Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHADEMA yamkaba CAG

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimembana Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kikimtaka aweke bayana vyama vya siasa ambavyo havijakaguliwa hesabu zake na aeleze lini vitakaguliwa....

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Ripoti ya CAG kuzigusa Chadema, CCM

Bunge la Bajeti linaanza vikao vyake kesho mjini Dodoma na moja ya kazi zake zitakazovuta hisia za wengi ni Ripoti ya Mwaka 2012/13 ya Mashirika ya Umma na Taasisi za Serikali itakayowasilishwa na Ofisi ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).

 

11 years ago

Mwananchi

Kamati yamkaba kigogo wa Uda

Mtendaji Mkuu wa Shirika la Usafiri Dar es Salaam (Uda), Robert Kisena amewekwa kiti moto kwa saa kadhaa na Kamati ya Bunge ya Kinga, Haki na Madaraka ya Bunge.

 

10 years ago

Michuzi

MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU WA CHADEMA TAIFA 2014:FREEMAN MBOWE ASHINDA NAFASI YA MWENYEKITI CHADEMA TAIFA, PROFESA ABDALLAH SAFARI MAKAMU MWENYEKITI WA CHADEMA BARA

 Sehemu ya Wajumbe wa Mkutano  mkuu wa chadema Wakicheza kwa furaha muda mfupi baada ya matokeo ya Uchaguzi kwenye Mkutano Mkuu Kutangazwa Usiku huu Freeman Mbowe akiwashukuru wajumbe wa mkutano mkuu wa CHADEMA  kwa kumchagua tena kushika nafasi ya mwenyekiti Mshindi wa nafasi ya mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe akipongezwa na Katibu Mkuu wa Chadema Dr Wilbrod Slaa Makamu  Mwenyekiti wa Chadema Bara Profesa Abdallah Safari(Kulia)na Mwenyekiti wa Chadema Taifa Freeman Mbowe wakipungia kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani