Ikulu yaja juu kuhusu Hati ya Muungano
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Yohana Sefue.
TAMKO LA KATIBU MKUU KIONGOZI KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU HATI YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR IKULU, DAR ES SALAAM, TAREHE 14 APRILI, 2014
Siku 12 zijazo tutasherehekea miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, na kuzaliwa kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Wamezaliwa watu ndani ya Muungano huu na wengine wana wajukuu.
Inasikitisha sana kuwa leo, miaka 50 baadaye ipo dhana potofu inayojengwa kuwa Muungano huu si...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi15 Apr
Ikulu yaonyesha hati ya Muungano
11 years ago
Tanzania Daima12 Apr
Familia ya Sheikh Yahya yaja juu
MTOTO mkubwa wa marehemu Sheikh Yahya Hussein, Hassan Yahya, amesema kitendo cha askari wanaodaiwa kuwa mgambo wa jiji kuvunja kaburi la baba yake pamoja na la aliyekuwa Sheikh Mkuu wa...
11 years ago
Habarileo15 Apr
Hati ya Muungano hadharani
HATIMAYE baada ya upotoshwaji mkubwa wa baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, hasa waliojiundia kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kuwa Hati ya Muungano haipo, sasa Serikali imeweka hati hiyo hadharani. Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue alisema kuwa Rais Jakaya Kikwete ameridhia hati hiyo ioneshwe na waandishi wa habari walikuwa wa kwanza kuiona hati halisi jana.
11 years ago
Mwananchi03 Apr
Hati za Muungano mvurugano
10 years ago
Habarileo10 Dec
Chadema yaja juu wagombea wake kuenguliwa
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema kimeamua kutumia njia ya Mahakama ili kutaka demokrasia itumike katika uchaguzi wa serikali za mitaa.
11 years ago
Tanzania Daima17 Apr
Hati ya Muungano yatinga bungeni
HATIMAYE serikali imewasilisha bungeni nakala ya hati halisi ya makubaliano ya muungano baina ya Tanganyika na Zanzibar yaliyofanyika mwaka 1964. Makamu Mwenyekiti wa Bunge, Samia Suluhu, aliwatangazia wajumbe bungeni jana...
11 years ago
Habarileo02 Apr
Hati za Muungano hoja Namba 1
SIKU ya kwanza ya kujadili rasimu jana, kwa kamati tatu zilizotoa taarifa, zimeeleza mjadala umeanza kwa amani huku wajumbe wengi wakitaka kuoneshwa kwanza hati za Muungano, zilizosainiwa na waasisi wake, Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere na Shekhe Abeid Amaan Karume, ndipo waanze mjadala.
11 years ago
Tanzania Daima14 Mar
TEF yaja juu wanahabari kuzuiwa Bunge la Katiba
MWENYEKITI wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Absalom Kibanda, amesema wamewasiliana na Katibu wa Bunge, Thomas Kashililah, ili kujua na kupata maelezo kwa nini wamefikia uamuzi wa kuzuia waandishi wa...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-97DGuZ7Nn74/U0wltnMx5AI/AAAAAAAFars/6RZ-XvpkJE0/s72-c/D92A5088.jpg)
Balozi Sefue aonesha Hati ya Muungano
![](http://3.bp.blogspot.com/-97DGuZ7Nn74/U0wltnMx5AI/AAAAAAAFars/6RZ-XvpkJE0/s1600/D92A5088.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-o3e76_MMAV8/U0wl83fURSI/AAAAAAAFar0/lMWSWsjDQNY/s1600/D92A5126.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-teR-yaLv0J4/U0wmE2f4urI/AAAAAAAFar8/RgjxykxsR8U/s1600/D92A5133.jpg)