HATIMAYE VIJIJI VINNE WILAYANI HANANG’ VIMEPOKEA HATI ZA HAKIMILIKI ZA KIMILA ZA ARDHIâ€â€Ž
![](http://1.bp.blogspot.com/-Gnx9M6Wjmqs/VhN7o5ynkeI/AAAAAAAAdE4/7GWf2fDc-F0/s72-c/IMG_2749.jpg)
Mzee wa heshima akielezea historia ya umiliki wa ardhi miaka ya nyuma ukilinganisha na sasa.
Makko Sinandei Mratibu wa Miradi wa shirika la UCRT alisema wamekutana na changamoto za migogoro ya mipaka katika vijiji ambayo inazuia kushindwa kupima mipaka katika vijiji husika.
Baadhi ya akina mama wa Kijiji hicho wakifuatilia tukio.
Na mwandishi wetuWenyekiti wa vijiji vinne vya wilaya ya Hanang’ wamepokea hati za hakimiliki za kimila za ardhi ya vijiji vyao baada ya kuwa vimepimwa na wao...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV13 Nov
Vijiji vinne vya wilayani Muheza kunufaika na mradi wa maji
Vijiji vinne vya Milingano, Muungano, Kibaoni na Upare wilayani Muheza mkoani Tanga wanatarajiwa kunufaika na mradi wa maji unatarajiwa kukamilika Desemba mwaka huu.
Mradi huo ambao unagharimu zaidi ya shilingi bilioni moja utahudumia wakazi zaidi ya elfu saba.
Mradi wa maji wa kijiji cha Mlingano ambao chanzo chake kimeanzia katika mto Zigi uliopo wilayani Muheza mkoani Tanga.
Wananchi wa maeneo hayo wanauona mradi huo kama almasi baada ya kusumbuka kwa muda mrefu wakifuata huduma hiyo mto...
9 years ago
StarTV17 Dec
Wakazi wa vijiji vinne vya wilayani Ulanga wanufaika na Ujenzi Wa Barabara
Wakazi wa vijiji vya Kisewe, Mdundo, Nawenge na Lyandira wilayani Ulanga mkoani Morogoro wamenufaika na ujenzi wa barabara ulioanzishwa na shirika la utafiti wa madini wilayani humo Mahenge Natural Resources baada ya kutaabika kwa muda mrefu katika usafirishaji wa mazao yao wakiyabeba kichwani kupeleka sokoni.
Kukamilika kwa mradi huo wa barabara kutasaidia wakulima wengi kwenye vijiji hivyo kunufaika kiuchumi na kuongeza kipato zaidi kutokana na mazao yao kufika kiurahisi sokoni.
Ukitazama...
11 years ago
Mwananchi17 Dec
Vijiji vinne kufundisha wakulima wao
9 years ago
Michuzi04 Oct
Mpango mkubwa hati za umiliki ardhi kimila mbioni
Mpango huu ambao uko mbioni kuanza kama majaribio ni moja ya maazimio ya mkutano wa 9 wa Baraza la Taifa la Biashara (TNBC) uliomalizika mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam.
Akitoa majumuisho ya mkutano huo kwa waandishi wa habari, Mwenyekiti wa Kamati Tendaji ya TNBC, Balozi Ombeni Sefue alisema kuharakishwa kwa mpango wa kutoa hati za umiliki wa...
10 years ago
Mwananchi23 Jun
Sheria za Kimila ‘zaifunika’ Serikali wilayani Serengeti
10 years ago
Dewji Blog19 Jun
Shirika la Oxfam lakabidhi vituo vya kusindika na kuhifadhi maziwa kwa wanawake wa vijiji vinne wilaya ya Ngorongoro
![](http://4.bp.blogspot.com/-_CBXOQPjdvs/VYJTu8SMo9I/AAAAAAAAbXI/JBUrJ9O7n8Q/s640/Mkurugenzi-akikata-utepe-kama-ishara-ya-kuzindua-rasmi-kituo-cha-kuhifadhia-na-kusindika-maziwa.jpg)
Mkurugenzi wa Wilaya ya Ngorongoro John Kulwa Mgalula akikata utepe kama ishara ya kuzindua rasmi kituo cha kuhifadhia na kusindika maziwa.
![](http://2.bp.blogspot.com/-hdbrDa_PtjM/VYJV68_zB3I/AAAAAAAAbYs/MkiAcYxX28o/s640/Mkurugenzi-akijaribisha-jokofu-linalotumia-umeme-wa-jua.jpg)
Mkurugenzi wa Wilaya ya Ngorongoro John Kulwa Mgalula akijaribisha Jokofu linalotumia umeme wa jua wakati wa uzinduzi huo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-rsbSLOMZ9Ys/VYJTvAoeKEI/AAAAAAAAbXE/Af9Tk5vwS1w/s640/Mkurugenzi-akionyeshwa-vipima-joto-na-vifaa-vingine-vilivyokabidhiwa-kwa-wanakikundi.jpg)
Mkurugenzi wa Wilaya ya Ngorongoro, John Kulwa Mgalula (kushoto) akioneshwa baadhi ya vifaa ambavyo walikabidhiwa vituo hivyo na Shirika la Oxfam Tanzania.
![](http://1.bp.blogspot.com/-kB6clEzI228/VYJT1itX9FI/AAAAAAAAbYQ/nuvpFzhS09g/s640/Wanakikundi-cha-NOSOTWA-kutoka-kijiji-cha-Engaresero.jpg)
Baadhi ya Wanakikundi cha NOSOTWA kutoka kijiji cha...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-_CBXOQPjdvs/VYJTu8SMo9I/AAAAAAAAbXI/JBUrJ9O7n8Q/s72-c/Mkurugenzi-akikata-utepe-kama-ishara-ya-kuzindua-rasmi-kituo-cha-kuhifadhia-na-kusindika-maziwa.jpg)
SHIRIKA LA OXFAM LAKABIDHI VITUO VYA KUSINDIKA NA KUHIFADHI MAZIWA KWA WANAWAKE WA VIJIJI VINNE VYA WILAYA YA NGORONGORO
![](http://4.bp.blogspot.com/-_CBXOQPjdvs/VYJTu8SMo9I/AAAAAAAAbXI/JBUrJ9O7n8Q/s640/Mkurugenzi-akikata-utepe-kama-ishara-ya-kuzindua-rasmi-kituo-cha-kuhifadhia-na-kusindika-maziwa.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-hdbrDa_PtjM/VYJV68_zB3I/AAAAAAAAbYs/MkiAcYxX28o/s640/Mkurugenzi-akijaribisha-jokofu-linalotumia-umeme-wa-jua.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-rsbSLOMZ9Ys/VYJTvAoeKEI/AAAAAAAAbXE/Af9Tk5vwS1w/s640/Mkurugenzi-akionyeshwa-vipima-joto-na-vifaa-vingine-vilivyokabidhiwa-kwa-wanakikundi.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-kB6clEzI228/VYJT1itX9FI/AAAAAAAAbYQ/nuvpFzhS09g/s640/Wanakikundi-cha-NOSOTWA-kutoka-kijiji-cha-Engaresero.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-dXltEgz7LRY/VYJTzLv10QI/AAAAAAAAbXo/ijauTIo2yM4/s640/Stellah-Julius-kutoka-Oxfam-akizungumza-na-wanakikundi-cha-NOSOTWA-kutoka-kijiji-cha-Engaresero.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-L1m1RJQX8dU/VNo-G-CF7II/AAAAAAAHC5o/4f1OcbqiAxQ/s72-c/unnamed%2B(34).jpg)
Ziara ya naibu waziri wa Maji Mhe Amos Makalla wilayani Hanang leo
10 years ago
VijimamboMKUU WA WILAYA BUSEGA, PAUL MZINDAKAYA AKABIDHI POWER TILLER KWA VIKUNDI VINNE WILAYANI HUMO
MKUU wa Wilaya ya Busega mkoani Simiyu Paul Mzindakaya amevikabidhi Power tTiller vikundi vinne vinavyojishughulisha na kilimo bora wilayani humo ili viweze kuondokana na...