Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chadema yawaonya wanaochafuana

Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Wilbroad Slaa amewaonya baadhi ya wanachama wanaochafuana na waliojitokeza kutangaza nia ya kugombea nafasi mbalimbali za udiwani, ubunge kabla ya wakati akiwamo mwenyekiti wa chama hicho mkoani hapa, Joseph Fuime.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

KwanzaJamii

CHADEMA YAWAONYA WAGOMBEA

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimesema wagombea wa nafasi za kitaifa hawaruhusiwi kukutana na wajumbe wapiga kura waliyoko mikoani, kwani kwa kufanya hivyo kuna mianya ya rushwa na atakayebainika ataondolewa kwenye kinyang’anyiro. Chama hicho, pia kimesisitiza kuwa suala la kugombea ni hiari ya kila mwanachama wala sio suala la uongozi wa ngazi yoyote ya chama, hivyo kila mgombea atekeleze wajibu kwa kujaza fomu, kuzilipia na kuzifikisha ofisini kwa utaratibu...

 

11 years ago

Mwananchi

Chadema yawaonya wabunge CCM

 Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa amesema kuwa chama hicho kitachukua uamuzi mgumu ikiwa wabunge wa CCM watajikita katika kulinda masilahi yao kwenye Bunge Maalumu la Katiba kinyume na maoni ya wananchi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA Mbeya yawaonya wasimamizi serikali za mitaa

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Wilaya ya Mbeya Mjini, kimesema hakitavumilia msimamizi wa uchaguzi atakayeonyesha hali ya kukipendelea Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Burundi yawaonya waandamanaji

Serikali ya Burundi imewaonya watakaofanya maandamano nchini humo kupinga rais wa sasa watachukuliwa hatua kama wachochezi.

 

11 years ago

Habarileo

Serikali yawaonya makandarasi

SERIKALI imeonya makandarasi wenye tabia ya kuhonga watumishi wa Serikali ili wapatiwe zabuni za ujenzi wa miradi mbalimbali kuacha mara moja.

 

11 years ago

Mwananchi

DART yawaonya wafanyabiashara

Wakala wa Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART), umewataka wafanyabiashara jijini hapa wanaotumia maeneo ya yaliyojengwa kwa ajili ya watembea kwa miguu na baiskeli kuondoka kabla ya hatua za kisheria hazijachukuliwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

SSRA yawaonya waajiri

MAMLAKA ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), imewaonya waajiri na Mifuko ya Hifadhi nchini kutowalazimisha wafanyakazi kujiunga na mifuko wanayoitaka wao. Akitoa taarifa kwa umma...

 

5 years ago

CCM Blog

KILIMANJARO MARATHON YAWAONYA WADANGANYIFU

 Wakazi wa Dar es Salaam wakichukua namba za kukimbilia kwa ajili yam bio za KM 42 za Kilimanjaro Premium Lager na Km 21 za Tigo na kujiandikisha kwa mbio za Km 5 za Grand Malt katika viwanja vya Mlimani City mwishoni mwa wiki. Zoezi hilo litahamia Arusha kesho Jumanne na Jumatano.





 Waandaaji wa mbio za Kilimanjaro Premium Lager Marathon 2020 wametoa onyo kalikwa washiriki wanaopanga kutumia njia za udanganyifu kushiriki mbio hizo kwa lengo la kujipatia medali na zawadi nyingine.

Taarifa...

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali yawaonya wavuvi haramu

>Serikali imewaonya wavuvi na kuwataka mara moja kuacha matumizi ya baruti kuvua samani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani