Katibu UVCCM Meru afariki kwa ajali
 Katibu wa Umoja wa Vijana wa CCM (Uvccm) Wilaya ya Meru, Lucy Bongele amefariki dunia na watu wengine watatu kujeruhiwa katika ajali ya gari iliyotokea jana.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi11 Dec
KATIBU UVCCM MERU AMEFARIKI KWA AJALI
 Katibu wa Umoja wa Vijana wa CCM (Uvccm) Wilaya ya Meru, Lucy Bongele amefariki dunia na watu wengine watatu kujeruhiwa katika ajali ya gari iliyotokea jana.
 Mwenyekiti wa CCM mkoa, Onesmo ole Nangole alisema kuwa ajali hiyo ilitokea eneo la Kimba, Ngorongoro na kuwataja waliojeruhiwa kuwa ni pamoja na Katibu wa Uvccm mkoa, Mwajuma Rashid na dereva wao, Omar Mzava.
 Ajali hiyo ilitokea wakati katibu huyo akiwa ameambatana na viongozi wenzake kwenda kumsimika Kamanda wa Uvccm...
10 years ago
Michuzi21 Aug
BARAZA LA VIJANA UVCCM MKOANI ARUSHA WALAKUTANA KUMJADILI NAIBU KATIBU UVCCM MKOA HUO
![???????????????????????????????](http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/08/ccm-4-robinson1.jpg?w=300&h=225)
Mwenyekiti UVCCM mkoa wa Arusha Robinson Meitinyiku akitoa taarifa ya ufafanuzi kwa waandishi wa habari juu ya taarifa za upotoshaji zilizotolewa na baadhi ya vyombo vya habari na baadhi ya viongozi wa UVCCM mkoani hapa. Ambao Mkutano huo ulitanguliwa na Kikao cha Baraza la UVCCM Mkoa wa Arusha waliaofikiana kutoa maamuzi juu ya mgogoro wao na Kaimu Katibu wa UVCCM Mkoa wa Arusha Gerald Mwadalu anayetuhumiwa kufunga ofisi na matumizi mabaya ya fedha za umoja huo.
![???????????????????????????????](http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/08/ccm-6.jpg?w=300&h=225)
Katibu wa UVCCM wilaya ya...
10 years ago
Mwananchi11 Feb
Mwenyekiti UVCCM kizimbani kwa kumtwanga makonde katibu wake
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Vijana Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Wilaya ya Misungwi, Mkoa wa Mwanza, Mansoor Mohamed (25) amefikishwa Mahakama ya Wilaya kwa tuhuma za shambulio la kudhuru mwili.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/WXKQIZtETdQAciz*2iv7x5iHL9ePwDXLCFvFrJfnES0759uDsdzXHH1AdpOMai1IulKgBkRsu*6Bx*GeMsN9hIiXiqlZelz9/munroe.jpg)
DK MUNROE AFARIKI DUNIA KWA AJALI
Dk. Myles Munroea akiwa na mkewe Ruth enzi za uhai wao. KIONGOZI wa Bahamas Faith Ministries, Dk. Myles Munroe, mkewe Ruth na watu wengine saba wamefariki dunia katika ajali ya ndege jana huko Bahamas. Katika ajali hiyo, ndege ndogo waliyokuwa wakisafiria iligonga winchi na kulipuka wakati ikiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Grand Bahama. Dk. Munroe ambaye pia alikuwa mzungumzaji maarufu wa mambo ya uongozi na...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Iumatxx-0jyNmmBm8AqbdES-PyD-99*Mp4zNktCD653L3Yy*rooq0ZlxeTluggbH04uQbXKe-XKkw1Sa55pNwqQCiOxE7UuP/msanii.jpg?width=650)
MSANII BONGO MUVI AFARIKI KWA AJALI
Stori: Gladness Mallya TASNIA ya filamu Bongo imepata pigo tena baada ya msanii aliyekuwa akichipukia kwa kasi, Patrick August ‘Bryton’ kufariki dunia kwa ajali mbaya ya pikipiki.Akizungumza na paparazi wetu, Mwenyekiti wa Sherehe na Maafa kwa wasanii wa Wilaya ya Kinondoni, Masoud Kaftany alisema Bryton alipata ajali usiku wa kuamkia Jumapili maeneo ya Tabata - Relini wakati akirejea kwao maeneo ya Tabata -...
9 years ago
Mwananchi26 Oct
Msimamizi wa Uchaguzi kata ya Pagwi afariki kwa ajali
Msimamizi wa Uchaguzi kata ya Pagwi wilayani Kilindi Rajabu Nkungua amefariki dunia baada ya gari alilokuwa akitumia kusafirisha kura kutoka ngazi kwenda halmashauri kupinduka.
9 years ago
Mwananchi04 Oct
Mchungaji Mtikila afariki kwa ajali ya gari Chalinze
Mwanasiasa mkongwe na Mwenyekiti wa Chama cha DP, Mchungaji Christopher Mtikila amefariki dunia leo alfajiri kwa ajali ya gari katika Kijiji cha Msolwa, Chalinze, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Jaffar Mohamed amethibitisha.
10 years ago
CloudsFM10 Nov
MHUBIRI WA KIMATAIFA DK MUNROE AFARIKI DUNIA KWA AJALI YA NDEGE
Katika ajali hiyo, ndege ndogo waliyokuwa wakisafiria iligonga winchi na kulipuka wakati ikiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Grand Bahama.
Dk. Munroe ambaye pia alikuwa mzungumzaji maarufu wa mambo ya uongozi na biashara duniani, Oktoba 21, mwaka huu alitoa somo kwa viongozi mbalimbali nchini katika mkutano wake mkubwa uliofanyika...
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/mwatuka.jpg)
MBUNGE WA VITI MAALUM CUF, CLARA MWATUKA AFARIKI KWA AJALI
Clara Mwatuka enzi za uhai wake. Aliyekuwa Mbunge wa Viti maalumu kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Clara Mwatuka, amefariki dunia leo Jumapili jioni baada ya gari lake alilokuwa akisafiria kupinduka lilipokuwa linashuka eneo la Makonde Plateu kuelekea Ndanda, Masasi mkoani Mtwara. Gari alilopata nalo ajali marehemu Mwatuka. Gari ilikuwa inaendeshwa na dereva wake, ambaye inasemekana ni mwanaye. Maiti ya marehemu Mwatuka...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania