Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Prolife yaadhimisha miaka 20

SHIRIKA la Kutetea Uhai wa Binadamu (Prolife), limeanza maadhimisho ya miaka 20 tangu kuanzishwa kwa kutoa elimu ya uzazi wa mpango kwa njia asili. Akizungumza jana jijini Dar es Salaam,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mjomba Mpoto kupamba miaka 20 ya Prolife

MSANII maarufu wa Kughani mashairi, Mrisho Mpoto ‘Mjomba Mpoto’, anatarajiwa kutumbuiza katika kilele cha maadhimisho ya miaka 20 ya Shirika la Kutetea Uhai wa Binadamu (Prolife). Kilele cha maadhimisho hayo,...

 

11 years ago

BBCSwahili

Sudan Kusini yaadhimisha miaka 3

Maelfu ya wananchi nchini Sudan Kusini wamejitokeza kushuhudia gwaride la kijeshi katika sherehe za kuadhimisha miaka mitatu tangu kujipatia uhuru.

 

5 years ago

CCM Blog

ZIMBABWE YAADHIMISHA MIAKA 40 YA UHURU

           Imetimia miaka 40 leo (18.04.2020) tangu bendera ya Uingereza iliposhushwa nchini Zimbabwe, na ya taifa jipya huru ikapandishwa kuashiria uhuru wa nchi hiyo, miongoni mwa chache zilizokuwa zikibakia chini ya ukoloni.Miongo minne tangu siku hiyo ya uhuru, Wazimbabwe wengi wanasema hakuna cha kusherehekea, kufuatia miaka mingi ya utawala wa kikandamizaji wa Rais Robert Mugabe.

Kawaida maelfu ya raia wa Zimbabwe hushiriki katika hafla za kuadhimisha sikukuu ya uhuru kila tarehe 18...

 

10 years ago

Habarileo

Tanzania Bara yaadhimisha miaka 53 ya kuzaliwa

Rais Jakaya Kikwete akisalimia maelfu ya wananchi waliojitokeza katika sherehe hizo katikauwanja wa Uhuru, jijini Dar bes Salaam.AMIRI Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Rais Jakaya Kikwete leo amewaongoza Watanzania katika kuadhimisha miaka 53 ya kuzaliwa Tanzania Bara.

 

10 years ago

Michuzi

BENKI M YAADHIMISHA MIAKA 8 TOKA ILIPOANZISHWA

Benki M yaadhimisha miaka 8 toka ilipoanzishwa, pichani ni naibu mkurugenzi mkuu wa Benki M Bi. Jaqueline Woiso katika mkutano na waandishi wa habari wikiendi hii katika ukumbi wa hoteli ya Hyatt Regency, kuelezea mafanikio waliyopata katika kipindi hicho cha miaka 8 , kulia ni mkurugenzi wa mawasiliano wa benki hiyo Bw. Allan Msalilwa. BANK M Tanzania plc leo inatimiza miaka 8 toka ilipoanzishwa July 27, 2007. Akiongea na waandishi wa habari, Naibu mkurugenzi mkuu wa...

 

10 years ago

GPL

KONGOWE JOGGING YAADHIMISHA MIAKA MITANO

Mmoja wa washiriki wa Kongowe jogging akiwa kashika bendera ya taifa kama ishara ya uzalendo. Mbunge wa Kigamboni, Mhe. Faustine Ndugulile (mwenye jezi ya bluu) pamoja na viongozi wengine wa serikali kutoka Jimbo la Kigamboni wakiongoza…

 

5 years ago

Michuzi

MLOGANZILA YAADHIMISHA MIAKA 200 YA TAALUMA YA UUGUZI



Kaimu Naibu Mkurugenzi Mtendaji Hospitali ya Taifa Muhimbili-Mloganzila, Dkt. Julieth Magandi akiwapongeza wauguzi wakati wa maadhimisho ya siku ya wauguzi duniani.Kaimu Mkurugenzi wa Huduma za Uuguzi MNH-Mloganzila Sr. Redemptha Matindi akifafanua jinsi taaluma ya uuguzi inavyofanya kazi.Baadhi ya wauguzi waliohudhuria katika maadhimisho hayo.

 

10 years ago

Mwananchi

Dunia yaadhimisha miaka 70 ya kumalizika kwa vita

>Dunia imeadhimisha miaka 70 ya kumalizika kwa Vita vya Pili ya Dunia baada ya Jeshi la Kinazi la Ujerumani kujisalimisha kwa jeshi la muungano wa Jamhuri za Kisovieti, Mei 8, mwaka 1945.

 

11 years ago

Michuzi

KRC YAADHIMISHA MIAKA 75 YA KANISA LA T.A.G HAPA NCHINI

Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Kinondoni Reviral Church,Dr. Roghatte Swai akimtambulisha moja ya wachungaji waliohudhuria sherehe za Miaka 75 ya uwepo wa kanisa la TAG hapa nchini,ambazo ziliambatana na sherehe za wanaume kanisani hapo.Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Kinondoni Reviral Church aliyevaa tai nyekundu, akiwa katika picha ya pamoja na wageni mbalimbali waliohudhulia sherehe hizo za miaka 75 ya uwepo wa kanisa la TAG hapa nchini, sherehe ambazo pia ziliambatana na zoezi la kutoa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani