Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UVCCM Arusha wamtimua katibu wao

Baraza Kuu la Jumuiya ya Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) mkoani hapa limemtimua katibu wake wa mkoa, Gerald Mwadalu kwa tuhuma za ubadhirifu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

BARAZA LA VIJANA UVCCM MKOANI ARUSHA WALAKUTANA KUMJADILI NAIBU KATIBU UVCCM MKOA HUO

???????????????????????????????
Mwenyekiti UVCCM mkoa wa Arusha Robinson Meitinyiku akitoa taarifa ya ufafanuzi kwa waandishi wa habari juu ya taarifa za upotoshaji zilizotolewa na baadhi ya vyombo vya habari na baadhi ya viongozi wa UVCCM mkoani hapa. Ambao Mkutano huo ulitanguliwa na Kikao cha Baraza la UVCCM Mkoa wa Arusha waliaofikiana kutoa maamuzi juu ya mgogoro wao na Kaimu Katibu wa UVCCM Mkoa wa Arusha Gerald Mwadalu anayetuhumiwa kufunga ofisi na matumizi mabaya ya fedha za umoja huo.

???????????????????????????????
Katibu wa UVCCM wilaya ya...

 

11 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA UVCCM AFANYA ZIARA MKOA WA ARUSHA

six14Katibu mkuu wa UVCCM Taifa na mjumbe wa baraza la katiba Sixtus Mapunda akiendelea na ujenzi katika uwanja wa michezo wa st.Benjamin uliopo Usa river kwa ufadhili wa edinburgh global partnerships na YES Tanzania katika ziara yake ya kwanza ya kikazi ya siku tatu katika Mkoa wa Arusha.

 six12Katibu mkuu wa UVCCM Taifa na mjumbe wa baraza la katiba Sixtus Mapunda akimkabidhi cheti mmoja wa wa vijana waliojitolea katika mradi wa ujenzi wa kiwanja cha michezosix11Hapa viongozi na wadau wakishuhudia...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakulima wamtimua mkurugenzi wao

CHAMA cha Wakulima Tanzania (TFA), kimepata hasara ya sh bilioni 5 kwa kipindi cha miaka 10 mfululizo kutokana na viongozi wa bodi kuwa na matumizi mabaya ya fedha na kujiidhinishia...

 

11 years ago

GPL

WAJUMBE UVCCM MORO WAMKATAA MWENYEKITI WAO

Baadhi ya wajumbe wa UVCCM kutoka wilaya mbalimbali za mkoa wa Morogoro wakiwa na mabango ya kumkataa Mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Morogoro Herieth Sutta anayedaiwa kushindwa…

 

10 years ago

Habarileo

Katibu UVCCM Arumeru afa ajalini

SIKU chache baada ya Halmashauri ya Wilaya ya Arumeru kupoteza watumishi kadhaa wa Idara ya Elimu akiwemo Ofisa Elimu wake katika ajali iliyohusisha basi dogo la abiria na lori la mafuta, Arumeru imepata msiba mwingine baada ya jana Katibu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) wilayani humo kufa ajalini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Katibu UVCCM amkaanga Maalim Seif

UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Zanzibar umekitaka Chama cha Wananchi (CUF) kuwa jasiri kwa kumtaka Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim  Seif Sharrif Hamad, ajiuzulu. Kauli...

 

9 years ago

Michuzi

UVCCM ZANZIBAR WAOMBA KUPATIWA MRITHI WA MZEE KINGUNGE KUNOGESHA USHINDI WAO

 Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Mfenesini-Unguja ndugu Mbarouk Mrakib katikati akizungumza na Waandishi wa habari huko ofisini kwake Bububu kuhusu mambo mbali mbali ikiwa ni pamoja na kuomba kupatikana kwa Kamanda Mpya wa UVCC Taifa baada ya Mzee Kingunge kuvuliwa Ukamanda huo. Kulia kwake ni Kamanda wa UVCCM Wilaya ya Mfenesini Canal Msaafu Masoud Ali Khamis na kushoto ni Mjumbe wa Kamati tendaji UVCCM Wilaya Khadija Ramadhan Abdu. Picha na Faki Mjaka- Maelezo Zanzibar. Mwenyekiti wa UVCCM...

 

10 years ago

Mwananchi

Katibu UVCCM Meru afariki kwa ajali

  Katibu wa Umoja wa Vijana wa CCM (Uvccm) Wilaya ya Meru, Lucy Bongele amefariki dunia na watu wengine watatu kujeruhiwa katika ajali ya gari iliyotokea jana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani