Prolife: Kasi ya kansa yaongezeka
SHIRIKA la Kutetea Uhai wa Binadamu nchini (Prolife) limesema kasi ya magonjwa ya kansa ya shingo ya kizazi na ya matiti inaongezeka kutokana na matumizi ya dawa za vidhibiti mimba....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili02 Apr
Kasi ya kujiunga na ugaidi yaongezeka
11 years ago
Tanzania Daima27 Apr
Prolife yaadhimisha miaka 20
SHIRIKA la Kutetea Uhai wa Binadamu (Prolife), limeanza maadhimisho ya miaka 20 tangu kuanzishwa kwa kutoa elimu ya uzazi wa mpango kwa njia asili. Akizungumza jana jijini Dar es Salaam,...
11 years ago
Tanzania Daima26 Dec
Prolife yahimiza uhai wa mtoto tumboni
SHIRIKA la Kutetea Uhai wa Binadamu la Prolife limewataka Watanzania kuthamini uhai wa mtoto toka mimba inapotungwa ili kufuatana na misingi ya imani. Akizungumza baada ya ibada ya Krismasi, jijini...
11 years ago
Tanzania Daima11 May
Prolife wataka uhakika chanjo ya saratani
SHIRIKA la Kutetea Uhai wa Binadamu (Prolife) limesema chanjo ya saratani ya shingo ya kizazi iitwayo Gardasil imegubikwa na hofu kutokana na baadhi ya wataalamu kueleza kuwa nguvu ya dawa...
11 years ago
Tanzania Daima30 May
Mjomba Mpoto kupamba miaka 20 ya Prolife
MSANII maarufu wa Kughani mashairi, Mrisho Mpoto ‘Mjomba Mpoto’, anatarajiwa kutumbuiza katika kilele cha maadhimisho ya miaka 20 ya Shirika la Kutetea Uhai wa Binadamu (Prolife). Kilele cha maadhimisho hayo,...
11 years ago
Uhuru Newspaper01 Jul
Wanawake 30 wapima kansa Sabasaba
NA WILLIAM SHECHAMBO
WANAWAKE 30 wamejitokeza kupima afya zao ikiwemo saratani za kizazi na matiti kwenye banda la Taasisi ya Kansa ya Ocean Road, katika Maonyesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam.
Mmoja wa madaktari wa taasisi hiyo, Dk. Rehema Ngomola, alisema kati ya kinamama hao, mmoja ndiye aliyekutwa na viashiria vya saratani ya kizazi.
Alisema kutokana na takwimu hizo, idadi ya kinamama wenye maradhi ya ya saratani ya matiti na kizazi, inapungua hivyo kuwataka kujitokeza...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/a8ZZitQ2zfWTJZWZIIrs25VeGyC*7uqWsKrTrY*VGw0h5uFIEgo4kqPOHidagKgUQb4FelpmDeAeb7yFrFJhKSMzRVSuA1x5/FRONTRISASIJMOSI.gif?width=650)
KANSA YAMTESA BABA DIAMOND
11 years ago
Tanzania Daima12 Mar
Airtel yasaidia wanawake wenye kansa
UMOJA wa wafanyakazi wanawake wa Airtel Tanzania unaofahamika kwa jina la ‘Airtel Divas’ wameandaa hafla ya kuchangisha fedha ili kusaidia kinamama wanaosumbuliwa na maradhi ya kansa katika Hospitali ya Ocean...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NvWHU5oq4TZe6kie7SpcA79pUIkrDLYXuTd1oKY-DevE2JEZ7rW5EySFhj3DaAiUE-OEEkBjzHIyVyKfOjMX5BRuM*KICbLQ/breastcancerillustrations.jpg?width=650)
DALILI ZA KANSA YA MATITI(BREAST CANCER) - 3