Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tembea peku uishi miaka mingi zaidi — Mpoto

Mrisho Mpoto ameendelea kujivunia kutembea peku na kudai kuwa ni njia nzuri ya kujiongezea miaka mingi ya kuishi. “Nimeshajibu hili swali mara milioni,” alisema Mrisho baada ya kuulizwa na Global TV sababu ya kutembea peku. “Ili uwe na akili lazima ukanyage chini. Unajua ili uishi muda mrefu, hili ni kosa kubwa la kiufundi ndIo maana […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

9 years ago

Bongo5

Music: Chubby Ft Bushoke — Peku Peku

Wimbo Mpya wa Mwana Dada Chubby unaitwa “Peku Peku” kutoka Dodoma hapa amemshirikisha Bushoke Producer Kidmane B one Record Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Bongo5

Chris Brown alitaka mtoto kwa miaka mingi lakini Karrueche alimtosa!

Chris Brown alikuwa akitamani kuwa baba kwa miaka mingi na alijaribu kumshawishi mpenzi wake Karrueche Tran ili amzalie mtoto lakini alimpa sharti hadi amuoe kwanza. Vyanzo vilivyo karibu na mastaa hao vimeiambia TMZ kuwa Chris na Karrueche wamekuwa wakizungumza kuhusu mtoto kwa miaka miwili sasa na mrembo huyo alikuwa tayari kumzalia kama angetimiza matakwa yake. […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mjomba Mpoto kupamba miaka 20 ya Prolife

MSANII maarufu wa Kughani mashairi, Mrisho Mpoto ‘Mjomba Mpoto’, anatarajiwa kutumbuiza katika kilele cha maadhimisho ya miaka 20 ya Shirika la Kutetea Uhai wa Binadamu (Prolife). Kilele cha maadhimisho hayo,...

 

10 years ago

Mtanzania

Maafa Shinyanga *Barafu yafunika kijiji, watu 42 wafariki dunia *Zaidi ya 91 wajeruhiwa, mamia wasombwa na maji *Nyumba zabomolewa, mifugo mingi nayo yafa

IMG-20150304-WA0018Paul Kayanda na Kadama Malunde, Kahama

WATU 42 wamefariki dunia na wengine zaidi ya 91 wamejeruhiwa vibaya baada ya mvua kubwa ya mawe iliyoambatana na upepo mkali kunyesha katika Kijiji cha Mwakata, Kata ya Isaka, Wilaya ya Kahama, mkoani Shinyanga.
Pamoja na vifo hivyo, nyumba za makazi na majengo ya taasisi mbalimbali, yamebomolewa na mafuriko yaliyosababishwa mawe kusambaa kijiji kizima.

Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Benson Mpesya, aliiambia MTANZANIA kwa simu jana kwamba zaidi ya kaya 100...

 

5 years ago

BBCSwahili

Chifu wa miaka 90 aliyepambana kuulinda msitu wa Amazon kwa zaidi ya miaka 50

Wanaharakati wa mazingira na makundi ya wazawa wanasema sera za kiongozi wa Brazil Jair Bolsonaro zimechangia kwa kiasi kikubwauangamizaji wa msitu wa mvua.

 

9 years ago

Vijimambo

STREET PASTOR A TEMBEA VOICE OF AMERICA

Street pastor Emmanuel Mgaya au Masanja Mkandamizaji ambae ni mgeni na mhubiri katika mkutano wa neno la Mungu ulioanza jana katika kanisa la The Way of The Cross Gospel Ministries jana Jumamosi alipata nafasi ya kutembelea Voice of America ambapo alifanyiwa mahojiano na watangazaji mahiri wa radio hiyo ya kimataifa mahojiano ambayo yalikuwa yakisikika moja kwa moja katika ukanda wa nchi za afrika zinazozungumza kiswalihi. Katika picha Masanja anaonekana akiwa na mwenyeji wake mchungaji...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani