Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chama cha Msingi Kamachumu chaonyesha uthabiti wa ushirika

BAADA ya ushirika kugeuzwa mradi binafsi wa watu wanaochaguliwa au kuajiriwa na wanaushirika kwa ajili ya kuusimamia na kuuendesha hapa nchini, yameanza kujitokeza mabadiliko yanayodhihirisha kuwa wanaushirika wamechoshwa na hali...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU ATEMBELEA KIWANDA CHA TUMBAKU MKOANI RUVUMA NA KUWASIMAMISHA KAZI VIONGOZI WA CHAMA CHA USHIRIKA CHA SONAMCU

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametembelea kiwanda cha kusindika  tumbaku  cha mkoani Ruvuma na kuwasimamisha kazi viongozi wa Chama Cha Kikuu Cha Ushirika cha SONAMCU.
Akizungumza  jana jioni(Jumanne, Januari 5, 2016), katika ukumbi wa mikutano wa Ikulu Ndogo ya Songea, wakati alipokutana na wakulima wa zao la tumbaku wa Wilaya ya Namtumbo, Wananchama wa Vyama Vya Ushirika vya Mkoa wa Ruvuma, viongozi wa Mkoa pamoja na Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Edwin Ngonyani ambaye ni...

 

10 years ago

Vijimambo

MKUTANO MKUU WA PILI WA CHAMA CHA USHIRIKA CHA AKIBA NA MIKOPO TCRA

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.

 Meneja Wa Chama Cha Ushirika wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Bw.Damai J Mapunda Akitoa Muongozo Jinsi gani Mkutano Utakavyo Endeshwa  Mwenyekiti Wa Chama Cha Ushirika cha Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Bw. Erasmo A.Mbilinyi Akiwasilisha taarifa aliyo iandaa kwa kipindi Cha November 2013 Hadi September 2014 Katika Mkutano Huo Makamu Mwenyekiti Mpya...

 

5 years ago

Michuzi

CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA NYANZA CHATAKIWA KUJITEGEMEA KIMAPATO-KUSAYA

Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya akingea na watumishi wa Bodi ya Pamba nchini ambapo amewataka kubuni mikakati mipya ya kuongeza uzalishaji wa pamba nchini ili kukidhi mahitaji ya viwanda vya kuongeza thamani ya zao hilo.Tukio hili limefanyika leo jijini Mwanza
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Gerald Kusaya (aliyevaa tai) akiongea na Menejiment ya Chama Kikuu cha Ushirika Mwanza (Nyanza) na kuwataka kujitegemea kimapato kwa kutumia rasilimali za wakulima zilizopo.Kushoto ni...

 

5 years ago

Michuzi

SIJARIDHISHWA NA UTENDAJI KAZI WA CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA GEITA-KUSAYA



Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya akiwa amepanda juu ya ngazi kutizama mtambo wa kuchambua pamba katika kiwanda cha Matongo Farming Ltd wilaya ya Geita .Kiwanda hicho kina uwezo wa kuzalisha robota 450 zenye uzito wa kilo 200 kwa siku.
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya ( aliyevaa koti la bluu ) akiwa na Mkurugenzi Msaidizi wa Kiwanda cha Matongo Bw.Mwalida Samson wakitembelea kiwanda hicho mjini Geita leo.
Majengo ya kiwanda cha kuchambua pamba yanayomilikiwa na Chama...

 

5 years ago

Michuzi

CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA SIMIYU KIMETENGA MILIONI 36.7 KUSAIDIA JAMII










Mkuu wa wilaya ya Bariadi Mhe. Festo Kiswaga (kushoto) akipokea baiskeli iliyotolewa na Chama Kikuu cha Ushirika cha Mkoa wa Simiyu (SIMCU) kwa mtoto Ritha Elias mwenye ulemavu wa miguu(hayupo pichani) kutoka kwa Makamu Mwenyekiti wa SIMCU, Bw. Emmanuel Mwerere makabidhiano hayo yamefanyika sambamba na makabidhiano ya fedha taslimu shilingi 300,000/= Juni 04, 2020 Mjini Bariadi.

Mkuu wa wilaya ya Bariadi Mhe. Festo Kiswaga (kulia) akimkabidhi mtoto Ritha Elias mwenye ulemavu wa miguu fedha...

 

5 years ago

Michuzi

Bodi ya Chama kikuu cha Ushirika Rukwa yatakiwa kurudisha heshimuakwa Wakulima

Katibu Tawala wa mkoa wa Rukwa Benard Makali amewataka wajumbe wa Bodi ya Mpito ya Chama Kikuu cha Ushirika Mkoani Rukwa Ufipa Co-operative Union (UCU) kuhakikisha wanazingatia matakwa yote ya kisheria na miongozo ya usimamizi wa Chama hicho kwa weledi wa hali ua juu ili kurudisha heshimu ya Ushirika kwa wakulima na wananchi wa mkoa wa Rukwa.
Amesema kuwa utendaji kazi bora wa bodi hiyo utainua kipato cha wakulima ndani ya mkoa, na hatimae kuinua pato la taifa katika kukuza zao la mahindi na...

 

5 years ago

Michuzi

DC NJOMBE AWATAKA WAKULIMA KUJIUNGA CHAMA CHA USHIRIKA KUKUZA MITAJI YAO



Na Shukrani Kawogo, Njombe.

Mkuu wa Wilaya ya Njombe, Ruth Msafiri amewataka wakulima kujiunga kwenye chama cha ushirika ili kuweza kukuza mitaji yao kwa kuitumia Benki ya Maendeleo ya Wakulima (TADB) iliyoanzishwa na serikali kwa lengo la kumwezesha mkulima.
Hayo alitasema katika uzinduzi wa shamba la mfano la upandaji wa miti lenye ukubwa wa hekali mbili uliofanywa na wakala wa huduma za misitu Tanzania (TFS) katika kijiji cha Mikongo, Kata ya Kifanya wilayani Njombe ikiwa ni njia ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Chama cha ushirika SYCCOS chawapiga msasa wafugaji nyuki wa Mkoa wa Singida

DSC04244

Pichani ni Rais wa SYCCOS, Philemon Kiemi, alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari (hawapo picha) juu ya semina ya siku mbili ya wadau wa nyuki zaidi ya 500 wa Mkoa wa Singida, Semina iliyoanza jana na kutarajiwa kumalizika leo kwenye ukumbi wa mikutano wa Tatala Beach hotel mjini hapa.

Na Nathaniel Limu, Singida

CHAMA cha Ushirika na Ujasirimali cha Vijana waliomaliza vyuo vikuu (SYCCOS) mkoani Singida kinaendesha semina ya siku mbili kwa wadau zaidi ya 500 wanaojishughulisha na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Chama cha Msingi Kisanga chapania kujikomboa

CHAMA cha Msingi cha Kisanga, Wilaya ya Sikonge, Tabora kimekuwa kikijiendesha kwa mafanikio tangu kilipoanzishwa. Chama hiki chenye namba za usajili 540-TBR kilianzishwa mwaka 1998 kikiwa na wanachama 120; hadi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani