Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Neema ya elimu kwa wasichana

TANZANIA ni moja ya nchi zitakazonufaika na ushirikiano mpya wa kimasomo, uliosainiwa jijini hapa juzi kwa lengo la kuwasaidia wasichana kujikita katika nyanja za Sayansi, Teknolojia, Uhandisi na Hisabati. Katika ushirikiano huo, miongoni mwa manufaa yake ni kutoa fursa kwa wasichana, watakaofanya vizuri kimasomo kusoma katika vyuo vya elimu ya juu nchini Marekani.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

PPF na neema ya fao la elimu kwa wategemezi

MFUKO wa Pensheni wa PPF unajivunia kuwa mfuko wa kwanza wa hifadhi ya jamii nchini kutoa fao la elimu ambalo mpaka sasa wamesomesha zaidi ya wanafunzi 2000. Fao hili hutolewa...

 

11 years ago

Habarileo

RC ahimiza elimu chanjo ya saratani kwa wasichana

WAKUU wa wilaya, wakurugenzi na wenyeviti wa halmashauri mkoani Kilimanjaro, wametakiwa kuelimisha jamii kuhusu utoaji wa chanjo ya kuzuia saratani ya mlango wa kizazi. Chanjo hiyo itafanywa kwa wasichana wenye umri wa kati ya miaka tisa na 13.

 

11 years ago

Michuzi

MRADI WA HAKUNA WASICHOWEZA WATOA ELIMU NA MISAADA YA VIFAA VYA KUJISITIRI WAKATI WA HEDHI KWA WASICHANA 6000 MKOANI MTWARA

Mwakilishi wa Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara Bw. Salum Masalanga (katikati) akikabidhi msaada wa pedi kwa Mwanafunzi wa Shule ya Msingi ya Maendeleo, Neema Mohamed chini ya programu ya Hakuna Wasichoweza iliyofadhiliwa na Vodacom na T-MARC. Wakishuhudia tukio hilo, ni Mkuu wa Kitengo cha Huduma kwa Jamii Vodacom, Yesaya Mwakifulefule (kushoto)na Mratibu wa Mradi kutoka T-MARC Tanzania, Bi. Dorice Chalambo (kulia), mradi huo umeanza kufanya kazi mkoa wa Mtwara na Lindi na kusambaa nchi nzima....

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI WA ELIMU AFURAHISHWA NA UJENZI WA SEKONDARI YA WASICHANA WILAYANI CHAMWINO

 Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndungai akitoa ufafanuzi juu ya maendeleo ya ujenzi wa shule maalum ya wasichana inayojengwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jijini Dodoma.Muonekano wa baadhi ya majengo ya shule ya sekondari maalum ya wasichana inayojengwa wabunge wa  Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Chamwino Jijini Dodoma
WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Joyce Ndalichako ameahidi kuunga mkono juhudi za wabunge katika ujenzi wa shule...

 

11 years ago

Dewji Blog

Wasichana 30 jijini Mwanza wapatiwa mafunzo ya siku tano kuhusu elimu ya ukatili wa kijinsia majumbani

Untitled

Mkufunzi wa Masuala ya Kijinsia Bi. Tumaini Kyola akitoa mafunzo kwa kundi la Wasichana 30 ambao hawako mashuleni juu ya mbinu mbalimbali za kuelemisha jamii kuhusu masuala Ukatili wa Majumbani na wa kingono pia. Wasichana hawa wanategemewa kwenda kuwafundisha wasichana wenzao wa mitaani, kila mmoja amepewa lengo la kufikia wasichana 50.

Untitled 1

Baadhi ya wasichana 30 wakiwa makini kufuatilia mafunzo waliokuwa wakipatiwa na mkufunzi wao (hayupo pichani), hili ni kundi la kwanza kwa wasichana...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mchumi wa Wizara ya Viwanda na Biashara kugombea ubunge jimboni kwa Mgimwa, asema wana Mufindi wajiandae kwa neema mpya ……

Bw Exaud Kigahe mgombea  ubunge  jimbo la Mufindi kaskazini Exaud Kigahe. Wanahabari  wakimsikiliza Bw Kigahe  wakati  akitangaza  nia ya  kugombea ubunge

Na FGBLOG, MUFINDI

MDAU  mkubwa  wa maendeleo ya elimu katika wilaya ya Mufindi mkoani Iringa na mzaliwa wa kijiji cha Nungwe, wilayani Mufindi Mkoani Iringa Bw Exaud Kigahe ambae ni mchumi mkuu wa  wizara ya viwanda na biashara amepania kuwakomboa kimaendeleo wakazi wa  jimbo la Mufindi Kaskazini linaloongozwa na Naibu Waziri wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vita ya CCM neema kwa Watanzania

HAKUNA ubishi. Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeingiliwa au tuseme kuvamiwa na kansa mbaya. Hakuna kitu kinakitafuna chama hiki kama mdudu wa kupenda madaraka huku wanaoyatafuta wakiwatumia makada wa chama sehemu...

 

11 years ago

Habarileo

China yamwaga neema kwa Tanzania

SERIKALI ya Jamhuri ya Watu wa China imetangaza neema kubwa kwa Tanzania, ikiwa ni pamoja na kutoa dola za Marekani milioni 85 (Sh bilioni 140) kwa ajili ya shughuli za maendeleo na kuisaidia Tanzania kufanya mageuzi ya viwanda.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani