Vijiji vinne kufundisha wakulima wao
Halmashauri ya Wilaya ya Ileje, mkoani Mbeya, imetangaza kuvisaidia vijiji vinne ili vizalishe mpunga kuanzia mwakani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV13 Nov
Vijiji vinne vya wilayani Muheza kunufaika na mradi wa maji
Vijiji vinne vya Milingano, Muungano, Kibaoni na Upare wilayani Muheza mkoani Tanga wanatarajiwa kunufaika na mradi wa maji unatarajiwa kukamilika Desemba mwaka huu.
Mradi huo ambao unagharimu zaidi ya shilingi bilioni moja utahudumia wakazi zaidi ya elfu saba.
Mradi wa maji wa kijiji cha Mlingano ambao chanzo chake kimeanzia katika mto Zigi uliopo wilayani Muheza mkoani Tanga.
Wananchi wa maeneo hayo wanauona mradi huo kama almasi baada ya kusumbuka kwa muda mrefu wakifuata huduma hiyo mto...
9 years ago
StarTV17 Dec
Wakazi wa vijiji vinne vya wilayani Ulanga wanufaika na Ujenzi Wa Barabara
Wakazi wa vijiji vya Kisewe, Mdundo, Nawenge na Lyandira wilayani Ulanga mkoani Morogoro wamenufaika na ujenzi wa barabara ulioanzishwa na shirika la utafiti wa madini wilayani humo Mahenge Natural Resources baada ya kutaabika kwa muda mrefu katika usafirishaji wa mazao yao wakiyabeba kichwani kupeleka sokoni.
Kukamilika kwa mradi huo wa barabara kutasaidia wakulima wengi kwenye vijiji hivyo kunufaika kiuchumi na kuongeza kipato zaidi kutokana na mazao yao kufika kiurahisi sokoni.
Ukitazama...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Gnx9M6Wjmqs/VhN7o5ynkeI/AAAAAAAAdE4/7GWf2fDc-F0/s72-c/IMG_2749.jpg)
HATIMAYE VIJIJI VINNE WILAYANI HANANG’ VIMEPOKEA HATI ZA HAKIMILIKI ZA KIMILA ZA ARDHIâ€â€Ž
![](http://1.bp.blogspot.com/-Gnx9M6Wjmqs/VhN7o5ynkeI/AAAAAAAAdE4/7GWf2fDc-F0/s640/IMG_2749.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-N5dM6M6xJjQ/VhN7um2tDHI/AAAAAAAAdFg/thKrEluWCzI/s640/IMG_2789.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-HqVbcbyBh-0/VhN7wMFs0BI/AAAAAAAAdFo/mLt8IuCc7QY/s640/IMG_2796.jpg)
Na mwandishi wetuWenyekiti wa vijiji vinne vya wilaya ya Hanang’ wamepokea hati za hakimiliki za kimila za ardhi ya vijiji vyao baada ya kuwa vimepimwa na wao...
10 years ago
Dewji Blog19 Jun
Shirika la Oxfam lakabidhi vituo vya kusindika na kuhifadhi maziwa kwa wanawake wa vijiji vinne wilaya ya Ngorongoro
![](http://4.bp.blogspot.com/-_CBXOQPjdvs/VYJTu8SMo9I/AAAAAAAAbXI/JBUrJ9O7n8Q/s640/Mkurugenzi-akikata-utepe-kama-ishara-ya-kuzindua-rasmi-kituo-cha-kuhifadhia-na-kusindika-maziwa.jpg)
Mkurugenzi wa Wilaya ya Ngorongoro John Kulwa Mgalula akikata utepe kama ishara ya kuzindua rasmi kituo cha kuhifadhia na kusindika maziwa.
![](http://2.bp.blogspot.com/-hdbrDa_PtjM/VYJV68_zB3I/AAAAAAAAbYs/MkiAcYxX28o/s640/Mkurugenzi-akijaribisha-jokofu-linalotumia-umeme-wa-jua.jpg)
Mkurugenzi wa Wilaya ya Ngorongoro John Kulwa Mgalula akijaribisha Jokofu linalotumia umeme wa jua wakati wa uzinduzi huo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-rsbSLOMZ9Ys/VYJTvAoeKEI/AAAAAAAAbXE/Af9Tk5vwS1w/s640/Mkurugenzi-akionyeshwa-vipima-joto-na-vifaa-vingine-vilivyokabidhiwa-kwa-wanakikundi.jpg)
Mkurugenzi wa Wilaya ya Ngorongoro, John Kulwa Mgalula (kushoto) akioneshwa baadhi ya vifaa ambavyo walikabidhiwa vituo hivyo na Shirika la Oxfam Tanzania.
![](http://1.bp.blogspot.com/-kB6clEzI228/VYJT1itX9FI/AAAAAAAAbYQ/nuvpFzhS09g/s640/Wanakikundi-cha-NOSOTWA-kutoka-kijiji-cha-Engaresero.jpg)
Baadhi ya Wanakikundi cha NOSOTWA kutoka kijiji cha...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-_CBXOQPjdvs/VYJTu8SMo9I/AAAAAAAAbXI/JBUrJ9O7n8Q/s72-c/Mkurugenzi-akikata-utepe-kama-ishara-ya-kuzindua-rasmi-kituo-cha-kuhifadhia-na-kusindika-maziwa.jpg)
SHIRIKA LA OXFAM LAKABIDHI VITUO VYA KUSINDIKA NA KUHIFADHI MAZIWA KWA WANAWAKE WA VIJIJI VINNE VYA WILAYA YA NGORONGORO
![](http://4.bp.blogspot.com/-_CBXOQPjdvs/VYJTu8SMo9I/AAAAAAAAbXI/JBUrJ9O7n8Q/s640/Mkurugenzi-akikata-utepe-kama-ishara-ya-kuzindua-rasmi-kituo-cha-kuhifadhia-na-kusindika-maziwa.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-hdbrDa_PtjM/VYJV68_zB3I/AAAAAAAAbYs/MkiAcYxX28o/s640/Mkurugenzi-akijaribisha-jokofu-linalotumia-umeme-wa-jua.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-rsbSLOMZ9Ys/VYJTvAoeKEI/AAAAAAAAbXE/Af9Tk5vwS1w/s640/Mkurugenzi-akionyeshwa-vipima-joto-na-vifaa-vingine-vilivyokabidhiwa-kwa-wanakikundi.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-kB6clEzI228/VYJT1itX9FI/AAAAAAAAbYQ/nuvpFzhS09g/s640/Wanakikundi-cha-NOSOTWA-kutoka-kijiji-cha-Engaresero.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-dXltEgz7LRY/VYJTzLv10QI/AAAAAAAAbXo/ijauTIo2yM4/s640/Stellah-Julius-kutoka-Oxfam-akizungumza-na-wanakikundi-cha-NOSOTWA-kutoka-kijiji-cha-Engaresero.jpg)
10 years ago
MichuziWAFANYAKAZI WA NBC WAJITOLEA KUFUNDISHA VIJANA UJASIRIAMALI NA MBINU ZA KIFEDHA KUPITIA MPANGO WAO WA 'UNLOCKING YOUTH POTENTIAL'
11 years ago
Tanzania Daima27 Apr
Wakulima wamtimua mkurugenzi wao
CHAMA cha Wakulima Tanzania (TFA), kimepata hasara ya sh bilioni 5 kwa kipindi cha miaka 10 mfululizo kutokana na viongozi wa bodi kuwa na matumizi mabaya ya fedha na kujiidhinishia...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-aH75CoXp83Q/VLTx3wr08TI/AAAAAAAAx8g/l1HAqSc8tYo/s72-c/Chibehe.jpg)
KONYAGI WATEMBELEA MASHAMBA YA WAKULIMA WA ZABIBU DODOMA AMBAO WATOTO WAO WANAFADHILIWA KIMASOMO
![](http://2.bp.blogspot.com/-aH75CoXp83Q/VLTx3wr08TI/AAAAAAAAx8g/l1HAqSc8tYo/s1600/Chibehe.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-EpKESauqbeM/VLTx36s2cNI/AAAAAAAAx9A/bexazRpqD_4/s1600/festo.jpg)
11 years ago
MichuziNEWS ALERT: WAKULIMA WA MELELA, MOROGORO WAFUNGA BARABARA KUSHINIKISHA KUKUTANA NA MKUU WA MKOA WAO
Wakulima hao ambao wanalima katika Mashamba yaliopo eneo la Mkangazi,Wilayani Mvomero,walilazimika kufunga barabara hiyo ili iwe shinikizo la kufika kwa Mkuu huyo wa Mkoa na kuwasikiliza ikiwezekana kutatua kabisa tatizo lao.
Wakulima hao...