Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHADEMA YAWAONYA WAGOMBEA

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimesema wagombea wa nafasi za kitaifa hawaruhusiwi kukutana na wajumbe wapiga kura waliyoko mikoani, kwani kwa kufanya hivyo kuna mianya ya rushwa na atakayebainika ataondolewa kwenye kinyang’anyiro. Chama hicho, pia kimesisitiza kuwa suala la kugombea ni hiari ya kila mwanachama wala sio suala la uongozi wa ngazi yoyote ya chama, hivyo kila mgombea atekeleze wajibu kwa kujaza fomu, kuzilipia na kuzifikisha ofisini kwa utaratibu...

KwanzaJamii

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Chadema yawaonya wanaochafuana

Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Wilbroad Slaa amewaonya baadhi ya wanachama wanaochafuana na waliojitokeza kutangaza nia ya kugombea nafasi mbalimbali za udiwani, ubunge kabla ya wakati akiwamo mwenyekiti wa chama hicho mkoani hapa, Joseph Fuime.

 

11 years ago

Mwananchi

Chadema yawaonya wabunge CCM

 Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa amesema kuwa chama hicho kitachukua uamuzi mgumu ikiwa wabunge wa CCM watajikita katika kulinda masilahi yao kwenye Bunge Maalumu la Katiba kinyume na maoni ya wananchi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA Mbeya yawaonya wasimamizi serikali za mitaa

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Wilaya ya Mbeya Mjini, kimesema hakitavumilia msimamizi wa uchaguzi atakayeonyesha hali ya kukipendelea Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA yaonya wagombea

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimesema wagombea wa nafasi za kitaifa hawaruhusiwi kukutana na wajumbe wapiga kura waliyoko mikoani, kwani kwa kufanya hivyo kuna mianya ya rushwa na atakayebainika...

 

9 years ago

Mtanzania

Wagombea ubunge Chadema hadharani

Na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam

CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimepitisha majina ya wagombea ubunge wa chama hicho katika mikoa mbalimbali chini ya mwamvuli wa Ukawa.

Katika uteuzi huo, baadhi ya wanasiasa na wanahabari wamefanikiwa kupenya katika chekeche la mchujo wa chama hicho na kufanikiwa kuteuliwa kupeperusha bendera ya chama hicho katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu.

Taarifa iliyotolewa na Naibu Katibu Mkuu wa Chadema (Bara), John Mnyika, iliwataja wanachama...

 

9 years ago

Mwananchi

Chadema yatangaza wagombea ubunge

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimetangaza majina ya wagombea ubunge katika majimbo 135 yaliyoteuliwa na Kamati Kuu yakiwamo ya wabunge na makada wa CCM waliohamia katika chama hicho.

 

10 years ago

Habarileo

Mchujo wagombea Chadema waanza

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kinaanza kufanya mchujo kwa watu 284 waliojitokeza kuwania kuteuliwa kugombea nafasi mbalimbali za uongozi kwenye chama hicho.

 

11 years ago

Mwananchi

Wabunge CCM, Chadema wagombea mradi wa maji

Uzinduzi wa mradi wa maji kutoka Ziwa Victoria kwenda Kwimba, umesababisha mvutano kati ya mbunge wa Kwimba, Hanif Mansoor (CCM) na mbunge wa viti maalumu, Leticia Nyerere (Chadema).

 

10 years ago

Habarileo

Chadema yaja juu wagombea wake kuenguliwa

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema kimeamua kutumia njia ya Mahakama ili kutaka demokrasia itumike katika uchaguzi wa serikali za mitaa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani