Chatanda awataka Vijana Singida kujitokeza kujiandikisha daftari la wapiga kura
Mkuu wa wilaya ya Singida, Queen Mlozi, akitoa nasaha zake kwenye hafla iliyofana ya CCM kata ya Mughanga kusherehekea ushindi wa kishindo kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika desemba mwaka jana. CCM kata ya Mitunduruini imezoa nafasi zote zilizokuwa zikigombewa.Wa kwanza kulia ni diwani viti maalum,Anita Awadh na kushoto (wa pili kushoto ni katibu CCM mkoa wa Singida,Mary Chatanda na wa kwanza kushoto ni mwenyekiti CCM kata ya Mughanga.
Na Nathaniel Limu, Singida
VIONGOZI wa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog03 Feb
Jerry Silaa awataka wakazi wa Lindi kujitokeza kwa wingi kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura
Mjumbe wa Kamati kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Jerry Silaa.
Na Anna Nkinda – Maelezo, Lindi
Wakazi wa mkoa wa Lindi wametakiwa kujitokeza kwa wingi kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura ili waweze kushiriki kwenye uchaguzi mkuu utakaofanyika mwishoni mwa mwaka huu.
Rai hiyo imetolewa na Mjumbe wa Kamati kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Jerry Silaa wakati akiongea kwenye kilele cha sherehe za kutimiza miaka 38 ya chama hicho...
10 years ago
Michuzi28 Apr
MBUNGE NATSE AWATAKA WANANCHI WA KARATU KUJITOKEZA KWA WINGI KUJIANDIKISHA KATIKA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA
![SAM_2291](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/zOMv8JkVCbFSkBbIAnHyfn0960gF-QbzBd8w4sg7JjUqZw8tubgWnNuwKX3Vuc-h0ixUIyEP40U7zdzHt-cUkkI451MECd9ayqolqQeVWiMDPF8=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/04/sam_2291.jpg)
10 years ago
Dewji Blog11 Feb
Mama Salma Kikwete awataka wakazi wa Lindi kujitokeza kwa wingi kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia wilaya ya Lindi mjini Mama Salma Kikwete.
Na Anna Nkinda – Maelezo, Lindi
Wakazi wa mkoa wa Lindi wametakiwa kujitokeza kwa wingi kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura ili waweze kushiriki kwenye zoezi la kuipigia kura Katiba inayopendekezwa na uchaguzi mkuu utakaofanyika mwishoni mwa mwaka huu.
Mwito huo umetolewa jana na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-R-f339wgAzY/VNsJRDo1W6I/AAAAAAAHDAQ/1W1gbJge_gc/s72-c/salma-pps.jpg)
MAMA SALMA KIKWETE AWATAKA WAKAZI WA MKOA WA LINDI KUJITOKEZA KWA WINGI KUJIANDIKISHA KATIKA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA
![](http://2.bp.blogspot.com/-R-f339wgAzY/VNsJRDo1W6I/AAAAAAAHDAQ/1W1gbJge_gc/s1600/salma-pps.jpg)
Wakazi wa mkoa wa Lindi wametakiwa kujitokeza kwa wingi kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura ili waweze kushiriki kwenye zoezi la kuipigia kura Katiba inayopendekezwa na uchaguzi mkuu utakaofanyika mwishoni mwa mwaka huu.
Mwito huo umetolewa jana na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia wilaya ya Lindi mjini Mama Salma Kikwete wakati akiongea na wananchi waliohudhuria mkutano wa hadhara uliofanyika katika...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QToasQsruHc/VYHlIEqw0kI/AAAAAAAARMQ/cHSTN_av1j0/s72-c/E86A0679%2B%2528800x533%2529.jpg)
NASSARI AENDELEA KUHAMASISHA WANANCHI KUJITOKEZA KUJIANDIKISHA KATIKA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA
![](http://4.bp.blogspot.com/-QToasQsruHc/VYHlIEqw0kI/AAAAAAAARMQ/cHSTN_av1j0/s640/E86A0679%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-5z9YxFIi0Gw/VYHlIVP_iuI/AAAAAAAARMM/vyKSW3kb7YE/s640/E86A0705%2B%2528800x533%2529.jpg)
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
10 years ago
Dewji Blog18 Jun
Nassari atumia Helikopta kuhamasisha wananchi kujitokeza kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura jimboni kwake
![](http://4.bp.blogspot.com/-nthjGqrd-RA/VYHg27rg-kI/AAAAAAAARJs/5tND1sQl5dE/s640/E86A0545%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-X66WMHKjTHA/VYHg2Gyks5I/AAAAAAAARJk/NiHifZm4vuc/s640/E86A0566%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Zk8fNPYota0/VYHg2ok9miI/AAAAAAAARJo/Hq0wTj9yTWI/s640/E86A0568%2B%2528800x450%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-C2t5Z4fj5Ns/VYHg4xXaUZI/AAAAAAAARJ8/VS-Kwjw0OhM/s640/E86A0578%2B%2528800x533%2529.jpg)
10 years ago
VijimamboMTANGAZA NIA YA UBUNGE JIMBO LA KAWE KUPITIA CCM, WAKILI ELIAS NAWERA AHIMIZA VIJANA KUJITOKEZA KUJIANDIKISHA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KULA
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-_89w4z7Ze_w/VYJTXMYF9xI/AAAAAAABAOM/T9KzTjfIt24/s72-c/A%2B1.jpg)
MBUNGE NASSAR ATUMIA HELKOPTA KUHAMASISHA WANANCHI KUJITOKEZA KUJIANDIKISHA KATIKA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA JIMBO LA ARUMERU MASHARIKI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-_89w4z7Ze_w/VYJTXMYF9xI/AAAAAAABAOM/T9KzTjfIt24/s640/A%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-kKb04KzWZjQ/VYJTaMnzlmI/AAAAAAABAO4/Bsc7DJtVZmc/s640/A%2B2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-kWAiMKGaAN4/VYJTdre3qOI/AAAAAAABAPo/sMxr8xPhOg4/s640/A%2B9.jpg)
10 years ago
Dewji Blog20 Apr
Kinana ashiriki katika bonanza la vilabu vya Jogging mkoa wa Dar, vijana watakiwa kujiandikisha daftari la wapiga kura
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu Abdulrahman Kinana akianza mazoezi wakati akishiriki katika bonanza la Jogging lililoandaliwa na Kundi la Kaza Moyo Jogging Club la Ukonga Sitakishari ili kuhamasishwa vijana kujitokeza kwa wingi kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura . Mazoezi hayo yameanzia katika viwanja vya Gonga Gongo la Mboto kupitia Kipawa na kuishia kwenye uwanja wa Social Sitaki Shari Ukonga ujumbe mkuu wa Bonanza hilo ulikuwa ni kuwataka vijana kujitokeza kwa...