Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chadema yaja juu wagombea wake kuenguliwa

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema kimeamua kutumia njia ya Mahakama ili kutaka demokrasia itumike katika uchaguzi wa serikali za mitaa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

CHADEMA JIMBO LA MOSHI MJINI YATANGAZA WAGOMBEA UDIWAI WAKE.


Mkutano wa Hadhara wa Kampeni wa Utamburisho wa wagombea wa Udiwani katika jimbo la Moshi mjini.
Mgombea wa nafasi ya Udiwani kwa tiketi ya Chadema na UKAWA katika kata ya Korongoni ,manispaa ya Moshi,Ally Mwamba akiomba kura mbele ya wakazi wa mji wa Moshi wanaoishi Korongoni (hawapo pichani).
Mgombea wa nafasi ya Udiwani kwa tiketi ya Chadema na UKAWA katika kata ya Rau ,manispaa ya Moshi,Peter Kimaro akiomba kura mbele ya wakazi wa mji wa Moshi wanaoishi Rau (hawapo pichani)

Mgombea wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Midahalo ya wagombea urais yaja

Jumuiya ya Wanataaluma wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (Udasa) na ITV/ Radio One wamesaini makubaliano ya kuandaa midahalo ya wagombea wa urais kwenye Uchaguzi Mkuu Oktoba mwaka huu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Familia ya Sheikh Yahya yaja juu

MTOTO mkubwa wa marehemu Sheikh Yahya Hussein, Hassan Yahya, amesema kitendo cha askari wanaodaiwa kuwa  mgambo wa jiji  kuvunja kaburi la baba yake pamoja na la aliyekuwa Sheikh Mkuu wa...

 

11 years ago

Dewji Blog

Ikulu yaja juu kuhusu Hati ya Muungano

sefue

Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Yohana Sefue.

TAMKO LA KATIBU MKUU KIONGOZI KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU HATI YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR IKULU, DAR ES SALAAM, TAREHE 14 APRILI, 2014

Siku 12 zijazo tutasherehekea miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, na kuzaliwa kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Wamezaliwa watu ndani ya Muungano huu na wengine wana wajukuu.

            Inasikitisha sana kuwa leo, miaka 50 baadaye ipo dhana potofu inayojengwa kuwa Muungano huu si...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TEF yaja juu wanahabari kuzuiwa Bunge la Katiba

MWENYEKITI wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Absalom Kibanda, amesema wamewasiliana na Katibu wa Bunge, Thomas Kashililah, ili kujua na kupata maelezo kwa nini wamefikia uamuzi wa kuzuia waandishi wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA yaja na ajenda 9

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimeamua kuwasha moto nchi nzima kwa wiki mbili mfululizo kuanzia leo, ukiwa ni mkakati wa kujiimarisha na kujadiliana na wananchi kuhusu masuala nyeti ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Chadema yaja na ‘Amsha Wanawake’

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), leo kinazindua operesheni mpya ya kuwaandaa wanawake kufanya “maamuzi magumu” kwenye Uchaguzi Mkuu ujao. Kwa sasa, chama hicho kikuu cha upinzani, kinaendelea na kampeni ya “Amsha Amsha”, ambayo inalenga kuhamasisha wananchi kujitokeza kujiandikisha kwenye Daftari la Wapigakura.

 

10 years ago

Mwananchi

Chadema yaja na maazimio sita mazito

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ametoa maazimio sita ya Umoja wa Katiba ya Watanzania (Ukawa), iwapo vikao vya Bunge la Katiba vinavyoendelea mjini Dodoma, havitasitishwa.

 

9 years ago

Bongo5

Amini awatoa wasiwasi mashabiki wake juu ya ukimya wake

Amini

Amini amewaondoa wasiwasi mashabiki wake kuhusu ukimya wake na kudai kuwa mpaka sasa ana nyimbo tano tayari kwaajili ya mashabiki wake.

amini

Muimbaji huyo amekiambia kipindi cha Planet Bongo ya EA Radio kuwa alikuwa kimya ili ahakikishe ana nyimbo zake tano mkononi.

“Nilitaka niwe na nyimbo zangu tano mkononi ndio nianze kuachia nyimbo,” amesema. “Kwa sababu nataka kuandaa vitu vizuri ambavyo vikitoka vitafanya vizuri kwa sababu naweza kuchelewa na nikatoa nyimbo na ikafanya vizuri tu. Sina...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani