CHADEMA YAWAONYA WAGOMBEA
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimesema wagombea wa nafasi za kitaifa hawaruhusiwi kukutana na wajumbe wapiga kura waliyoko mikoani, kwani kwa kufanya hivyo kuna mianya ya rushwa na atakayebainika ataondolewa kwenye kinyang’anyiro. Chama hicho, pia kimesisitiza kuwa suala la kugombea ni hiari ya kila mwanachama wala sio suala la uongozi wa ngazi yoyote ya chama, hivyo kila mgombea atekeleze wajibu kwa kujaza fomu, kuzilipia na kuzifikisha ofisini kwa utaratibu...
KwanzaJamii
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi09 Mar
Chadema yawaonya wanaochafuana
11 years ago
Mwananchi23 Jan
Chadema yawaonya wabunge CCM
10 years ago
Tanzania Daima18 Nov
CHADEMA Mbeya yawaonya wasimamizi serikali za mitaa
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Wilaya ya Mbeya Mjini, kimesema hakitavumilia msimamizi wa uchaguzi atakayeonyesha hali ya kukipendelea Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa...
10 years ago
Tanzania Daima25 Aug
CHADEMA yaonya wagombea
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimesema wagombea wa nafasi za kitaifa hawaruhusiwi kukutana na wajumbe wapiga kura waliyoko mikoani, kwani kwa kufanya hivyo kuna mianya ya rushwa na atakayebainika...
9 years ago
Mtanzania19 Aug
Wagombea ubunge Chadema hadharani
Na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam
CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimepitisha majina ya wagombea ubunge wa chama hicho katika mikoa mbalimbali chini ya mwamvuli wa Ukawa.
Katika uteuzi huo, baadhi ya wanasiasa na wanahabari wamefanikiwa kupenya katika chekeche la mchujo wa chama hicho na kufanikiwa kuteuliwa kupeperusha bendera ya chama hicho katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu.
Taarifa iliyotolewa na Naibu Katibu Mkuu wa Chadema (Bara), John Mnyika, iliwataja wanachama...
9 years ago
Mwananchi19 Aug
Chadema yatangaza wagombea ubunge
10 years ago
Habarileo04 Sep
Mchujo wagombea Chadema waanza
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kinaanza kufanya mchujo kwa watu 284 waliojitokeza kuwania kuteuliwa kugombea nafasi mbalimbali za uongozi kwenye chama hicho.
11 years ago
Mwananchi31 Mar
Wabunge CCM, Chadema wagombea mradi wa maji
10 years ago
Habarileo10 Dec
Chadema yaja juu wagombea wake kuenguliwa
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema kimeamua kutumia njia ya Mahakama ili kutaka demokrasia itumike katika uchaguzi wa serikali za mitaa.