Rais Kikwete ahimiza uwekezaji katika chanjo
RAIS Jakaya Kikwete amesema kuwekeza katika chanjo, ni uwekezaji wa maana zaidi na wa akili zaidi, ambao mataifa yanapaswa kufanya katika kuboresha afya ya raia wake na hali ya baadaye ya mataifa duniani.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania28 Dec
Askofu Kilaini ahimiza uwekezaji katika ndoa
Na Joan John, Kagera
ASKOFU Msaidizi wa Kanisa Katoliki Jimbo la Bukoba, Mhashamu, Methodius Kilaini amewataka wanandoa nchini kuwekeza katika ndoa zao ili kuweza kujenga familia imara.
Askofu Kilaini alisema hayo juzi katika misa ya pili iliyofanyika katika Kanisa Katoliki mjini Bukoba ambapo alisema kuwa bila wanandoa kuwekeza katika ndoa zao, kamwe hawawezi kujenga familia imara.
Alisema Wakristo wanapaswa kujenga tabia ya uvumilivu, upendo, amani, kuthaminiana, kuheshimiana katika...
10 years ago
Tanzania Daima18 Oct
RC Mahiza ahimiza chanjo ya surua na rubella
MKUU wa Mkoa wa Pwani, Mwantum Mahiza, amewataka wananchi kushiriki kikamilifu kwenye zoezi la chanjo ya surua na rubella inayoanza leo hadi Oktoba 24 mwaka huu na kwamba hazina madhara....
11 years ago
Dewji Blog25 Apr
Watoto 4000 kupatiwa chanjo katika Wiki ya Chanjo — Parseko Kone, Singida
Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone, akizindua utoaji wa chanjo kimkoa katika hospitali ya St.Calorus iliyopo kijiji cha Mtinko. Jumla ya watoto 3,999 wanatarajiwa kupatiwa chanjo mbalimbali.
Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone, akizungumza na wakazi wa tarafa ya Mtinko wilaya ya Singida, muda mfupi baada ya kuzindua zoezi la chanjo kimkoa lililoanza jana na linatarajiwa kumalizika Aprili 30 mwaka huu.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu
JUMLA ya watoto 3,999 mkoani...
11 years ago
Habarileo06 Mar
RC ahimiza elimu chanjo ya saratani kwa wasichana
WAKUU wa wilaya, wakurugenzi na wenyeviti wa halmashauri mkoani Kilimanjaro, wametakiwa kuelimisha jamii kuhusu utoaji wa chanjo ya kuzuia saratani ya mlango wa kizazi. Chanjo hiyo itafanywa kwa wasichana wenye umri wa kati ya miaka tisa na 13.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-4omzgfWD1sg/VMkZ7nM2zeI/AAAAAAABjZ0/ncb3m9rz8MA/s72-c/B%2B6.jpg)
RAIS KIKWETE AHAMASISHA MCHANGO WA DOLA BILIONI 7.5 KWA AJILI YA CHANJO YA WATOTO NCHI MASIKINI DUNIANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-4omzgfWD1sg/VMkZ7nM2zeI/AAAAAAABjZ0/ncb3m9rz8MA/s640/B%2B6.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima09 Jul
RC ahimiza uwekezaji chumba cha maiti
MKUU wa Mkoa (RC) wa Njombe, Kapteni Mstaafu, Assery Msangi, amekaribisha watu binafsi, mashirika na taasisi yoyote kujitokeza kusaidia ujenzi wa chumba cha kuhifadhia maiti katika Hospitali ya Mkoa ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JUluVB-wEZR96vSazor6cmgBg3En8iryR6xm07b4pG7S5xhu*B*IUZbMXWoi4WNytSrRmW-NbFqWBsgKM0zsS13ixvS*bEbN/b8.jpg)
RAIS KIKWETE AHAMASISHA MCHANGO WA DOLA BILIONI 7.5 KWA AJILI YA CHANJO YA WATOTO NCHI MASIKINI DUNIANI
11 years ago
Mwananchi26 Dec
Askofu ahimiza uwekezaji elimu ya juu nchini
11 years ago
Habarileo25 Jul
Dk Bilal ahimiza uwekezaji kwenye sayansi, teknolojia
MAKAMU wa Rais, Dk Mohammed Gharib Bilal amesema nchi za Afrika haziwezi kuendelea pasipo kuwekeza kwenye masomo ya sayansi na teknolojia.