CHADEMA yaonya wagombea
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimesema wagombea wa nafasi za kitaifa hawaruhusiwi kukutana na wajumbe wapiga kura waliyoko mikoani, kwani kwa kufanya hivyo kuna mianya ya rushwa na atakayebainika...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo14 Dec
Chadema yaonya waandishi
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimevitaka vyombo vya habari nchini kuwa makini na aina ya uandishi wa habari na kuepuka kuandika habari za chuki na zile zinazoweza kuvuruga amani na uelewano.
11 years ago
Habarileo25 Jan
Chadema yaonya viongozi wanaokiuka katiba
CHAMA cha Maendeleo na Demokrasia (Chadema ) kimewaonya viongozi wake, wakiwemo wabunge kuwa hakitasita kuwachukulia hatua za kinidhamu iwapo watabainika kwenda kinyume na Katiba na taratibu za chama hicho.
11 years ago
Tanzania Daima05 Feb
CHADEMA yaonya Tanzania kutumiwa na waasi wa FLDR
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetoa msimamo wake kuhusu mahusiano yanayolegalega kati ya Tanzania na Rwanda, huku kikitaka ukweli ujulikane na suluhu itafutwe ili nchi hizo jirani zisiingie katika...
10 years ago
Mwananchi22 Sep
Chadema wang’ang’ania maandamano, polisi yaonya
10 years ago
KwanzaJamii27 Aug
CHADEMA YAWAONYA WAGOMBEA
9 years ago
Mwananchi19 Aug
Chadema yatangaza wagombea ubunge
10 years ago
Habarileo04 Sep
Mchujo wagombea Chadema waanza
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kinaanza kufanya mchujo kwa watu 284 waliojitokeza kuwania kuteuliwa kugombea nafasi mbalimbali za uongozi kwenye chama hicho.
9 years ago
Mtanzania19 Aug
Wagombea ubunge Chadema hadharani
Na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam
CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimepitisha majina ya wagombea ubunge wa chama hicho katika mikoa mbalimbali chini ya mwamvuli wa Ukawa.
Katika uteuzi huo, baadhi ya wanasiasa na wanahabari wamefanikiwa kupenya katika chekeche la mchujo wa chama hicho na kufanikiwa kuteuliwa kupeperusha bendera ya chama hicho katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu.
Taarifa iliyotolewa na Naibu Katibu Mkuu wa Chadema (Bara), John Mnyika, iliwataja wanachama...
11 years ago
Mwananchi31 Mar
Wabunge CCM, Chadema wagombea mradi wa maji