Chama cha Msingi Kamachumu chaonyesha uthabiti wa ushirika
BAADA ya ushirika kugeuzwa mradi binafsi wa watu wanaochaguliwa au kuajiriwa na wanaushirika kwa ajili ya kuusimamia na kuuendesha hapa nchini, yameanza kujitokeza mabadiliko yanayodhihirisha kuwa wanaushirika wamechoshwa na hali...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-curVweAhA70/VozSh8xvBVI/AAAAAAADEiQ/jUm-M1P_Mak/s72-c/maj22.jpg)
WAZIRI MKUU ATEMBELEA KIWANDA CHA TUMBAKU MKOANI RUVUMA NA KUWASIMAMISHA KAZI VIONGOZI WA CHAMA CHA USHIRIKA CHA SONAMCU
![](http://2.bp.blogspot.com/-curVweAhA70/VozSh8xvBVI/AAAAAAADEiQ/jUm-M1P_Mak/s400/maj22.jpg)
Akizungumza jana jioni(Jumanne, Januari 5, 2016), katika ukumbi wa mikutano wa Ikulu Ndogo ya Songea, wakati alipokutana na wakulima wa zao la tumbaku wa Wilaya ya Namtumbo, Wananchama wa Vyama Vya Ushirika vya Mkoa wa Ruvuma, viongozi wa Mkoa pamoja na Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Edwin Ngonyani ambaye ni...
10 years ago
VijimamboMKUTANO MKUU WA PILI WA CHAMA CHA USHIRIKA CHA AKIBA NA MIKOPO TCRA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-owenBv1Yuu8/XqsRo1ul8QI/AAAAAAALosg/xfJPMSoGlqkBCmIKcqiYUwMcOlZwfQm2QCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_2238-2048x1365.jpg)
CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA NYANZA CHATAKIWA KUJITEGEMEA KIMAPATO-KUSAYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-owenBv1Yuu8/XqsRo1ul8QI/AAAAAAALosg/xfJPMSoGlqkBCmIKcqiYUwMcOlZwfQm2QCLcBGAsYHQ/s640/DSC_2238-2048x1365.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/DSC_2287.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Gerald Kusaya (aliyevaa tai) akiongea na Menejiment ya Chama Kikuu cha Ushirika Mwanza (Nyanza) na kuwataka kujitegemea kimapato kwa kutumia rasilimali za wakulima zilizopo.Kushoto ni...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JWs5A_jjmto/Xqwbx7tjZEI/AAAAAAALoyE/4T65m-0kEdU6f4b3k35bAaFkN-dkw5S9gCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_2435.jpg)
SIJARIDHISHWA NA UTENDAJI KAZI WA CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA GEITA-KUSAYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-JWs5A_jjmto/Xqwbx7tjZEI/AAAAAAALoyE/4T65m-0kEdU6f4b3k35bAaFkN-dkw5S9gCLcBGAsYHQ/s640/DSC_2435.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya akiwa amepanda juu ya ngazi kutizama mtambo wa kuchambua pamba katika kiwanda cha Matongo Farming Ltd wilaya ya Geita .Kiwanda hicho kina uwezo wa kuzalisha robota 450 zenye uzito wa kilo 200 kwa siku.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/DSC_2463-1024x682.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya ( aliyevaa koti la bluu ) akiwa na Mkurugenzi Msaidizi wa Kiwanda cha Matongo Bw.Mwalida Samson wakitembelea kiwanda hicho mjini Geita leo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/DSC_2509-1024x682.jpg)
Majengo ya kiwanda cha kuchambua pamba yanayomilikiwa na Chama...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-A8ciMRkge4A/XtlHgRPYaKI/AAAAAAALso0/C4tYyJY4XHA1YPPZ2THN29v68aoCVZbJgCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-1.jpg)
CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA SIMIYU KIMETENGA MILIONI 36.7 KUSAIDIA JAMII
![](https://1.bp.blogspot.com/-A8ciMRkge4A/XtlHgRPYaKI/AAAAAAALso0/C4tYyJY4XHA1YPPZ2THN29v68aoCVZbJgCLcBGAsYHQ/s640/PICHA-1.jpg)
Mkuu wa wilaya ya Bariadi Mhe. Festo Kiswaga (kushoto) akipokea baiskeli iliyotolewa na Chama Kikuu cha Ushirika cha Mkoa wa Simiyu (SIMCU) kwa mtoto Ritha Elias mwenye ulemavu wa miguu(hayupo pichani) kutoka kwa Makamu Mwenyekiti wa SIMCU, Bw. Emmanuel Mwerere makabidhiano hayo yamefanyika sambamba na makabidhiano ya fedha taslimu shilingi 300,000/= Juni 04, 2020 Mjini Bariadi.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/PICHA-2-1.jpg)
Mkuu wa wilaya ya Bariadi Mhe. Festo Kiswaga (kulia) akimkabidhi mtoto Ritha Elias mwenye ulemavu wa miguu fedha...
5 years ago
MichuziBodi ya Chama kikuu cha Ushirika Rukwa yatakiwa kurudisha heshimuakwa Wakulima
Amesema kuwa utendaji kazi bora wa bodi hiyo utainua kipato cha wakulima ndani ya mkoa, na hatimae kuinua pato la taifa katika kukuza zao la mahindi na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Dwmg0Kie35A/XnczGmM9bDI/AAAAAAALkuA/KdKByf4lYTcp82cDXYcmGMzC5vrKGh30gCLcBGAsYHQ/s72-c/daimu%2Bpicha.jpg)
DC NJOMBE AWATAKA WAKULIMA KUJIUNGA CHAMA CHA USHIRIKA KUKUZA MITAJI YAO
Na Shukrani Kawogo, Njombe.
Mkuu wa Wilaya ya Njombe, Ruth Msafiri amewataka wakulima kujiunga kwenye chama cha ushirika ili kuweza kukuza mitaji yao kwa kuitumia Benki ya Maendeleo ya Wakulima (TADB) iliyoanzishwa na serikali kwa lengo la kumwezesha mkulima.
Hayo alitasema katika uzinduzi wa shamba la mfano la upandaji wa miti lenye ukubwa wa hekali mbili uliofanywa na wakala wa huduma za misitu Tanzania (TFS) katika kijiji cha Mikongo, Kata ya Kifanya wilayani Njombe ikiwa ni njia ya...
10 years ago
Dewji Blog21 Feb
Chama cha ushirika SYCCOS chawapiga msasa wafugaji nyuki wa Mkoa wa Singida
Pichani ni Rais wa SYCCOS, Philemon Kiemi, alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari (hawapo picha) juu ya semina ya siku mbili ya wadau wa nyuki zaidi ya 500 wa Mkoa wa Singida, Semina iliyoanza jana na kutarajiwa kumalizika leo kwenye ukumbi wa mikutano wa Tatala Beach hotel mjini hapa.
Na Nathaniel Limu, Singida
CHAMA cha Ushirika na Ujasirimali cha Vijana waliomaliza vyuo vikuu (SYCCOS) mkoani Singida kinaendesha semina ya siku mbili kwa wadau zaidi ya 500 wanaojishughulisha na...
11 years ago
Tanzania Daima04 Feb
Chama cha Msingi Kisanga chapania kujikomboa
CHAMA cha Msingi cha Kisanga, Wilaya ya Sikonge, Tabora kimekuwa kikijiendesha kwa mafanikio tangu kilipoanzishwa. Chama hiki chenye namba za usajili 540-TBR kilianzishwa mwaka 1998 kikiwa na wanachama 120; hadi...