CHADEMA KUCHANGIWA NA WANANCHI KUIMARISHA MFUKO WA CHAMA
Baada ya kuzindua programu ya ya siasa mtandaoni, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema kuwa kinampango wa kuwashawishi wananchi kukichangia na kufikisha shilingi bilioni moja kila mwezi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo16 Jul
Mfuko Afya kuchangiwa bil 108.5/-
WADAU wa Maendeleo watachangia Sh bilioni 108.5 kwa ajili ya Mfuko wa Afya kwa kipindi cha mwaka wa fedha wa 2014/15.
10 years ago
Uhuru Newspaper17 Sep
Kagera yazindua kampeni ya kuimarisha Chama
NA ANGELA SEBASTIAN, BUKOBA.
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mkoani hapa, kimezindua rasmi kampeni ya kuimarisha Chama ili kujiweka sawa na kujihakikishia ushindi wa kishindo katika uchaguzi ujao.
Uzinduzi wa kampeni hizo uliofanyika jana, katika kata za Ruhunga na Kyaitoke wilayani Bukoba vijijini, ulikwenda sambamba na ugawaji wa vifaa kama bendera, milingoti na kamba ikiwa ni hatua mojawapo ya kufufua kazi za mabalozi.
Akizungumza katika uzinduzi huo, Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar17 Sep
Muhtasari wa Sera za Ukawa kupitia chama chama cha wananchi wa C.U.F katika mkutano ulofanyiaka, Kipangani Ole Pemba, tarehe 16/09/2015.
Katika kampeni za uchaguzi mkuu wa October 2015, Mh. Seif Sharif Hamad aliombea wagombea zake kura za ndio wakiwemo wabunge, madiwani na wawakilishi wa Jibo la Ole, Pia Muheshimiwa alimuombea kura ndugu Edward Lowasa. Katika Sera […]
The post Muhtasari wa Sera za Ukawa kupitia chama chama cha wananchi wa C.U.F katika mkutano ulofanyiaka, Kipangani Ole Pemba, tarehe 16/09/2015. appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Vijimambo16 Jul
CHAMA CHA WANANCHI CUF CHASISITIZA KUWA KATIKA UMOJA WA KATIBA YA WANANCHI ( UKAWA )
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/146.jpg)
![2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/244.jpg)
10 years ago
Dewji Blog06 Oct
Ziara ya kuimarisha chama ya MNEC manispaa ya Singida, Hassan Mazala
Mjumbe wa halmashauri kuu CCM (NEC) taifa manispaa ya Singida, Hassan Philip Mazala, akizindua tawi la wajasiriamali wa Msimbazi kata ya Mwankoko.
![DSC00913](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC00913.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/HJsWC1-Gzng/default.jpg)
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-8viJMr9QxhY/Vlb3hHJPO_I/AAAAAAAASWA/H41jZTgT9Ao/s72-c/jakaya.jpg)
MWENYEKITI WA CCM DKT JAKAYA MRISHO KIKWETE AENDELEA KUIMARISHA CHAMA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-8viJMr9QxhY/Vlb3hHJPO_I/AAAAAAAASWA/H41jZTgT9Ao/s640/jakaya.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-gu9msc9cIEc/Vlb3nHH1wqI/AAAAAAAASWI/wpOaAZ1sIzk/s640/kunambi%2Bnje.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vt0tEreVtIo/Vlb3peiDoxI/AAAAAAAASWQ/rrQKdoMKviE/s640/mlemav.jpg)
9 years ago
Vijimambo22 Sep
CCM ndio chama kinachopendwa zaidi na wananchi Takwimu zinaonyesha kwamba wananchi hawaelewi nafasi rasmi ya Ukawa
![](http://dar24.com/wp-content/uploads/2015/09/Lowassa-vs-Magufuli.jpg)
Chadema ni chama cha pili kinachopendwa kushinda vyama vingine vya...
10 years ago
MichuziDKT. SHEIN AENDELEA NA ZIARA YA KUIMARISHA CHAMA,AKUTANA NA MABALOZI WILAYA KATI,UNGUJA
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10