Chama cha Wafanyakazi wa Sekta Binafsi wazindua Dau-Pesa
.jpg)
Huduma ya kutuma pesa Tanzania imezidi kuimarika baada ya kuazishwa kwa huduma mpya ya kutuma pesa. Huduma hiyo iliyopewa jina la Dau-Pesa leo imezinduliwa na Chama cha Wafananyakazi wa Sekta Binafsi ambapo huduma hiyo itawawezesha Watanzania kulipia huduma mbalimbali ikiwemo Luku, Dawasco, DSTV, na Zuku.
Akizungumza wakati wa uzinduzi wa huduma hiyo jijini Dar es Salaam, Kiongozi wa Dau-Pesa Dkt. Dauda Salmin alisema huduma hiyo imetengenezwa ili kufanya kazi kwa njia tatu. ‘’Njia ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima09 Nov
Wafanyakazi sekta binafsi wazindua Dau-Pesa
KATIKA kuhakikisha mpango Jumuishi wa kifedha unafanikiwa Chama cha Wafanyakazi wa Sekta Binafsi hapa nchini kimezindua huduma ya Dau-Pesa itakayowawezesha Watanzania kulipia huduma mbalimbali ikiwemo umeme, maji na ving’amuzi mahali...
5 years ago
Michuzi
SERIKALI ,SEKTA BINAFSI WATAKIWA KUKAA NA KUBUNI MIKAKATI YA KUENDELEZA SEKTA MUHIMU KATIKA KIPINDI HIKI CHA UGONJWA WA CORONA
Na Woinde Shizza,ARUSHA
SERIKALI pamoja na sekta binafsi zimetakiwa kukaa pamoja ili kubuni mikakati ya namna ya kuendesha sekta muhimu za uchumi kama vile sekta ya utalii ,sekta ya usafirishaji ,sekta ya kilimo ,sekta ya nishati pamoja na ufugaji bila kungoja kuisha kwa janga la Corona 19.
Hayo yamebainishwa na Mtendaji mkuu wa marafiki wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Moses Adam wakati akizungumza na Michuzi Tv ambapo alisema wanatakiwa kuja na njia mbadala endelevu zitakazoendelea ...
11 years ago
Michuzi
MKUTANO WA WADAU WA UHAMASISHAJI WA UBIA BAINA YA SEKTA YA UMMA NA SEKTA BINAFSI (PPP) KATIKA SEKTA AFYA MKOANI RUKWA

11 years ago
Habarileo24 Jan
Chama cha mawakala wa pesa za simu chasajiliwa
CHAMA cha mawakala wa huduma za pesa za simu za mkononi kimekamilisha usajili wa chama hicho. Akizungumza na waandishi wa habari leo msemaji wa chama hicho, Stanford Mbengane alisema kuwa usajili wa chama hicho umekamilika tangu Januari 10 mwaka huu.
10 years ago
Mwananchi09 Jul
Kilio cha sekta binafsi ni ukosefu wa mikopo kwa ajili ya biashara
5 years ago
Michuzi
Sekta binafsi Tanzania inavyosaidia kupambana na homa ya kirusi cha Corona

Wiki hii serikali ya Tanzania imetangaza mpango kujenga hospitali ya kupambana na magonjwa ya mlipuko kama homa hii ya kirusi cha corona. Hospitali hiyo inayokadiriwa kuwa itagharimu shilingi bilioni 7 za Kitanzania inatarajiwa kumalizika ndani ya miezi sita.
Mbali na hilo, ni faraja kubwa kuona nchi mbalimbali zinakuja pamoja kuhakikisha maisha...
10 years ago
Michuzi
MSHAURI WA CHAMA CHA DUNIA CHA MCHEZO WA MPIRA WA KIKAPU AKUTANA NA UONGOZI WA SEKTA YA MICHEZO NCHINI


11 years ago
Michuzi.jpg)
CHUO CHA DIPLOMASIA CHAWANOA MAAFISA KUTOKA JESHI, SERIKALINI NA SEKTA BINAFSI
katika mafunzo hayo ambayo Kwa kawaida wawezeshaji wa mafunzo hayo ya muda mfupi katika Chuo...
5 years ago
Michuzi
SEKTA BINAFSI YACHANGIA SERIKALI BILIONI 2.1 KWA AJILI YA KUBORESHA SEKTA YA AFYA
Na. WAMJW-DSM
Serikali kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imepokea kiasi cha shilingi bilioni 2.1 kwa ajili ya kuboresha huduma za afya kwenye vituo vya kutolea huduma za afya nchini kutoka kwa wadau wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF).
Akiongea wakati wa makabidhiano hayo Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Abel Makubi ameishukuru TPSF kwa uratibu wao kwa sekta binafsi kuchangia vifaa tiba hivyo ili vituo vya afya kuwa na vifaa muhimu vya kutolea...