Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chadema Katavi wabariki kung’olewa kwa mwenyekiti

WAJUMBE wa Mkutano Mkuu wa Chadema mkoani Katavi wameridhia kwa kauli moja na kubariki uamuzi wa kumsimamisha uongozi Mwenyekiti wa Mkoa wa Chama hicho, John Malack na viongozi wengine watatu waandamizi wa chama hicho, Jimbo la Mpanda Mjini.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Mwenyekiti wa Chadema aunguruma mikoa ya KIGOMA na KATAVI

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe akiwahutubia wananchi wa kijiji cha Kazuramimba mkoani Kigoma, katika mkutano wa hadhara wa Oparesheni Delete CCM juzi.Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe akiwakabidhi kadi za Chadema waliokuwa viongozi wa CCM wa serikali ya kijiji cha Kapalamsenga katija jimbo la Mpanda Vijijini, baada ya kujiunga na Chadema katika mkutano wa hadhara wa Oparesheni Delete CCM juzi.Badhii ya waliokuwa...

 

10 years ago

GPL

MWENYEKITI WA CHADEMA AUNGURUMA MIKOA YA KIGOMA NA KATAVI

Akinamama wa kijiji cha Igalula mkoani Kigoma, wakicheza ngoma ya asili, wakati wa mapokezi ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe (kushoto), baada ya kuwasili kijijini hapo, ambako alihutubia mkutano wa hadhara wa Oparesheni Delete CCM juzi. Wananchi wa kijiji cha Igalula mkoani Kigoma, wakimsikiliza Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman… ...

 

10 years ago

Vijimambo

Tibaijuka: Sijutii kung`olewa

Atamba hababaikii vyeo, aliyetoa katwaaProf. Anna Tibaijuka
Siku tatu baada ya Rais Jakaya Kikwete kutengua uteuzi wa aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Prof. Anna Tibaijuka, mwanasiasa huyo ametua jimboni kwake na kupokelewa kwa mbwembwe na wananchi wa jimbo hilo huku akisema hajutii kung’olewa.

Jumatatu wiki hii, Rais Kikwete akihutubia Taifa kupitia mkutano wa wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam, alitangaza kumvua nafasi ya uwaziri Prof. Tibaijuka kutokana na kashfa ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbowe apongeza kung’olewa Amani

MWENYEKITI  wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe,  amewapongeza madiwani wa Chama Cha Mapinduzi ( CCM ), CHADEMA na Mbunge wa Bukoba Mjini, Khamisi Kagasheki kwa kusimama  kidete...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lembeli: Nilishtuka mawaziri kung’olewa

MWENYEKITI wa Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, James Lembeli amesema alishtushwa na hatua ya kujiuzulu kwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Khamis Kagasheki na kung’olewa kwa...

 

11 years ago

Habarileo

Wabunge wa Tanzania EAC wapinga spika kung’olewa

WABUNGE wa Tanzania katika Bunge la jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA), wamesisitiza kutounga mkono hoja ya kumng’oa Spika wa bunge hilo, Margaret Zziwa, kwa kuwa haina maslahi na Tanzania na wana Afrika Mashariki kwa ujumla.

 

10 years ago

Habarileo

CDA kung’olewa mtia nia akichaguliwa ubunge

ALIYEKUWA Mbunge wa Dodoma Mjini, David Malole juzi alirudisha fomu za ubunge kwa ajili ya kutetea kiti chake na kusema iwapo atachaguliwa tena atahakikisha wananchi wote walioporwa ardhi na Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu (CDA) wanarudishiwa ardhi yao.

 

11 years ago

Mwananchi

Majaji EACJ waruhusu Spika Eala kung’olewa

Spika wa Bunge la Afrika Mashariki (Eala), Dk Magreth Zziwa amekalia kuti kavu kutokana na uwezekano wa kung’olewa madarakani baada ya Mahakama ya Afrika Mashariki (EACJ), kuruhusu bunge hilo kuendelea na shughuli zake kulingana na kanuni na taratibu zake.

 

11 years ago

Mwananchi

Pinda: Nipo tayari kung’olewa nikibainika ni mzigo

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda amevunja ukimya na kusema yuko tayari kuachia ngazi endapo tu Rais Jakaya Kikwete ataamua kumwondoa na kama itatokea hivyo, atamshukuru Rais kwa kumwambia, ahsante.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani