RC ahimiza elimu chanjo ya saratani kwa wasichana
WAKUU wa wilaya, wakurugenzi na wenyeviti wa halmashauri mkoani Kilimanjaro, wametakiwa kuelimisha jamii kuhusu utoaji wa chanjo ya kuzuia saratani ya mlango wa kizazi. Chanjo hiyo itafanywa kwa wasichana wenye umri wa kati ya miaka tisa na 13.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-2qZMU9Xcdfk/XsFQK4Y0sDI/AAAAAAALqlY/c02FLUAQhFIc9M1u9HtZ9-6vkqpNVK2aACLcBGAsYHQ/s72-c/2hpv2708.jpg)
WANAHABARI WAPATIWA ELIMU YA UELEWA WA CHANJO YA SARATANI YA HPV PAMOJA NA CHANJO NYINGINE KWA NJIA YA MTANDAO
![](https://1.bp.blogspot.com/-2qZMU9Xcdfk/XsFQK4Y0sDI/AAAAAAALqlY/c02FLUAQhFIc9M1u9HtZ9-6vkqpNVK2aACLcBGAsYHQ/s640/2hpv2708.jpg)
Semina hiyo ya siku moja ya uelewa wa Chanjo ya kukinga ugonjwa wa saratani ya mlango wa kizazi (HPV Vaccine) ambayo hutolewa bila malipo kwa wasichana wa miaka 14 hapa nchini iliendeshwa mubashara kupitia mtandao wa ZOOM.
Awali akiwasilisha mada maalumu ya chanjo hiyo ya HPV, Afisa Mradi, Mpango wa Taifa wa...
11 years ago
Habarileo13 Feb
Wasichana kupatiwa chanjo ya saratani ya uzazi
CHANJO ya kuzuia saratani ya mlango wa uzazi, iko mbioni kutolewa na serikali kwa wasichana walio shuleni.
11 years ago
Mwananchi08 Jun
Wasichana kupewa chanjo ya saratani ya mlango wa uzazi
10 years ago
Habarileo24 Sep
Neema ya elimu kwa wasichana
TANZANIA ni moja ya nchi zitakazonufaika na ushirikiano mpya wa kimasomo, uliosainiwa jijini hapa juzi kwa lengo la kuwasaidia wasichana kujikita katika nyanja za Sayansi, Teknolojia, Uhandisi na Hisabati. Katika ushirikiano huo, miongoni mwa manufaa yake ni kutoa fursa kwa wasichana, watakaofanya vizuri kimasomo kusoma katika vyuo vya elimu ya juu nchini Marekani.
10 years ago
Mwananchi26 Dec
Ahimiza elimu ya umiliki wa ardhi kwa madiwani
10 years ago
Tanzania Daima18 Oct
RC Mahiza ahimiza chanjo ya surua na rubella
MKUU wa Mkoa wa Pwani, Mwantum Mahiza, amewataka wananchi kushiriki kikamilifu kwenye zoezi la chanjo ya surua na rubella inayoanza leo hadi Oktoba 24 mwaka huu na kwamba hazina madhara....
11 years ago
Habarileo12 May
Rais Kikwete ahimiza uwekezaji katika chanjo
RAIS Jakaya Kikwete amesema kuwekeza katika chanjo, ni uwekezaji wa maana zaidi na wa akili zaidi, ambao mataifa yanapaswa kufanya katika kuboresha afya ya raia wake na hali ya baadaye ya mataifa duniani.
11 years ago
Habarileo07 Apr
Chanjo ya saratani ya shingo ya kizazi Mei
CHANJO ya kuzuia saratani ya shingo ya kizazi kwa wasichana wenye umri wa miaka tisa hadi 13 itaanza kutolewa na serikali mwezi ujao.
11 years ago
Tanzania Daima11 May
Prolife wataka uhakika chanjo ya saratani
SHIRIKA la Kutetea Uhai wa Binadamu (Prolife) limesema chanjo ya saratani ya shingo ya kizazi iitwayo Gardasil imegubikwa na hofu kutokana na baadhi ya wataalamu kueleza kuwa nguvu ya dawa...