Chadema yaja juu wagombea wake kuenguliwa
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema kimeamua kutumia njia ya Mahakama ili kutaka demokrasia itumike katika uchaguzi wa serikali za mitaa.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-gSDlyNsCRTM/VeaJSvEA_pI/AAAAAAAAUhc/rSVUGjDRF1g/s72-c/G03A1963%2B%25281280x853%2529.jpg)
CHADEMA JIMBO LA MOSHI MJINI YATANGAZA WAGOMBEA UDIWAI WAKE.
![](http://2.bp.blogspot.com/-gSDlyNsCRTM/VeaJSvEA_pI/AAAAAAAAUhc/rSVUGjDRF1g/s640/G03A1963%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-YO67gUymTrM/VeaGzbs08sI/AAAAAAAAUek/akDZxF7urmo/s640/DSCF0046%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-eYvrdlMp2x0/VeaG4fWdx_I/AAAAAAAAUes/2o4yCUohDzg/s640/DSCF0047%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-U4sn00eo08w/VeaG4skeRcI/AAAAAAAAUew/UxQYR8WGNlk/s640/DSCF0050%2B%25281280x960%2529.jpg)
10 years ago
Mwananchi16 Jan
Midahalo ya wagombea urais yaja
11 years ago
Tanzania Daima12 Apr
Familia ya Sheikh Yahya yaja juu
MTOTO mkubwa wa marehemu Sheikh Yahya Hussein, Hassan Yahya, amesema kitendo cha askari wanaodaiwa kuwa mgambo wa jiji kuvunja kaburi la baba yake pamoja na la aliyekuwa Sheikh Mkuu wa...
11 years ago
Dewji Blog14 Apr
Ikulu yaja juu kuhusu Hati ya Muungano
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Yohana Sefue.
TAMKO LA KATIBU MKUU KIONGOZI KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU HATI YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR IKULU, DAR ES SALAAM, TAREHE 14 APRILI, 2014
Siku 12 zijazo tutasherehekea miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, na kuzaliwa kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Wamezaliwa watu ndani ya Muungano huu na wengine wana wajukuu.
Inasikitisha sana kuwa leo, miaka 50 baadaye ipo dhana potofu inayojengwa kuwa Muungano huu si...
11 years ago
Tanzania Daima14 Mar
TEF yaja juu wanahabari kuzuiwa Bunge la Katiba
MWENYEKITI wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Absalom Kibanda, amesema wamewasiliana na Katibu wa Bunge, Thomas Kashililah, ili kujua na kupata maelezo kwa nini wamefikia uamuzi wa kuzuia waandishi wa...
11 years ago
Tanzania Daima22 Jan
CHADEMA yaja na ajenda 9
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimeamua kuwasha moto nchi nzima kwa wiki mbili mfululizo kuanzia leo, ukiwa ni mkakati wa kujiimarisha na kujadiliana na wananchi kuhusu masuala nyeti ya...
10 years ago
Mwananchi21 Jun
Chadema yaja na ‘Amsha Wanawake’
10 years ago
Mwananchi15 Sep
Chadema yaja na maazimio sita mazito
9 years ago
Bongo509 Nov
Amini awatoa wasiwasi mashabiki wake juu ya ukimya wake
![Amini](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/07/Amini-300x194.jpg)
Amini amewaondoa wasiwasi mashabiki wake kuhusu ukimya wake na kudai kuwa mpaka sasa ana nyimbo tano tayari kwaajili ya mashabiki wake.
Muimbaji huyo amekiambia kipindi cha Planet Bongo ya EA Radio kuwa alikuwa kimya ili ahakikishe ana nyimbo zake tano mkononi.
“Nilitaka niwe na nyimbo zangu tano mkononi ndio nianze kuachia nyimbo,” amesema. “Kwa sababu nataka kuandaa vitu vizuri ambavyo vikitoka vitafanya vizuri kwa sababu naweza kuchelewa na nikatoa nyimbo na ikafanya vizuri tu. Sina...