Kagera yazindua kampeni ya kuimarisha Chama
NA ANGELA SEBASTIAN, BUKOBA.
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mkoani hapa, kimezindua rasmi kampeni ya kuimarisha Chama ili kujiweka sawa na kujihakikishia ushindi wa kishindo katika uchaguzi ujao.
Uzinduzi wa kampeni hizo uliofanyika jana, katika kata za Ruhunga na Kyaitoke wilayani Bukoba vijijini, ulikwenda sambamba na ugawaji wa vifaa kama bendera, milingoti na kamba ikiwa ni hatua mojawapo ya kufufua kazi za mabalozi.
Akizungumza katika uzinduzi huo, Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziCHAMA CHA ACT WAZALENDO WAFUNGUA KAMPENI ZA CHAMA HICHO IRINGA
![](https://mail.google.com/mail/u/0/images/cleardot.gif)
Na MatukiodaimaBLogCHAMA cha ACT wazalendo kimezindua kampeni zake za ubunge katika jimbo la Iringa huku mgombea wake ubunge katika jimbo hilo Bi Chiku Abwao akivilalamikia baadhi ya vyombo vya habari nchini kwa kukalia habari zake zinazohusiana na uchafu wa mgombea Urais wa chama cha Demokrasia na maendeleo (chadema) anayewakilisha vyama vinavyounda umoja wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZPbDkvjuEPI/Xlnsv4yimgI/AAAAAAALf_8/F4WFOEcFVYwpuN2IsL-AiGQRACDKYtOiwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp-Image-2020-02-28-at-14.05.14-660x365.jpeg)
TANESCO Kuimarisha Hali ya Upatikanaji wa Umeme Mkoani Kagera
Dkt KALEMANI ametoa kauli hiyo Mkoani Kagera Wakati wa Ziara yake, ambapo amesema Umeme huo Utaunganisha Mkoa huo moja kwa moja na Umeme wa Gridi ya Taifa.
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZPbDkvjuEPI/Xlnsv4yimgI/AAAAAAALf_8/F4WFOEcFVYwpuN2IsL-AiGQRACDKYtOiwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp-Image-2020-02-28-at-14.05.14-660x365.jpeg)
10 years ago
Mwananchi11 Dec
CHADEMA KUCHANGIWA NA WANANCHI KUIMARISHA MFUKO WA CHAMA
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/HJsWC1-Gzng/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog06 Oct
Ziara ya kuimarisha chama ya MNEC manispaa ya Singida, Hassan Mazala
Mjumbe wa halmashauri kuu CCM (NEC) taifa manispaa ya Singida, Hassan Philip Mazala, akizindua tawi la wajasiriamali wa Msimbazi kata ya Mwankoko.
![DSC00913](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC00913.jpg)
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-8viJMr9QxhY/Vlb3hHJPO_I/AAAAAAAASWA/H41jZTgT9Ao/s72-c/jakaya.jpg)
MWENYEKITI WA CCM DKT JAKAYA MRISHO KIKWETE AENDELEA KUIMARISHA CHAMA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-8viJMr9QxhY/Vlb3hHJPO_I/AAAAAAAASWA/H41jZTgT9Ao/s640/jakaya.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-gu9msc9cIEc/Vlb3nHH1wqI/AAAAAAAASWI/wpOaAZ1sIzk/s640/kunambi%2Bnje.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vt0tEreVtIo/Vlb3peiDoxI/AAAAAAAASWQ/rrQKdoMKviE/s640/mlemav.jpg)
10 years ago
Dewji Blog14 Sep
Kinana katika ziara ya kuimarisha Chama na kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Mwaka 2010
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wananchi wa Kata ya Kimanzichana jana wakati alipoanza ziara yake ya mikoa ya Pwani ,Tanga na Iringa Ikiwa ni kuimarisha Chama na kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Mwaka 2010 huku akihimiza wananchi kushiriki katika shughuli za kujiletea maendeleo katika maeneo yao, Katibu Mkuu Abdulrahman Kinana anaongozana na Nape Nnauye Katibu wa NEC Siasa Itikadi na Uenezi na leo amefanya shughuli mbalimbali katika ziara hiyo. (PICHA NA...
10 years ago
MichuziDKT. SHEIN AENDELEA NA ZIARA YA KUIMARISHA CHAMA,AKUTANA NA MABALOZI WILAYA KATI,UNGUJA
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10