Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chaka Chaka: Nyerere was real son of African continent

“For me, Mwalimu Nyerere is not the Father of the Nation for Tanzanians only; he is the father of the African Continent,” Ms Chaka-chaka told the media in Arusha yesterday.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

YVONE CHAKA CHAKA: Mtoto wa kwanza mweusi runingani Afrika Kusini

YVONE  Chaka Chaka ni mwimbaji machachari mwenye sauti nyororo inayosindikizwa na haiba usoni mwake. Alizaliwa katika mji wa Dobsonville huko Soweto, nchini Afrika Kusini mwaka 1965, ambaye aliweka rekodi ya...

 

10 years ago

Bongo5

Yvonne Chaka Chaka kutumbuiza Kenya mwezi huu

Mashabiki wa Kenya mwezi huu watapata nafasi ya kupata burudani kutoka kwa wasanii wawili wakubwa wa Afrika katika show mbili tofauti. Mwanamuziki mkongwe wa Afrika Kusini, Yvonne Chaka Chaka atatumbuiza jijini Nairobi, Kenya katikati ya mwezi huu. Hit maker huyo wa ‘Umqombothi’ atatumbuiza na wasanii wengine wa Kenya akiwemo Nameless kwenye tamasha la ‘Koroga festival’. […]

 

9 years ago

Bongo5

Music: Wimbo ramsi wa tuzo za Afrimma ulioshirikisha wasanii 10 akiwemo Diamond, Yvonne Chaka chaka, Vanessa Mdee…

Wasanii kutoka nchi mbalimbali za Afrika wanaowania tuzo za Afrimma wameungana kufanya wimbo rasmi wa tuzo hizo (Afrimma Theme Song). Walioshiriki katika wimbo huo ni pamoja na mkongwe kutoka Afrika Kusini Yvonne Chaka Chaka, Awilo Logomba (Congo), Diamond Platnumz (Tanzania), Eddy Kenzo (Uganda), Harrysong (Nigeria), Kcee (Nigeria), Stanley Enow (Cameroon), Dynamq (South Sudan) Teddy-A (Nigeria), […]

 

10 years ago

TheCitizen

Yvonne Chaka Chaka on song at 50

This weekend singer Yvonne Chaka Chaka, the self proclaimed Princess of Africa, celebrates her 50th birthday, 30 years in the industry, 10 years as a United Nations Children’s Fund goodwill ambassador and a new show.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Dk. Mwakyembe aingizwa ‘chaka’

WAZIRI wa Uchukuzi Dk. Harrison Mwakyembe amedaiwa kuingizwa mkenge na kuzindua mabehewa mapya 25 ya kubebea kokoto huku 21 yakisemekana kuwa chini ya kiwango. TRL ilipokea mabehewa 25 mapya ya...

 

11 years ago

GPL

MWAKIFWAMBA AWAINGIZA CHAKA BONGO MUVI

Hamida Hassan na Gladness Mallya
WASANII wa sinema wanaounda Kundi la Bongo Muvi, wamemshutumu Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania, Simon Mwakifwamba kwamba amewaingiza chaka katika uteuzi wa mjumbe anayewawakilisha katika Bunge la Katiba lililoanza juzi mjini Dodoma. Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania, Simon Mwakifwamba. Wakizungumza katika kikao cha dharura kilichoitishwa ghafla Jumatatu iliyopita kwenye viwanja vya...

 

9 years ago

Mwananchi

Mawakala waziingiza ‘chaka’ Yanga, Simba

Waswahili husema, mali bila daftari hupotea bila habari! Hilo linalofanyika kwa klabu za soka Tanzania, zikiwamo Simba, Yanga ambazo zimekuwa zikisajili wachezaji bila mipango, kuangalia mahitaji na matokeo yake kuishia kupata hasara.

 

9 years ago

Bongo5

Video: Silvastone Ft. Chaka Demus — Skatta (Remix)

Check Silvastone featuring the legendary Jamaican dancehall superstar Chaka Demus on the official video for this self produced banger. “Skatta (Remix)” features cameos from DJ Seani B (record shop scene) – who masterminded the remix, and DJ Ace (at the club) plus ofcourse the mighty Chaka Demus AND Pliers. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge […]

 

9 years ago

GPL

HILI LA KUBAKI VITUONI KULINDA KURA NI KUINGIZANA CHAKA!

JUMAPILI ijayo, baada ya hii ya keshokutwa, Watanzania kwa ujumla wetu, tutakuwa katika vituo mbalimbali vya kupigia kura, tayari kwa zoezi ambalo limetufanya kuwa na presha kubwa kwa miezi kadhaa sasa, kupiga kura. Zoezi hilo kwetu ni muhimu sana kwa sababu ndilo litakaloamua hatima ya maisha yetu kwa kipindi cha miaka mitano ijayo. Ni muda mchache maana miaka mitano iliyopita tulifanya kama hivi, lakini leo tunalia kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani