Ahimiza elimu ya umiliki wa ardhi kwa madiwani
Katibu Tawala wa Wilaya ya Chemba mkoani Dodoma, Dorah Makinga amelitaka Jumuiko la Maliasili Tanzania (TNRF), kuwaelimisha madiwani matumizi bora ya ardhi ili wakawaelimisha wananchi katika ngazi za vijiji na vitongoji.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Sheria ya umiliki ardhi invyomsaidia mwanamke kupata haki ya umiliki
10 years ago
Mwananchi06 Nov
Namna na hatua ya kubadili umiliki wa ardhi (2)
11 years ago
Tanzania Daima26 Dec
‘Serikali isimamie sheria umiliki wa ardhi’
SERIKALI imetakiwa kusimamia sheria, taratibu na kanuni za umiliki wa ardhi ili kuondoa changamoto mbalimbali zinazoikabili sekta hiyo ikiwemo uvunjifu wa amani na umwagikaji wa damu. Mkurungezi wa Taasisi ya...
11 years ago
Habarileo06 Mar
RC ahimiza elimu chanjo ya saratani kwa wasichana
WAKUU wa wilaya, wakurugenzi na wenyeviti wa halmashauri mkoani Kilimanjaro, wametakiwa kuelimisha jamii kuhusu utoaji wa chanjo ya kuzuia saratani ya mlango wa kizazi. Chanjo hiyo itafanywa kwa wasichana wenye umri wa kati ya miaka tisa na 13.
10 years ago
Mwananchi30 Oct
Hatua ya kubadili umiliki wa hati ya ardhi kisheria
9 years ago
Michuzi04 Oct
Mpango mkubwa hati za umiliki ardhi kimila mbioni
Mpango huu ambao uko mbioni kuanza kama majaribio ni moja ya maazimio ya mkutano wa 9 wa Baraza la Taifa la Biashara (TNBC) uliomalizika mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam.
Akitoa majumuisho ya mkutano huo kwa waandishi wa habari, Mwenyekiti wa Kamati Tendaji ya TNBC, Balozi Ombeni Sefue alisema kuharakishwa kwa mpango wa kutoa hati za umiliki wa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Z123l9ok3so/VX60cKmr77I/AAAAAAAHfiE/eHCmY1HhU28/s72-c/02B.jpg)
WAZIRI LUKUVI AHIMIZA MPANGO SHIRIKISHI KUENDELEZA ARDHI KATA YA MAKONGO KWA MATUMIZI BORA NA ENDELEVU.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Z123l9ok3so/VX60cKmr77I/AAAAAAAHfiE/eHCmY1HhU28/s640/02B.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-4J4Q1y5XcIY/VX60f1mm0HI/AAAAAAAHfiM/JTtVj23YFn8/s640/04.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HCsPqyAzjik/VkxSMWPy_gI/AAAAAAAIGhA/RFAhzzYhya0/s72-c/1.1774256.jpg)
MAKALA YA SHERIA: MAMBO YA MSINGI KISHERIA KUHUSU UMILIKI WA ARDHI WA PAMOJA
![](http://3.bp.blogspot.com/-HCsPqyAzjik/VkxSMWPy_gI/AAAAAAAIGhA/RFAhzzYhya0/s320/1.1774256.jpg)
Ardhi inaweza kumilikiwa na mtu zaidi ya mmoja. Inaweza kuwa nyumba au kiwanja. Vyote hivi vinaweza kumilikiwa na mtu zaidi ya mmoja. Kumiliki ardhi kwa zaidi ya mtu mmoja sio lazima iwe kwa wanandoa. Inaweza kuwa ndugu , marafiki , kikundi cha watu kama wafanyabiashara, wana saccos, kikundi cha michezo na aina yoyote ya kikundi cha kimaendeleo. Umiliki wa ardhi kwa pamoja unatofauti na umiliki binafsi yaani umiliki...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/--yOPCUfaXz4/Vfhhm5cuQII/AAAAAAAAFoE/nh6ZtcCmVbE/s72-c/washiriki.jpg3.jpg)
WANAWAKE WA MKOA WA IRINGA WAPATIWA MAFUNZO JUU YA SHERIA YA UMILIKI WA ARDHI NA UONGOZI
![](http://3.bp.blogspot.com/--yOPCUfaXz4/Vfhhm5cuQII/AAAAAAAAFoE/nh6ZtcCmVbE/s640/washiriki.jpg3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-SHv2uWBPOKI/VfhhID2pQxI/AAAAAAAAFn8/p60XWob3gwQ/s640/darasa.jpg)
Alisema...