Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Prolife wataka uhakika chanjo ya saratani

SHIRIKA la Kutetea Uhai wa Binadamu (Prolife) limesema chanjo ya saratani ya shingo ya kizazi iitwayo Gardasil imegubikwa na hofu kutokana na baadhi ya wataalamu kueleza kuwa nguvu ya dawa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

WANAHABARI WAPATIWA ELIMU YA UELEWA WA CHANJO YA SARATANI YA HPV PAMOJA NA CHANJO NYINGINE KWA NJIA YA MTANDAO

WIZARA ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto kupitia Mpango wa Taifa  Chanjo wameendesha semina maalumu kwa njia ya mtandao  kwa Waandishi wa Habari  zaidi ya 50 nchini.
Semina hiyo ya  siku moja ya uelewa wa Chanjo ya kukinga ugonjwa wa saratani ya mlango wa kizazi (HPV Vaccine) ambayo hutolewa bila malipo kwa wasichana wa miaka 14 hapa nchini iliendeshwa mubashara kupitia mtandao wa ZOOM.
Awali akiwasilisha mada maalumu ya chanjo hiyo ya HPV, Afisa Mradi, Mpango wa Taifa wa...

 

11 years ago

Habarileo

Wasichana kupatiwa chanjo ya saratani ya uzazi

CHANJO ya kuzuia saratani ya mlango wa uzazi, iko mbioni kutolewa na serikali kwa wasichana walio shuleni.

 

11 years ago

Habarileo

Chanjo ya saratani ya shingo ya kizazi Mei

Mganga Mkuu wa Serikali, Dk Donan MmbandoCHANJO ya kuzuia saratani ya shingo ya kizazi kwa wasichana wenye umri wa miaka tisa hadi 13 itaanza kutolewa na serikali mwezi ujao.

 

11 years ago

Habarileo

RC ahimiza elimu chanjo ya saratani kwa wasichana

WAKUU wa wilaya, wakurugenzi na wenyeviti wa halmashauri mkoani Kilimanjaro, wametakiwa kuelimisha jamii kuhusu utoaji wa chanjo ya kuzuia saratani ya mlango wa kizazi. Chanjo hiyo itafanywa kwa wasichana wenye umri wa kati ya miaka tisa na 13.

 

11 years ago

Mwananchi

Wasichana kupewa chanjo ya saratani ya mlango wa uzazi

Watoto wa kike nchini kote wataanza kupewa chanjo ya kuzuia saratani ya mlango wa kizazi ifikapo mwaka 2016.

 

11 years ago

Habarileo

Majaribio ya chanjo ya saratani ya kizazi kufanyika Kilimanjaro

Mganga Mkuu wa Serikali, Dk Donan MmbandoSERIKALI imeuteua Mkoa wa Kilimanjaro kwa ajili ya majaribio ya chanjo ya kuzuia saratani ya shingo ya kizazi kwa wanawake.

 

10 years ago

Michuzi

WADAU WA CHANJO YA KUZUIA SARATANI YA MLANGO WA KIZAZI (HPV) WAKUTANA KILIMANJARO

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro ,Leonidas Gama akizungumza wakati wa kufungua Mkutano wa Wadau wa Chanjo ya kuzuia saratani ya mlango wa kizazi (HPV) katika ukumbi wa Uhuru Hostel mjini Moshi.Baadhi ya washiriki wa mkutano huo wakifuatilia kwa karibu hotuba ya mkuu wa mkoa Gama.

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wataka vituo zaidi vya saratani

WANAWAKE wilayani Sikonge Mkoa wa Tabora, wameomba huduma za uchunguzi wa saratani ya mlango wa kizazi (Cervical Cancer) kufika hadi vijijini ili kupunguza hatari ya akina mama wengi kupoteza maisha...

 

11 years ago

Dewji Blog

Watoto 4000 kupatiwa chanjo katika Wiki ya Chanjo — Parseko Kone, Singida

DSC07952

Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone, akizindua utoaji wa chanjo kimkoa katika hospitali ya St.Calorus iliyopo kijiji cha Mtinko. Jumla ya watoto 3,999 wanatarajiwa kupatiwa chanjo mbalimbali.

DSC07953

DSC07970

Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone, akizungumza na wakazi wa tarafa ya Mtinko wilaya ya Singida, muda mfupi baada ya kuzindua zoezi la chanjo kimkoa lililoanza jana na linatarajiwa kumalizika Aprili 30 mwaka huu.(Picha na Nathaniel Limu).

Na Nathaniel Limu

JUMLA ya watoto 3,999 mkoani...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani