Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Cheka awaita mashabiki PTA J’mosi

BONDIA mahiri wa ngumi za kulipwa asiye na mpinzani hapa nchini, Francis Cheka ‘SMG’, amewaomba mashabiki wa ngumi wajitokeze kwa wingi kushuhudia pambano lake litakalofanyika Jumamosi Aprili 12, Ukumbi wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mjomba Mpoto awaita mashabiki wake

MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Mrisho Mpoto ‘Mjomba’ amemaliza mwaka kwa kuwashushia mashabiki wake kibao kipya kinachokwenda kwa jina la ‘Waite’. Mjomba anatamba na nyimbo mbalimbali ikiwemo ‘Chocheeni...

 

11 years ago

Michuzi

MABONDIA MIYEYUSHO, CHEKA, KING CLASS MAWE WAPIMA UZITO KUPAMBANA JUMAMOSI APRIL 12 PTA SABASABA

Bondia Mustafa Dotto (kushoto)  akitunishiana misuli na Ibrahimu Class 'King Class Mawe' kabla ya kuzipiga katika ukumbi wa PTA Sabasaba April 12 siku ya jumamosi katikati ni Promota Jay Msangi  Bondia Ibrahimu  'King Class Mawe' akipima uzito kwa ajili ya mpambano wake na Mustafa Doto utakaofanyika katika ukumbi wa PTA Sabasaba jijini Dar es salaam  Bondia Sukkasem Kietyongyuth kushoto akiwa na kocha wake Win Panyaparichot wakati wa upimaji uzito Bondia Fransic Miyeyusho 'Chichi...

 

11 years ago

Michuzi

BONDIA WA IRAN SAJJAD MEHRABI AWASILI NCHINI KUMKABILI CHEKA JUMAMOSI APRIL 12 PTA SABA SABA



Mdau wa Mchezo wa ngumi nchini Jay Msangi kulia akiwa na bondia Sajjad Mehrabi wa Iran wa pili kushoto mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa jumatano wengine kulia ni rais wa PST Emanuel Mlundwa na promota Mussa Kova anae promoti mpambano wa cheka na bondia huyo wa Iran 
Mdau wa mchezo wa masumbwi nchini Jay Msang kulia na Promota Mussa Kova wakibadilishana namba za simu na bondia Sajjad Mehrab mara baada ya kuwasili katika uwanja wa kumataifa ya Julius Nyerere...

 

10 years ago

GPL

MZEE YUSUF AZIKONGA NYOYO ZA MASHABIKI SIKUKUU YA EID MOSI, DAR LIVE

Mzee Yusuf akizikonga nyoyo za mashabiki wake ndani ya Ukumbi wa Dar Live katika Sikukuu ya Eid Mosi. Mfalme Mzee Yusuf akipelekeshana puta na wanenguaji wake wakati wa shoo hiyo ndani ya Dar Live.…

 

10 years ago

Vijimambo

21.12.2013 - Fedor Chudinov vs Francis Cheka huyu ndiyo Cheka aliefungwa miaka 3 magereza


BONDIA maarufu nchini wa ngumi za kulipwa, Francis Cheka amehukumiwa kifungo cha miaka 3 jela na kutakiwa kulipa fidia ya Sh. millioni 1 kwa kosa la kumpiga na kumjeruhi meneja wa baa yake (Cheka) iitwayo Vijana Social iliyopo Morogoro Mjini.Akimsomea mashitaka, Hakimu wa Mahakama ya Mkoa wa Morogoro, Said Msuya alisema Cheka alikutwa na hatia ya kumpiga aliyekuwa meneja wa baa yake aitwaye Bahati Kabanda 'Masika'.
Alisema kuwa Cheka alitenda kosa hilo Julai 2, mwaka jana ambapo meneja huyo...

 

11 years ago

Mwananchi

Bengo awaita Yanga

Kiungo wa KCC ya Uganda, Steven Bengo amesema yuko tayari kuichezea Yanga kama viongozi wake watamfuata.

 

11 years ago

Mwananchi

Manji awaita wanaompinga

Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji amelitaka kundi la wanachama wanaopinga uamuzi wa mkutano mkuu wa kumwongezewa muda wa kuiongoza klabu hiyo, kujiorodhesha na yeye atakuwa wa kwanza  kufanya hivyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani