Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chambiri aomba achaguliwe tena

MGOMBEA ubunge kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) jimbo la Babati Mjini, Kisyeri Chambiri aliwaomba wakazi wa kata ya Singe wilayani Babati mkoa wa Manyara , wamchague tena kuwa mbunge wao amalizie kazi aliyokwishaianza ya kuwaletea maendeleo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

MGOMBEA UDIWANI WA CCM THADEY MASSAWE AOMBA KURA ILI ACHAGULIWE


Mgombea wa udiwani kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi CCM kata ya Ndugumbi, jimbo la Kinondoni, Thadey Massawe,akizungumza sambamba na kuomba kura ili achaguliwe kuwa diwani wa kata hiyo mbele ya wanachama wa  chama chake  eneo la Texas Magomeni Kagera Dar es salaam jana.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Trump anasema China haitaki achaguliwe tena

Rais huyo wa Marekani anasema kwamba Bejing inakabiliwa na 'athari' mbaya kutoka kwa Marekani kuhusu virusi vya corona

 

10 years ago

TheCitizen

PROFILE : Remember a girl called Martina Chambiri?

Sometime in 1995, a five-year-old girl’s sweet voice hit the airwaves with a song about Tanzania. The song, which many still remember to-date and which became a hit for some time, thanks to the sweetness of the little girl’s babyish voice, was in praise of the country’s beauty.

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa mbunge wangu:Kisyeri Chambiri

uliwaahidi wananchi kwamba nusu ya mshahara wako wa ubunge utagawana nao kwa kufanikisha maendeleo, mbona hadi sasa hujatekeleza ahadi hiyo ya kutoa nusu mshahara wako?

 

5 years ago

Michuzi

WATANZANIA NAOMBA KUANZIA SASA CORONA AWE RAFIKI YETU...KWELI TENA , ASIWE ADUI TENA


Na Said Mwishehe, Michuzi TV

CORONA mambo vipi? Natumai uko salama na unaendelea vema na majukumu yako ya kila siku hapa duniani tangu ulipokuja Desemba mwaka 2019.

Karibu Corona, karibu Duniani, karibu kila unapotaka kuingia. Ndio karibu Corona maana umekuja na malengo yako.

Malengo ya kuua maelfu ya binadamu. Sawa Corona maana ndicho unachoona kwetu sisi.

Dunia inalia tangu ulipokuja na kuanza kuua watu wasio na hatia. Umetutia majonzi makubwa sana,  tunalia kwa ajili yako, wengi wamepoteza...

 

10 years ago

GPL

10 years ago

Bongo Movies

Jamani jamani, hii nini tena jamani?? Shilole na Nuh mziwanda wachafua mtandao tena

LEO kupitia kwenye kwenye mtandao ule maarufu wa picha nchini, msanii Nuhu mziwanda a.k.a mume mtarajiwa wa mwanadada Shilole ameweke picha hiyo hapo juu ambayo imezua utata mkubwa sana kwa wadau wachache walioiona picha hiyo kwenye mtandao, kabla haijafutwa. Wengi wao wamehoji,

 je kuna umuhimu gani wa kutupia mambo mazito kama hayo kwenye mitandao ya kijamii??

 

Picha hiyo ilikuwa na maandishi yanayosema

 

“I’m just hold it tight, my favorite thing on her boy”

 

Kwanza kabisa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani