufanya mchepuko na mke wa rafiki yake bila kufahamu kuwa kufanya hivyo ni hatari kwa maisha yake, Risasi Jumamosi lina kisa na mkasa. Mfumaniwa akivaa kwa aibu saaana mara baada ya fumanizi hilo. Kama kawaida, hivi karibuni, Mkuu wa Oparesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers, akiwa chumba cha habari,...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania