Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mjomba Mpoto kupamba miaka 20 ya Prolife

MSANII maarufu wa Kughani mashairi, Mrisho Mpoto ‘Mjomba Mpoto’, anatarajiwa kutumbuiza katika kilele cha maadhimisho ya miaka 20 ya Shirika la Kutetea Uhai wa Binadamu (Prolife). Kilele cha maadhimisho hayo,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mjomba Mpoto awaita videoni

MSANII mahiri wa utunzi wa mashairi, Mrisho Mpoto ‘Mjomba’ anatarajiwa kuuweka katika video wimbo wake unaokwenda kwa jina la ‘Waite’ aliouachia hivi karibuni. Wimbo huo aliyoutengeneza katika studio yake ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mjomba Mpoto awaita mashabiki wake

MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Mrisho Mpoto ‘Mjomba’ amemaliza mwaka kwa kuwashushia mashabiki wake kibao kipya kinachokwenda kwa jina la ‘Waite’. Mjomba anatamba na nyimbo mbalimbali ikiwemo ‘Chocheeni...

 

11 years ago

Michuzi

MRISHO MPOTO AZIDI KUPASUA ANGA NA MJOMBA BAND

 Baada ya "kutoka" kwa wimbo na mashairi ya 'Mjomba' msanii malenga Mrisho Mpoto ameendelea kupata mafanikio siku hadi siku kwa kuweza sasa kumiliki bandi yake aliyoipa jina la Mjomba Band, akiajiri vijana zaidi ya 10 na kuendeleza libeneke kwa nguvu zake zote. Aghalabu Mpoto na bendi yake utakuta wamealikwa katika shughuli mbalimbali za kitaifa na kimataifa ili kutoa burudani. Hakika yeye ni mfano wa kuigwa. pichani  Mpoto akiwa na bendi yake jukwaani.  Mrisho Mpoto akighani mashairi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Prolife yaadhimisha miaka 20

SHIRIKA la Kutetea Uhai wa Binadamu (Prolife), limeanza maadhimisho ya miaka 20 tangu kuanzishwa kwa kutoa elimu ya uzazi wa mpango kwa njia asili. Akizungumza jana jijini Dar es Salaam,...

 

10 years ago

GPL

EFM KUPAMBA MIAKA 16 YA JUMA NATURE KWENYE MUZIKI

Mkurugenzi wa Mahusiano wa Redio  Efm, Dennis Sebbo akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani). Msanii wa muziki wa kizazi kipya Juma Nature akifuatilia maswali ya waandishi wa habari (hawapo pichani). Afisa Uhusiano wa Redio Efm, Lydia Moyo akifuatilia jambo kwa umakini.…

 

9 years ago

Bongo5

Tembea peku uishi miaka mingi zaidi — Mpoto

Mrisho Mpoto ameendelea kujivunia kutembea peku na kudai kuwa ni njia nzuri ya kujiongezea miaka mingi ya kuishi. “Nimeshajibu hili swali mara milioni,” alisema Mrisho baada ya kuulizwa na Global TV sababu ya kutembea peku. “Ili uwe na akili lazima ukanyage chini. Unajua ili uishi muda mrefu, hili ni kosa kubwa la kiufundi ndIo maana […]

 

10 years ago

Michuzi

Klabu 12 za soka za maveterani kupamba Tamasha la Miaka 16 ya Home Gym

KLABU 12 za timu za soka za maveterani zinazooundwa na nyota wa zamani wa kandanda nchini zinatarajiwa kuchuana katika michezo maalum ya Tamasha la Miaka 16 ya Home Gym, itakayofanyika Septemba 6 kwenye uwanja wa Mwenge, Dar es Salaam.
Aidha zaidi ya klabu 30 za Jogging nazo zinatarajiwa kupamba tamasha hilo ambalo litahusisha pia michezo mbalimbali ikiwamo ya netiboli, kuvuta kamba, kukimbia kwenye magunia na kukimbiza kuku.
Kwa mujibu wa mratibu wa tamasha hilo, Andrew Mangomango, klabu za...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Prolife: Kasi ya kansa yaongezeka

SHIRIKA la Kutetea Uhai wa Binadamu nchini (Prolife) limesema kasi ya magonjwa ya kansa ya shingo ya kizazi na ya matiti inaongezeka kutokana na matumizi ya dawa za vidhibiti mimba....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani