Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHADEMA: Mgimwa haijui Kalenga

MENEJA Kampeni wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) katika uchaguzi mdogo wa ubunge wa Kalenga, Alphonce Mawazo, amewataka wananchi wa jimbo hilo kutopoteza kura zao kumchagua mgombea wa CCM,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

news alert: CHADEMA KALENGA WAJUMBE WAMCHAGUA MWANASHERIA MWENDA KUMVAA MTOTO WA MGIMWA

Wajumbe  wa mkutano  mkuu wa kura za maoni jimbo la Kalenga  wa CHADEMA jioni hii wametegua kitendawili  cha nani kati ya  makada 13 atakayevaana na mgombea wa CCM katika uchaguzi huo baada ya kumchagua  mwanasheria Sinkala Mwenda kwa kura 132 dhidi ya kura 122 alizopata mpinzani  wake wa karibu Grace Tendega huku  Zuberi Mwachura  akiambulia   0 katika uchaguzi huo uliofanyika mjini Iringa.


 

11 years ago

Michuzi

Meya wa Ilala Jerry Silaa,Mwakalebela waishambulia vilivyo Kalenga,wampigia debe la nguvu mgombea ubunge jimbo la Kalenga Godfrey Mgimwa

Pichani shoto ni Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM,Ndugu,Jerry Silaa wakishangilia jambo kwa pamoja na Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kalenga kwa tiketi ya chama cha CCM,Ndugu Godfrey William Mgimwa,katika mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika jana kwenye uwanja wa shule ya msingi Katenge katika kijiji cha Mgama,kata ya Mgama,Iringa Vijijini. Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM,Ndugu,Jerry Silaa pichani kulia...

 

10 years ago

GPL

MBUNGE GODFREY MGIMWA ASEMA AMETUMIA ZAIDI YA TSH MILIONI 68 KWA MIENZI MITATU YA UBUNGE WAKE KUTEKELEZA AHADI 90 ZA MBUNGE WA KALENGA ALIYEFARIKI DUNIA DR WILIAM MGIMWA‏

Mbunge wa  jimbo la Kalenga Godfrey Mgimwa  (kulia) akikabidhi ahadi ya bati 100 alizokuwa ameziahidi mbunge aliyepita marehemu Dr. Wiliam Mgimwa kwa  viongozi wa kijiji cha Mangalali kwa ajili ya ujenzi  wa vyumba vya madarasa  shule ya msingi Lukwambe hadi  sasa ni asilimia 90 ya ahadi binafsi za mbunge aliyefariki  zimetekelezwa jimbo la Kalenga na mbunge Mgimwa…
...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mgimwa hauziki, Kalenga si wapumbavu 

JAPO anafahamika kwa uhovyo wake, Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni Waziri Mdogo wa Fedha, Mwigulu Nchemba, ameonyesha ukweli wa uhovyo wake wakati akihutubia mkutano...

 

11 years ago

Mwananchi

Silaa ampigia debe Mgimwa Kalenga

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam, Jerry Silaa amewataka wananchi wa Jimbo la Kalenga kumchagua mgombea ubunge wa jimbo hilo kupitia CCM, Godfrey Mgimwa kwa kuwa serikali iliyopo madarakani imeundwa na CCM.

 

11 years ago

Daily News

Mgimwa's son poised to win Kalenga poll


Mgimwa's son poised to win Kalenga poll
Daily News
THE race to fill the position left vacant by the late Kalenga MP who was also Minister of Finance Dr William Mgimwa has started in which his son Godfrey (32), has been elected by CCM members in the constituency to contest for the post. Dr Mgimwa passed ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani