Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakulima wamtimua mkurugenzi wao

CHAMA cha Wakulima Tanzania (TFA), kimepata hasara ya sh bilioni 5 kwa kipindi cha miaka 10 mfululizo kutokana na viongozi wa bodi kuwa na matumizi mabaya ya fedha na kujiidhinishia...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

UVCCM Arusha wamtimua katibu wao

Baraza Kuu la Jumuiya ya Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) mkoani hapa limemtimua katibu wake wa mkoa, Gerald Mwadalu kwa tuhuma za ubadhirifu.

 

10 years ago

Habarileo

Iramba wamkataa mkurugenzi wao

WAJUMBE wa Kamati ya Utawala, Mipango na Fedha katika Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba mkoani Singida, wameamua kutohudhuria kikao chochote hadi Serikali itakapomwondoa Mkurugenzi Mtendaji wake (DED), Halima Mpita.

 

11 years ago

Mwananchi

Vijiji vinne kufundisha wakulima wao

Halmashauri ya Wilaya ya Ileje, mkoani Mbeya, imetangaza kuvisaidia vijiji vinne ili vizalishe mpunga kuanzia mwakani.

 

11 years ago

GPL

MKURUGENZI TANZANIA AWAELEZA WAMAREKANI UKOMBOZI WA WAKULIMA

Mkurungezi wa kampuni ya EA fruits ltd Elia Timothea akitoa presentation yake huko marekani kuhusu mradi wake wa kilimo kwa ajili ya kuwakomboa wakulima wa tanzania na afrika mashariki.

 

10 years ago

Michuzi

MKURUGENZI MTENDAJI WA NBC AKUTANA NA KUAFANYA MAZUNGMZO NA WATEJA WAO

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC Tanzania, Edward Marks (kushoto), akisalimiana na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) , Rished Bade (kulia) katika hafla iliyoandaliwa na benki hiyo kwa wateja wake, baadhi ya wafanyabiashara na watendaji kutoka taasisi mbalimbali ili kufahamiana. Hafla hiyo iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana. Katikati ni Ofisa Fedha Mkuu wa NBC, Jaffari Matundu. Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC Tanzania, Edward Marks (wa pili kulia), akizungumza na...

 

10 years ago

Michuzi

KONYAGI WATEMBELEA MASHAMBA YA WAKULIMA WA ZABIBU DODOMA AMBAO WATOTO WAO WANAFADHILIWA KIMASOMO

 Mratibu wa Mpango wa Kampuni ya Konyagi wa kuwasomesha watoto wa wakulima wa zao la zabibu kwa masomo ya Sekondari Saimon Chibehe (katikati), akitembelea hivi karibuni shamba la zabibu la Festo Kuziganika katika Kijiji cha Mbabara, mkoani Dodoma. Kulia ni mmoja wa wakulima wa eneo hilo, Juliana Masukwi. Watoto wa wakulima hao wameingizwa kwenye mpango huo.
 Festo Kuziganika mkazi na mkulima wa zabibu katika katika Kijiji cha Mbabara, Manispaa ya Dodoma akimuelekeza jambo Mratibu wa Mpango wa...

 

11 years ago

GPL

INJINIA MANYANYA: SITASITA KUWAONDOA WATUMISHI, WAKUU WA IDARA WANAOWACHONGANISHA MADIWANI NA MKURUGENZI WAO

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Injinia Stella Manyanya akizungumza katika kikao cha baraza la madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga kilichofanyika jana tarehe 25 Januari 2014 katika ukumbi wa Halmashauri hiyo uliopo Sumbawanga Mjini.  Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga Methew Sedoyyeka akizungumza katika kikao…

 

11 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: WAKULIMA WA MELELA, MOROGORO WAFUNGA BARABARA KUSHINIKISHA KUKUTANA NA MKUU WA MKOA WAO

Mabomu ya machozi yametumika kuwatawanya wakulima wa eneo la Melela, Mvomero mkoani Morogoro waliokuwa wamefunga barabara ya Iringa - Morogoro wakimtaka Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera aende kusuluhisha mgogoro uliopo baina yao na wafugaji. 
Wakulima hao ambao wanalima katika Mashamba yaliopo eneo la Mkangazi,Wilayani Mvomero,walilazimika kufunga barabara hiyo ili iwe shinikizo la kufika kwa Mkuu huyo wa Mkoa na kuwasikiliza ikiwezekana kutatua kabisa tatizo lao.
Wakulima hao...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani