Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chadema wawaganda Pinda, Ghasia

 

tz

 

NA GRACE SHITUNDU, DAR ES SALAAM,
KAMATI Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) imetaka Waziri Mkuu Mizengo Pinda na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Hawa Ghasia, wajiuzulu kutokana na kasoro nyingi zilizojitokeza katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika Desemba 14 mwaka huu.
Shinikizo hilo lilitolewa jana jijini Dar es Salaam na Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Willibrod Slaa, wakati wakitoa taarifa ya maazimio ya...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

TheCitizen

Ghasia must go, Chadema insists

The main opposition party Chadema has insisted that the minister of State in the Prime Minister’s Office Regional Administration and Local Government (PMO-RALG), Ms Hawa Ghasia, should take political responsibility for anomalies in the Local Government elections last weekend.

 

10 years ago

Mtanzania

Pinda: Uamuzi wa madiwani Chadema umeshatolewa

Waziri Mkuu Mizengo Pinda

Waziri Mkuu Mizengo Pinda

Na Debora Sanja, Dodoma

UAMUZI kuhusu hatma ya madiwani watatu wa Chadema katika Manispaa ya Ilemela waliofukuzwa na Meya wa Manispaa hiyo, Henry Mtata, umekwisha kutolewa.

Taarifa hiyo ilitolewa bungeni jana na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, wakati akijibu swali la Mbunge wa Ilemelea, Highness Kiwia (Chadema) wakati wa kipindi cha maswali ya papo kwa hapo kwa Waziri Mkuu.

Katika swali lake, Kiwia alitaka kujua lini madiwani watatu wa Manispaa ya Ilemela waliofukuzwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA yataka Pinda awatimue DC, DED Kiteto

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, ametakiwa kuwachukulia hatua za kinidhamu viongozi wa Wilaya ya Kiteto akiwemo Mkuu wa Wilaya hiyo, Martha Umbulla na Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo, Jane Mutagurwa na amshauri...

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU PINDA ASALIMIANA NA ALIYEKUWA MBUNGE WA MPANDA KATI KWA CHAMA CHA CHADEMA MH.ARFI

  Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na aliyekuwa Mbunge wa Mpanda  Kati  kwa tiketi ya CHADEMA, Said Arfi mjini Mpanda  Julai 21 2015. MheshiMiwa Pinda yuko  Katavi kwa mapumziko mafupi. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Kiboko akiwa  amejeruhiwa vibaya baada ya  kushambuliwa na Simba na kukimbilia mtoni katika Hifadhi ya Taifa ya Katavi Julai 21, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri  Mkuu)Mamba wakiwa katika hifadhi ya Katavi Julai 21, 2015

 

11 years ago

BBCSwahili

UN kuchunguza ghasia CAR

Umoja wa Mataifa umeanzisha uchunguzi wa visa vya ukiukwaji wa haki za binadamu kutokana na ghasia katika Jamhuri ya Afrika ya Kati .

 

11 years ago

Tanzania Daima

Waziri Ghasia aumbuka

SIKU chache baada ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Serikali za Mitaa Tawala za Mikoa (Tamisemi), Hawa Ghasia, kusema kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe...

 

10 years ago

Mtanzania

Ghasia: Nipo tayari kuwajibika

Hawa Ghasia

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), Hawa Ghasia

NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM,
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Hawa Ghasia, amesema kwamba yuko tayari kuwajibika iwapo atabainika amevuruga Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika juzi nchini.
Waziri Ghasia aliyasema hayo wakati alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, kuhusu taarifa ya awali ya upigaji kura katika Serikali za Mitaa.
“Nitakuwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Ghasia aongoza mazishi ya DC Chang’a

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, (Tamisemi), Hawa Ghasia jana aliongoza mazishi ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kalambo, mkoani Rukwa, Moshi Chang’a yaliyofanyika katika makaburi ya Mtwivila, Kihesa Iringa.

 

10 years ago

Habarileo

Waziri Ghasia, Kafulila watofautiana

Mkuu wa Wilaya ya Uvinza, Hadija NyemboMBUNGE wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi) na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Hawa Ghasia jana walitofautiana bungeni kuhusu tuhuma za ubadhirifu wa fedha zinazomkabili Mkuu wa Wilaya ya Uvinza, Hadija Nyembo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani