KATIBU UVCCM MERU AMEFARIKI KWA AJALI
 Katibu wa Umoja wa Vijana wa CCM (Uvccm) Wilaya ya Meru, Lucy Bongele amefariki dunia na watu wengine watatu kujeruhiwa katika ajali ya gari iliyotokea jana.  Mwenyekiti wa CCM mkoa, Onesmo ole Nangole alisema kuwa ajali hiyo ilitokea eneo la Kimba, Ngorongoro na kuwataja waliojeruhiwa kuwa ni pamoja na Katibu wa Uvccm mkoa, Mwajuma Rashid na dereva wao, Omar Mzava.  Ajali hiyo ilitokea wakati katibu huyo akiwa ameambatana na viongozi wenzake kwenda kumsimika Kamanda wa Uvccm...
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi12 Dec
Katibu UVCCM Meru afariki kwa ajali
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Vf77AmMaeXvlaSGV2VWSwInsKnvSagOkIGI5UaRcTQzo00tifTYfyyaIFXl4H67ncRvHUTRm2RFtkvF4A3QQofDbFUZgNu-T/ccm.jpg?width=450)
DIWANI WA KATA YA NYIDA SHINYANGA (CCM) AMEFARIKI KWA AJALI YA PIKIPIKI
10 years ago
Michuzi21 Aug
BARAZA LA VIJANA UVCCM MKOANI ARUSHA WALAKUTANA KUMJADILI NAIBU KATIBU UVCCM MKOA HUO
![???????????????????????????????](http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/08/ccm-4-robinson1.jpg?w=300&h=225)
Mwenyekiti UVCCM mkoa wa Arusha Robinson Meitinyiku akitoa taarifa ya ufafanuzi kwa waandishi wa habari juu ya taarifa za upotoshaji zilizotolewa na baadhi ya vyombo vya habari na baadhi ya viongozi wa UVCCM mkoani hapa. Ambao Mkutano huo ulitanguliwa na Kikao cha Baraza la UVCCM Mkoa wa Arusha waliaofikiana kutoa maamuzi juu ya mgogoro wao na Kaimu Katibu wa UVCCM Mkoa wa Arusha Gerald Mwadalu anayetuhumiwa kufunga ofisi na matumizi mabaya ya fedha za umoja huo.
![???????????????????????????????](http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/08/ccm-6.jpg?w=300&h=225)
Katibu wa UVCCM wilaya ya...
10 years ago
Mwananchi11 Feb
Mwenyekiti UVCCM kizimbani kwa kumtwanga makonde katibu wake
10 years ago
Dewji Blog17 Nov
Dkt. Adelhelm James Meru aapishwa kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii
Makamu wa Rais wa Tanzania, Mhe. Dkt. Gharib Bilal (kushoto) akimuapisha Dkt. Adelhelm Meru kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii leo Ikulu jijini Dar es Salaam.
Dkt. Adelhelm Meru (kulia) akila kiapo kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii leo Ikulu jijini Dar es Salaam.
Dkt. Adelhelm Meru (kulia) akiweka saini katika Kitabu mara baada ya kuapishwa kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii leo Ikulu jijini Dar es Salaam.
Makamu wa Rais wa Tanzania, Mhe....
11 years ago
Tanzania Daima04 Mar
Katibu UVCCM amkaanga Maalim Seif
UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Zanzibar umekitaka Chama cha Wananchi (CUF) kuwa jasiri kwa kumtaka Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Sharrif Hamad, ajiuzulu. Kauli...
10 years ago
Habarileo03 Nov
Katibu UVCCM Arumeru afa ajalini
SIKU chache baada ya Halmashauri ya Wilaya ya Arumeru kupoteza watumishi kadhaa wa Idara ya Elimu akiwemo Ofisa Elimu wake katika ajali iliyohusisha basi dogo la abiria na lori la mafuta, Arumeru imepata msiba mwingine baada ya jana Katibu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) wilayani humo kufa ajalini.
10 years ago
Mwananchi22 Aug
UVCCM Arusha wamtimua katibu wao
10 years ago
Habarileo12 Dec
Katibu Mkuu UVCCM ziarani Kanda ya Ziwa
KATIBU Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa CCM na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC), Sixtus Mapunda anatarajia kufanya ziara ya siku nne (14) katika mikoa minne ya Kanda ya Ziwa, ambayo ni Tabora, Shinyanga, Geita na Kagera kuanzia leo.