Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mjomba Mpoto awaita mashabiki wake

MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Mrisho Mpoto ‘Mjomba’ amemaliza mwaka kwa kuwashushia mashabiki wake kibao kipya kinachokwenda kwa jina la ‘Waite’. Mjomba anatamba na nyimbo mbalimbali ikiwemo ‘Chocheeni...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mjomba Mpoto awaita videoni

MSANII mahiri wa utunzi wa mashairi, Mrisho Mpoto ‘Mjomba’ anatarajiwa kuuweka katika video wimbo wake unaokwenda kwa jina la ‘Waite’ aliouachia hivi karibuni. Wimbo huo aliyoutengeneza katika studio yake ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mjomba Mpoto kupamba miaka 20 ya Prolife

MSANII maarufu wa Kughani mashairi, Mrisho Mpoto ‘Mjomba Mpoto’, anatarajiwa kutumbuiza katika kilele cha maadhimisho ya miaka 20 ya Shirika la Kutetea Uhai wa Binadamu (Prolife). Kilele cha maadhimisho hayo,...

 

11 years ago

Michuzi

MRISHO MPOTO AZIDI KUPASUA ANGA NA MJOMBA BAND

 Baada ya "kutoka" kwa wimbo na mashairi ya 'Mjomba' msanii malenga Mrisho Mpoto ameendelea kupata mafanikio siku hadi siku kwa kuweza sasa kumiliki bandi yake aliyoipa jina la Mjomba Band, akiajiri vijana zaidi ya 10 na kuendeleza libeneke kwa nguvu zake zote. Aghalabu Mpoto na bendi yake utakuta wamealikwa katika shughuli mbalimbali za kitaifa na kimataifa ili kutoa burudani. Hakika yeye ni mfano wa kuigwa. pichani  Mpoto akiwa na bendi yake jukwaani.  Mrisho Mpoto akighani mashairi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Cheka awaita mashabiki PTA J’mosi

BONDIA mahiri wa ngumi za kulipwa asiye na mpinzani hapa nchini, Francis Cheka ‘SMG’, amewaomba mashabiki wa ngumi wajitokeze kwa wingi kushuhudia pambano lake litakalofanyika Jumamosi Aprili 12, Ukumbi wa...

 

9 years ago

Vijimambo

TANGAZO BWANA GRATIAN EMMANUEL NSHEKANABO ANATAFUTWA NA MJOMBA WAKE.

Mr. Edward Ntoroma wa State House Tanzania, pamoja na Bi. Puwu Kagumsa wa Bukoba Tanzania wanamtafuta Ndugu yao Mr. Gratian Emmanuel Nshekanabo, Mr. Gratian alikuwa anaishi Miami. FL na kazi alikuwa anafanyia kwenye address hii 3101 Lorna Rd Apt 1322 Birmingham. Mr Gratian hajawahi kuwasiliana na familia yake kwa muda mrefu sasa hadi wamepatwa na wasiwasi. Yeyoye mwenye kujua taarifa ya  Mr. Gratian anaombwa amwambie anatafutwa na familia yake na anaweza kuwasiliana nao kwa #...

 

11 years ago

Michuzi

MBUNGE DEO FILIKUNJOMBE NA WAGENI WAKE KUTOKA LUDEWA WAPAGAWISHWA NA MJOMBA BENDI

Msanii Mrisho Mpoto  mkurugenzi  wa Mjomba Bend  akipiga picha na  viongozi  wa CCM kutoka  Ludewa katika  show iliyoandaliwa na mbunge  wa  jimbo la Ludewa  Deo Filikunjombe usiku  huu jijini Dar es Salaam Viongozi wa CCM kutoka  kata za  wilayaya Ludewa  wakijipongeza kwa  show kali kutoka kwa Mjomba Bendi baada ya kumaliza mafunzo ya uongozi  jijini Dar Mkurugenzi  wa bendi ya Mjomba Mrisho  Mpoto  akicheza  na  wana Ludewa katika  show kali  iliyoandaliwa na mbunge wao  Deo...

 

5 years ago

Michuzi

MUATHIRIKA WA CORONA AWAITA MAPACHA WAKE 'CORONA' NA 'VIRUS'


Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
ANNAMARIA Jose Raphael Gonzales (34) raia wa Mexico ambaye pia alikumbwa na virusi vya Corona (Covid -19) amejifungua mapacha na kuwaita Corona na Virus mtandao wa World News, Daily report umeripoti.
Imeelezwa kuwa Annamaria alikuwa akipatiwa matibabu  katika hospitali ya La Villa mjini Mexico na kujifungua mapacha hao wenye afya tele ambapo mtoto wa kike amepewa jina la Corona Jose Miguel Gonzales na kaka yake ameitwa Virus Jose  Miguel Gonzales.
Annamaria...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani