Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kagera yazindua kampeni ya kuimarisha Chama


NA  ANGELA SEBASTIAN, BUKOBA.
CHAMA  Cha Mapinduzi (CCM) mkoani hapa, kimezindua rasmi kampeni ya kuimarisha Chama ili kujiweka sawa na kujihakikishia ushindi wa kishindo katika uchaguzi ujao.
Uzinduzi wa kampeni hizo uliofanyika jana, katika kata za Ruhunga na Kyaitoke wilayani Bukoba vijijini, ulikwenda sambamba na ugawaji wa vifaa kama bendera, milingoti na kamba ikiwa ni hatua mojawapo ya kufufua kazi za mabalozi.
Akizungumza katika uzinduzi huo, Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya  CCM...

Uhuru Newspaper

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

CHAMA CHA ACT WAZALENDO WAFUNGUA KAMPENI ZA CHAMA HICHO IRINGA

 Mgombea  ubunge   jimbo la Iringa mjini  Bi  Chiku  Abwao.Chiku  Abwao  akiwahutubia  wananchi 
Na MatukiodaimaBLogCHAMA  cha ACT  wazalendo  kimezindua kampeni  zake  za  ubunge katika  jimbo la Iringa  huku  mgombea  wake ubunge  katika  jimbo  hilo Bi  Chiku  Abwao akivilalamikia baadhi ya   vyombo vya habari  nchini kwa  kukalia  habari  zake  zinazohusiana na uchafu  wa mgombea  Urais  wa  chama  cha  Demokrasia na maendeleo (chadema) anayewakilisha vyama vinavyounda  umoja  wa...

 

5 years ago

Michuzi

TANESCO Kuimarisha Hali ya Upatikanaji wa Umeme Mkoani Kagera

Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani ameliagiza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kuharakisha utekelezaji na usimamizi wa Miradi ya Umeme inayotarajiwa kuimarisha upatikanaji wa Nishati ya Umeme wa uhakika na unaotabirika Mkoani Kagera.
Dkt KALEMANI ametoa kauli hiyo Mkoani Kagera Wakati wa Ziara yake, ambapo amesema Umeme huo Utaunganisha Mkoa huo moja kwa moja na Umeme wa Gridi ya Taifa.“Katika kuunganisha Mkoa wa Kagera na Gridi ya Taifa, tayari tunajenga laini kubwa ya kusafirisha...

 

10 years ago

Mwananchi

CHADEMA KUCHANGIWA NA WANANCHI KUIMARISHA MFUKO WA CHAMA

Baada ya kuzindua programu ya ya siasa mtandaoni, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema kuwa kinampango wa kuwashawishi wananchi kukichangia na kufikisha shilingi bilioni moja kila mwezi.

 

10 years ago

Dewji Blog

Ziara ya kuimarisha chama ya MNEC manispaa ya Singida, Hassan Mazala

DSC00878

Mjumbe wa halmashauri kuu CCM (NEC) taifa manispaa ya Singida, Hassan Philip Mazala, akizindua tawi la wajasiriamali wa Msimbazi kata ya Mwankoko.

DSC00899

Mjumbe wa halmashauri kuu CCM (NEC) taifa manispaa ya Singida, Hassan Philip Mazala, akihutubia wakazi wa kijiji cha Mwankoko wakati wa ziara yake ya kukiimarisha chama.Wa kwanza kushoto ni katibu CCM manispaa ya Singida, Magdalena Ndwete. DSC00913 Mjumbe wa halmashauri kuu CCM (NEC) taifa manispaa ya Singida,Hassan Philip Mazala ,akimkabidhi kadi...

 

9 years ago

CCM Blog

MWENYEKITI WA CCM DKT JAKAYA MRISHO KIKWETE AENDELEA KUIMARISHA CHAMA.

Mwenyekiti wa CCM Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na Katibu Wa Halmashauri Kuu Itikadi na Uenezi, Ndugu Nape Nnauye na Katibu wa Halmashauri Kuu Oganaizesheni Ndg Mohamed Seif Hatibu katika ofisi yake Makao Makuu ya CCM, ofisi ndogo ya Lumumba jijini Dar es salaam, leo tarehe 26th Nov 2015.
Mwenyekiti wa CCM Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na Mwanasheria wa CCM Ndg Godwin Kunambi nje ya Ofisi ndogo ya Makao Makuu ya CCM Lumumba Jijini Dar es salaam, leo tarehe 26th Nov 2015.

 

10 years ago

Dewji Blog

Kinana katika ziara ya kuimarisha Chama na kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Mwaka 2010

130

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wananchi wa Kata ya Kimanzichana jana wakati alipoanza ziara yake ya mikoa ya Pwani ,Tanga na Iringa Ikiwa ni kuimarisha Chama na kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Mwaka 2010 huku akihimiza wananchi kushiriki katika shughuli za kujiletea maendeleo katika maeneo yao, Katibu Mkuu Abdulrahman Kinana anaongozana na Nape Nnauye Katibu wa NEC Siasa Itikadi na Uenezi na leo amefanya shughuli mbalimbali katika ziara hiyo. (PICHA NA...

 

10 years ago

Michuzi

DKT. SHEIN AENDELEA NA ZIARA YA KUIMARISHA CHAMA,AKUTANA NA MABALOZI WILAYA KATI,UNGUJA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Viongozi wa Ngazi mbali mbali za Chama cha Mapinduzi alipofika katika viwanja vya Tamarind Hotel Kijiji cha Uroa Wilaya ya Kati Unguja alipofika kuzungumza na Mabalozi na Wenyeviti wa Maskani katika Mkutano maalum wa mwendelezo wa ziara zake za kumarisha Chama.Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani