KRC YAADHIMISHA MIAKA 75 YA KANISA LA T.A.G HAPA NCHINI
Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Kinondoni Reviral Church,Dr. Roghatte Swai akimtambulisha moja ya wachungaji waliohudhuria sherehe za Miaka 75 ya uwepo wa kanisa la TAG hapa nchini,ambazo ziliambatana na sherehe za wanaume kanisani hapo.
Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Kinondoni Reviral Church aliyevaa tai nyekundu, akiwa katika picha ya pamoja na wageni mbalimbali waliohudhulia sherehe hizo za miaka 75 ya uwepo wa kanisa la TAG hapa nchini, sherehe ambazo pia ziliambatana na zoezi la kutoa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi13 Nov
Mahakama ya Umoja wa Mataifa inayoshughulikia Maiuaji ya Kimbari nchini Rwanda (UN-ICTR) Yaadhimisha Miaka 20
![](https://2.bp.blogspot.com/-WpT3vYafmR0/VGUM7R6dcHI/AAAAAAAGxCU/IpOil7re9G8/s640/unnamed%2B(37).jpg)
9 years ago
MillardAyo04 Jan
Hapa ndipo usajili wa Mbwana Samatta wa kujiunga na KRC Genk ya Ubelgiji unapocheleweshwa …
Bado ni headlines za mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga katika klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mbwana Samatta zinazidi kuchukua nafasi. Samatta ambaye anatajwa kukaribia kujiunga na klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji bado hajasaini mkataba na klabu hiyo licha ya yeye na Genk kukubaliana maslahi binafsi. January 4 stori […]
The post Hapa ndipo usajili wa Mbwana Samatta wa kujiunga na KRC Genk ya Ubelgiji unapocheleweshwa … appeared first on...
9 years ago
VijimamboWATUMISHI WANAWAKE WA KRISTO WA KANISA LA TAG NCHINI WAADHIMISHA MIAKA 50 TANGU KUANZISHWA KWA CHAMA CHAO
11 years ago
Tanzania Daima27 Apr
Prolife yaadhimisha miaka 20
SHIRIKA la Kutetea Uhai wa Binadamu (Prolife), limeanza maadhimisho ya miaka 20 tangu kuanzishwa kwa kutoa elimu ya uzazi wa mpango kwa njia asili. Akizungumza jana jijini Dar es Salaam,...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-CGzn8jfDMVI/Xprzh_BtzPI/AAAAAAAAyOM/uyPFFeEBPGYwk3JzbQ-FokLzzNdQ9Ru1gCLcBGAsYHQ/s72-c/53152745_303.jpg)
ZIMBABWE YAADHIMISHA MIAKA 40 YA UHURU
![](https://1.bp.blogspot.com/-CGzn8jfDMVI/Xprzh_BtzPI/AAAAAAAAyOM/uyPFFeEBPGYwk3JzbQ-FokLzzNdQ9Ru1gCLcBGAsYHQ/s400/53152745_303.jpg)
Kawaida maelfu ya raia wa Zimbabwe hushiriki katika hafla za kuadhimisha sikukuu ya uhuru kila tarehe 18...
11 years ago
BBCSwahili09 Jul
Sudan Kusini yaadhimisha miaka 3
10 years ago
Habarileo09 Dec
Tanzania Bara yaadhimisha miaka 53 ya kuzaliwa
AMIRI Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Rais Jakaya Kikwete leo amewaongoza Watanzania katika kuadhimisha miaka 53 ya kuzaliwa Tanzania Bara.
10 years ago
GPLKONGOWE JOGGING YAADHIMISHA MIAKA MITANO
10 years ago
MichuziBENKI M YAADHIMISHA MIAKA 8 TOKA ILIPOANZISHWA