Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RC ahimiza elimu chanjo ya saratani kwa wasichana

WAKUU wa wilaya, wakurugenzi na wenyeviti wa halmashauri mkoani Kilimanjaro, wametakiwa kuelimisha jamii kuhusu utoaji wa chanjo ya kuzuia saratani ya mlango wa kizazi. Chanjo hiyo itafanywa kwa wasichana wenye umri wa kati ya miaka tisa na 13.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

WANAHABARI WAPATIWA ELIMU YA UELEWA WA CHANJO YA SARATANI YA HPV PAMOJA NA CHANJO NYINGINE KWA NJIA YA MTANDAO

WIZARA ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto kupitia Mpango wa Taifa  Chanjo wameendesha semina maalumu kwa njia ya mtandao  kwa Waandishi wa Habari  zaidi ya 50 nchini.
Semina hiyo ya  siku moja ya uelewa wa Chanjo ya kukinga ugonjwa wa saratani ya mlango wa kizazi (HPV Vaccine) ambayo hutolewa bila malipo kwa wasichana wa miaka 14 hapa nchini iliendeshwa mubashara kupitia mtandao wa ZOOM.
Awali akiwasilisha mada maalumu ya chanjo hiyo ya HPV, Afisa Mradi, Mpango wa Taifa wa...

 

11 years ago

Habarileo

Wasichana kupatiwa chanjo ya saratani ya uzazi

CHANJO ya kuzuia saratani ya mlango wa uzazi, iko mbioni kutolewa na serikali kwa wasichana walio shuleni.

 

11 years ago

Mwananchi

Wasichana kupewa chanjo ya saratani ya mlango wa uzazi

Watoto wa kike nchini kote wataanza kupewa chanjo ya kuzuia saratani ya mlango wa kizazi ifikapo mwaka 2016.

 

10 years ago

Habarileo

Neema ya elimu kwa wasichana

TANZANIA ni moja ya nchi zitakazonufaika na ushirikiano mpya wa kimasomo, uliosainiwa jijini hapa juzi kwa lengo la kuwasaidia wasichana kujikita katika nyanja za Sayansi, Teknolojia, Uhandisi na Hisabati. Katika ushirikiano huo, miongoni mwa manufaa yake ni kutoa fursa kwa wasichana, watakaofanya vizuri kimasomo kusoma katika vyuo vya elimu ya juu nchini Marekani.

 

10 years ago

Mwananchi

Ahimiza elimu ya umiliki wa ardhi kwa madiwani

Katibu Tawala wa Wilaya ya Chemba mkoani Dodoma, Dorah Makinga amelitaka Jumuiko la Maliasili Tanzania (TNRF), kuwaelimisha madiwani matumizi bora ya ardhi ili wakawaelimisha wananchi katika ngazi za vijiji na vitongoji.

 

10 years ago

Tanzania Daima

RC Mahiza ahimiza chanjo ya surua na rubella

MKUU wa Mkoa wa Pwani, Mwantum Mahiza, amewataka wananchi kushiriki kikamilifu kwenye zoezi la chanjo ya surua na rubella inayoanza leo hadi Oktoba 24 mwaka huu na kwamba hazina madhara....

 

11 years ago

Habarileo

Rais Kikwete ahimiza uwekezaji katika chanjo

Rais Jakaya KikweteRAIS Jakaya Kikwete amesema kuwekeza katika chanjo, ni uwekezaji wa maana zaidi na wa akili zaidi, ambao mataifa yanapaswa kufanya katika kuboresha afya ya raia wake na hali ya baadaye ya mataifa duniani.

 

11 years ago

Habarileo

Chanjo ya saratani ya shingo ya kizazi Mei

Mganga Mkuu wa Serikali, Dk Donan MmbandoCHANJO ya kuzuia saratani ya shingo ya kizazi kwa wasichana wenye umri wa miaka tisa hadi 13 itaanza kutolewa na serikali mwezi ujao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Prolife wataka uhakika chanjo ya saratani

SHIRIKA la Kutetea Uhai wa Binadamu (Prolife) limesema chanjo ya saratani ya shingo ya kizazi iitwayo Gardasil imegubikwa na hofu kutokana na baadhi ya wataalamu kueleza kuwa nguvu ya dawa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani