Mpango mkubwa hati za umiliki ardhi kimila mbioni
Na Mwandishi wetu, Dar es SalaamSERIKALI imesema inafanyia kazi mpango mkubwa wa kupima ardhi zinazomilikiwa kimila na kutoa hati kwa wahusika.
Mpango huu ambao uko mbioni kuanza kama majaribio ni moja ya maazimio ya mkutano wa 9 wa Baraza la Taifa la Biashara (TNBC) uliomalizika mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam.
Akitoa majumuisho ya mkutano huo kwa waandishi wa habari, Mwenyekiti wa Kamati Tendaji ya TNBC, Balozi Ombeni Sefue alisema kuharakishwa kwa mpango wa kutoa hati za umiliki wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi30 Oct
Hatua ya kubadili umiliki wa hati ya ardhi kisheria
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Sheria ya umiliki ardhi invyomsaidia mwanamke kupata haki ya umiliki
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Gnx9M6Wjmqs/VhN7o5ynkeI/AAAAAAAAdE4/7GWf2fDc-F0/s72-c/IMG_2749.jpg)
HATIMAYE VIJIJI VINNE WILAYANI HANANG’ VIMEPOKEA HATI ZA HAKIMILIKI ZA KIMILA ZA ARDHIâ€â€Ž
![](http://1.bp.blogspot.com/-Gnx9M6Wjmqs/VhN7o5ynkeI/AAAAAAAAdE4/7GWf2fDc-F0/s640/IMG_2749.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-N5dM6M6xJjQ/VhN7um2tDHI/AAAAAAAAdFg/thKrEluWCzI/s640/IMG_2789.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-HqVbcbyBh-0/VhN7wMFs0BI/AAAAAAAAdFo/mLt8IuCc7QY/s640/IMG_2796.jpg)
Na mwandishi wetuWenyekiti wa vijiji vinne vya wilaya ya Hanang’ wamepokea hati za hakimiliki za kimila za ardhi ya vijiji vyao baada ya kuwa vimepimwa na wao...
5 years ago
MichuziWAZIRI LUKUVI ATAKA MAAFISA ARDHI KUWAFUATILIA WAMILIKI WASIOTAKA KUCHUKUA HATI ZA ARDHI
5 years ago
CCM BlogWAZIRI LUKUVI ATAKA MAAFISA ARDHI KUWAFUATILIA WAMILIKI WALIOTELEKEZA HATI ZAO ZA ARDHI AMBAZO ZIPO TAYARI
Na Munir Shemweta, WANMM ARUSHA
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi amewataka Maafisa Ardhi nchini kuhakikisha wanawafuatilia wamiliki wa ardhi ambao hati zao zimekamilika lakini...
11 years ago
Tanzania Daima26 Dec
‘Serikali isimamie sheria umiliki wa ardhi’
SERIKALI imetakiwa kusimamia sheria, taratibu na kanuni za umiliki wa ardhi ili kuondoa changamoto mbalimbali zinazoikabili sekta hiyo ikiwemo uvunjifu wa amani na umwagikaji wa damu. Mkurungezi wa Taasisi ya...
10 years ago
Mwananchi06 Nov
Namna na hatua ya kubadili umiliki wa ardhi (2)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-f-dbFmTTD1s/U30Dkbhvd8I/AAAAAAAFkV8/KmUcI5xurNI/s72-c/unnamed+(38).jpg)
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imekabidhi rasmi hati ya umiliki wa matumizi ya Msikiti Muhammad (SAW) wa mwanakwerekwe
10 years ago
Mwananchi26 Dec
Ahimiza elimu ya umiliki wa ardhi kwa madiwani