Familia ya Sheikh Yahya yaja juu
MTOTO mkubwa wa marehemu Sheikh Yahya Hussein, Hassan Yahya, amesema kitendo cha askari wanaodaiwa kuwa mgambo wa jiji kuvunja kaburi la baba yake pamoja na la aliyekuwa Sheikh Mkuu wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLTAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU KUVUNJWA KABURI LA SHEIKH YAHYA HUSSEIN NA SHEIKH KASIM
11 years ago
Mwananchi06 Jan
Mtoto wa Sheikh Yahya atabiri mazito
11 years ago
Mwananchi11 Apr
Kaburi la Sheikh Yahya lavunjwa Dar
11 years ago
Dewji Blog14 Apr
Ikulu yaja juu kuhusu Hati ya Muungano
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Yohana Sefue.
TAMKO LA KATIBU MKUU KIONGOZI KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU HATI YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR IKULU, DAR ES SALAAM, TAREHE 14 APRILI, 2014
Siku 12 zijazo tutasherehekea miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, na kuzaliwa kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Wamezaliwa watu ndani ya Muungano huu na wengine wana wajukuu.
Inasikitisha sana kuwa leo, miaka 50 baadaye ipo dhana potofu inayojengwa kuwa Muungano huu si...
10 years ago
Habarileo10 Dec
Chadema yaja juu wagombea wake kuenguliwa
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema kimeamua kutumia njia ya Mahakama ili kutaka demokrasia itumike katika uchaguzi wa serikali za mitaa.
11 years ago
Tanzania Daima14 Mar
TEF yaja juu wanahabari kuzuiwa Bunge la Katiba
MWENYEKITI wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Absalom Kibanda, amesema wamewasiliana na Katibu wa Bunge, Thomas Kashililah, ili kujua na kupata maelezo kwa nini wamefikia uamuzi wa kuzuia waandishi wa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YW8IU9hiX-o/VQ7xTUDoGSI/AAAAAAAHMPM/DzbdsEWPPdQ/s72-c/unnamed%2B(66).jpg)
SHEIKH MKUU WA WILAYA YA BAGAMOYO SHEIKH ABDULKADIR MOHAMED RAMIYA ATOA TAMKO LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-YW8IU9hiX-o/VQ7xTUDoGSI/AAAAAAAHMPM/DzbdsEWPPdQ/s1600/unnamed%2B(66).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-32Zq8hzlAZE/VQ7ydcE41kI/AAAAAAAHMPY/Qxe7tUyTi4Y/s1600/unnamed%2B(72).jpg)
10 years ago
Dewji Blog16 Jun
Rais Kikwete aomboleza kifo cha Sheikh Mkuu wa Tanzania Mufti Sheikh Issa Bin Shaaban Simba
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipeana mkono na marehemu Sheikh Mkuu wa Tanzania Mufti Sheikh Issa Bin Shaaban Simba (kushoto) enzi za uhai wake.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete ametuma salamu za rambirambi kwa Waislamu wote nchini na Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA)) kufuatia kifo cha Sheikh Mkuu wa Tanzania Mufti Sheikh Issa Bin Shaaban Simba.
Marehemu Mufti amefariki leo 15/6/2015 asubuhi katika hospitali ya TMJ – DSM alipokuwa amelazwa akisumbuliwa na ugonjwa wa sukari na shinikizo...