Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHADEMA yaonya Tanzania kutumiwa na waasi wa FLDR

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetoa msimamo wake kuhusu mahusiano yanayolegalega kati ya Tanzania na Rwanda, huku kikitaka ukweli ujulikane na suluhu itafutwe ili nchi hizo jirani zisiingie katika...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Chadema yaonya waandishi

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimevitaka vyombo vya habari nchini kuwa makini na aina ya uandishi wa habari na kuepuka kuandika habari za chuki na zile zinazoweza kuvuruga amani na uelewano.

 

10 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA yaonya wagombea

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimesema wagombea wa nafasi za kitaifa hawaruhusiwi kukutana na wajumbe wapiga kura waliyoko mikoani, kwani kwa kufanya hivyo kuna mianya ya rushwa na atakayebainika...

 

11 years ago

Habarileo

Chadema yaonya viongozi wanaokiuka katiba

CHAMA cha Maendeleo na Demokrasia (Chadema ) kimewaonya viongozi wake, wakiwemo wabunge kuwa hakitasita kuwachukulia hatua za kinidhamu iwapo watabainika kwenda kinyume na Katiba na taratibu za chama hicho.

 

10 years ago

Mwananchi

Chadema wang’ang’ania maandamano, polisi yaonya

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesisitiza kufanya maandamano kuanzia leo hadi Ijumaa wiki hii licha ya Polisi kuyapiga marufuku.

 

10 years ago

BBCSwahili

Serikali ya Tanzania yaonya kuhusu ugaidi

Serikali ya Tanzania imesema kuwa itazichukulia hatua kali taasisi ama kikundi chochote kitakachogundulika kujihusisha na kutoa mafunzo ya vitendo vinavyoashiria ugaidi

 

10 years ago

GPL

KIONGOZI WA WAASI WA ADF ATIWA MBARONI NCHINI TANZANIA

Kiongozi wa waasi wa ADF, Jamil Mukulu (menye shati jeupe). Waasi wa Allied Democratic Forces  (ADF). Raia wakikimbia mapigano dhidi ya ADF. JEESHI  la polisi nchini limefanikiwa kumtia mbaroni kiongozi wa kundi la waasi wa Allied Democratic Forces  (ADF) wa nchini Uganda,  Jamil Mukulu,  ambaye…

 

10 years ago

Vijimambo

KATIBU WA CHADEMA DMV, MAREKANI, ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA CHADEMA TANZANIA



Katibu wa tawi la CHADEMA DMV, Marekani, Ndugu Liberatus Mwang'ombe amefanya ziara ya kutembelea makao makuu ya CHADEMA jijini Dar Es Salaam.

Katika ziara hiyo Ndugu Liberatus Mwang'ombe aliweza kufanya mkutano na Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr. Wilbrod Slaa na mratibu wa mambo ya wabunge  wa CHADEMA, Ndugu John Mrema.

Ndg. Liberatus Mwang'ombe alipata fursa ya  kujadiliana mambo mbalimbali na Katibu mkuu wa CHADEMA Taifa Dr Wilbroad Slaa hosusani changamoto zinazo wakabili Watanzania kwa ujumla na...

 

10 years ago

Habarileo

‘Vijana kataeni kutumiwa na wanasiasa’

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Tabora mjini, Moshi Nkonkota ameshauri vijana kujitambua na kutokukubali kutumika kama daraja na wanasiasa wabinafsi katika kutafutia uongozi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais akataa jina lake kutumiwa

Rais wa Korea kazkazini awataka wananchi wake kutotumia jina lake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani