BALAA LA VIKOBA
![](http://api.ning.com:80/files/lnNHCVxKyAK32I9eqvb-1EYXjZmtHsHg5XrVmyHlxvPmnc6dMJsYARYuQSWBpiPRu4cuApNjT6zag889agKXCh7iLPCc3Xpt/vikoba.gif?width=650)
Chande Abdallah na Deogratius Mongela MAJANGA! Mwanamke mmoja, Catherine Melzedeki mkazi wa Mzinga, Kitunda jijini Dar ambaye ni Mweka Hazina wa kikundi cha Vikoba amezua balaa baada ya kukombwa samani za ndani kufuatia kushindwa kulipa hela ya upatu inayofikia shilingi milioni 1.2. ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1IDtqrw
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-W1iY7IhLohg/VRq-vLRsLlI/AAAAAAABqR4/iydTlJDTAPA/s72-c/W3.jpg)
Wanachama wa Vikoba Wakiwa katika Ukumbi wa Mkutano wa Kongamano la Wanachama wa Vikoba Arusha.
![](http://1.bp.blogspot.com/-W1iY7IhLohg/VRq-vLRsLlI/AAAAAAABqR4/iydTlJDTAPA/s640/W3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-W87GdMd-xbA/VRq-x07IeDI/AAAAAAABqSA/rG7r7p5GINY/s640/W%2B2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-FvvUTJvIL4E/VRq-1KjGDUI/AAAAAAABqSI/rFbtDFPl3mA/s640/W%2B1.jpg)
10 years ago
Mwananchi28 Jun
Vikoba vimewainua wanawake wengi nchini
Uwepo wa vikundi vya Vicoba nchini inaaelezwa kwamba vimesaidia kwa kiasi kikubwa na kuwezesha watu wengi hasa wale kipato cha chini na kile cha kati kujiinua kiuchumi na hivyo kumudu kuendesha maisha katika hali ya unafuu.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-S_9C8rP87rY/VRm-kq40pXI/AAAAAAAHOdg/2YOj6KisBA0/s72-c/unnamed%2B(64).jpg)
KONGAMANO LA WANACHAMA WA VIKOBA WA ARUSHA LAPATA MWITIKIO MKUBWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-S_9C8rP87rY/VRm-kq40pXI/AAAAAAAHOdg/2YOj6KisBA0/s1600/unnamed%2B(64).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-P_y-nd7n7AQ/VRm-ks3a8BI/AAAAAAAHOdc/aIzVSmr34_o/s1600/unnamed%2B(65).jpg)
10 years ago
GPLCHAMA CHA VIKOBA ENDELEVU MAZINGIRA CHAZINDULIWA RASMI SINZA
Mratibu wa kikundi hicho, Doris Dulle, kulia akifafanua jambo kwa wanachama. Kushoto ni mratibu mwenza, Rose Anthony, katikati ni Irene Mwamfupe Ndauka. Wakijadili katiba ya kikundi hicho. Wanachama wakifanya maombi kabla ya kuanza ufungunzi wa chama hicho. WANACHAMA wa kikundi cha Vikoba…
11 years ago
MichuziMH: NAMELOK SOKOINE ATIMIZA AHADI YAKE KWA KIKUNDI CHA VIKOBA- ARUSHA
![](http://2.bp.blogspot.com/-GFOOwvovJLA/U8KalQrs01I/AAAAAAABDAI/8_trhJoUHkQ/s1600/3.jpg)
11 years ago
MichuziMTEMVU AKABIDHI MIKOPO YA MAGARI, BAJAJI, PIKIPIKI NA FEDHA TASLIMU KWA VIKOBA TEMEKE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8pnqwPqNt2Nt6ZzrMlO-gSwh8BhI-NcKsIynKJEEMxrxIY-kaOLQRpsBb3vPTmwaj8icBklROyxf3GUBQnT9aFwHE25fMvxr/balaa.jpg?width=650)
BALAA LA PASAKA
KIFO njenje! Baba aliyetajwa kwa jina moja la Nuhu maarufu kama ‘Mzee Kijana’ (54), nusu auawe na raia wenye hasira kali, msimu wa Pasaka kisa kikiwa ni kuachiwa kwa dhamana isiyoeleweka baada ya kunaswa kwa kosa la ulawiti wa madenti. Baba aliyetajwa kwa jina moja la Nuhu maarufu kama ‘Mzee Kijana’ (54) anusurika kifo baada ya fumanizi Aprili 19 (Ijumaa Kuu), mwaka huu maeneo ya Tuangoma Mjimwema,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/A8I8pebmYzp5IdYdSoWEwmRQ7RtFmCDDoC5t72EuqVrlG4OoKuhuH6QMBfTSJqSv58uhWSlWzDs4gQkixt7EN6gTjxd4G2AC/balaaa.jpg?width=650)
BALAA GESTI
Stori: MWANDISHI WETU
DUNIA ina mambo jamani! Mfanyabiashara wa madini aliyefahamika kwa jina moja la Jimmy amejikuta katika wakati mgumu baada ya kufumaniwa na mkewe akiwa na kimada gesti. Tukio hilo lililofunga mtaa kwa kujaza wambea kibao, lilitokea hivi karibuni ndani ya gesti hiyo (jina tunalo) Kinondoni jijini Dar es salaam ambapo mke wa mfanyabiashara huyo (jina halikupatikana mara moja), alimnasa mumewe akijiandaa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10