Prolife wataka uhakika chanjo ya saratani
SHIRIKA la Kutetea Uhai wa Binadamu (Prolife) limesema chanjo ya saratani ya shingo ya kizazi iitwayo Gardasil imegubikwa na hofu kutokana na baadhi ya wataalamu kueleza kuwa nguvu ya dawa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-2qZMU9Xcdfk/XsFQK4Y0sDI/AAAAAAALqlY/c02FLUAQhFIc9M1u9HtZ9-6vkqpNVK2aACLcBGAsYHQ/s72-c/2hpv2708.jpg)
WANAHABARI WAPATIWA ELIMU YA UELEWA WA CHANJO YA SARATANI YA HPV PAMOJA NA CHANJO NYINGINE KWA NJIA YA MTANDAO
![](https://1.bp.blogspot.com/-2qZMU9Xcdfk/XsFQK4Y0sDI/AAAAAAALqlY/c02FLUAQhFIc9M1u9HtZ9-6vkqpNVK2aACLcBGAsYHQ/s640/2hpv2708.jpg)
Semina hiyo ya siku moja ya uelewa wa Chanjo ya kukinga ugonjwa wa saratani ya mlango wa kizazi (HPV Vaccine) ambayo hutolewa bila malipo kwa wasichana wa miaka 14 hapa nchini iliendeshwa mubashara kupitia mtandao wa ZOOM.
Awali akiwasilisha mada maalumu ya chanjo hiyo ya HPV, Afisa Mradi, Mpango wa Taifa wa...
11 years ago
Habarileo13 Feb
Wasichana kupatiwa chanjo ya saratani ya uzazi
CHANJO ya kuzuia saratani ya mlango wa uzazi, iko mbioni kutolewa na serikali kwa wasichana walio shuleni.
11 years ago
Habarileo07 Apr
Chanjo ya saratani ya shingo ya kizazi Mei
CHANJO ya kuzuia saratani ya shingo ya kizazi kwa wasichana wenye umri wa miaka tisa hadi 13 itaanza kutolewa na serikali mwezi ujao.
11 years ago
Habarileo06 Mar
RC ahimiza elimu chanjo ya saratani kwa wasichana
WAKUU wa wilaya, wakurugenzi na wenyeviti wa halmashauri mkoani Kilimanjaro, wametakiwa kuelimisha jamii kuhusu utoaji wa chanjo ya kuzuia saratani ya mlango wa kizazi. Chanjo hiyo itafanywa kwa wasichana wenye umri wa kati ya miaka tisa na 13.
11 years ago
Mwananchi08 Jun
Wasichana kupewa chanjo ya saratani ya mlango wa uzazi
11 years ago
Habarileo10 Mar
Majaribio ya chanjo ya saratani ya kizazi kufanyika Kilimanjaro
SERIKALI imeuteua Mkoa wa Kilimanjaro kwa ajili ya majaribio ya chanjo ya kuzuia saratani ya shingo ya kizazi kwa wanawake.
10 years ago
MichuziWADAU WA CHANJO YA KUZUIA SARATANI YA MLANGO WA KIZAZI (HPV) WAKUTANA KILIMANJARO
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
Tanzania Daima19 Nov
Wataka vituo zaidi vya saratani
WANAWAKE wilayani Sikonge Mkoa wa Tabora, wameomba huduma za uchunguzi wa saratani ya mlango wa kizazi (Cervical Cancer) kufika hadi vijijini ili kupunguza hatari ya akina mama wengi kupoteza maisha...
11 years ago
Dewji Blog25 Apr
Watoto 4000 kupatiwa chanjo katika Wiki ya Chanjo — Parseko Kone, Singida
Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone, akizindua utoaji wa chanjo kimkoa katika hospitali ya St.Calorus iliyopo kijiji cha Mtinko. Jumla ya watoto 3,999 wanatarajiwa kupatiwa chanjo mbalimbali.
Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone, akizungumza na wakazi wa tarafa ya Mtinko wilaya ya Singida, muda mfupi baada ya kuzindua zoezi la chanjo kimkoa lililoanza jana na linatarajiwa kumalizika Aprili 30 mwaka huu.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu
JUMLA ya watoto 3,999 mkoani...