Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwenyekiti UVCCM kizimbani kwa kumtwanga makonde katibu wake

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Vijana Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Wilaya ya Misungwi, Mkoa wa Mwanza, Mansoor Mohamed (25) amefikishwa Mahakama ya Wilaya kwa tuhuma za shambulio la kudhuru mwili.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Katibu wa CUF Maalim Seif Akanusha kuhama kwa Mwenyekiti wake Mhe Pro. Ibrahim Lipumba.

Katibu Mkuu wa CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akihutubia kwenye mkutano Mkuu wa Chadema uliofanyika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, amekanusha taarifa za kujiuzulu kwa Mwenyekiti wa Chama hicho Profesa Ibrahim Haruna Lipumba.

Amesema akiwa Katibu Mkuu wa Chama hicho, hajapokea taarifa zozote za kujiuzulu kwa Prof. Lipumba, na kwamba hadi saa nne za usiku wa jana Jumatatu ya tarehe 03/08/2015, alikuwa na...

 

10 years ago

Michuzi

Makamu Mwenyekiti wa UVCCM achaguliwa kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana Afrika Kanda ya Afrika Mashariki

 Makamu Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM),Mboni Mhita (katikati) akizungumza na waandishi (hawapo pichani) pamoja na baadhi ya vijana wa Mkoa wa Dar es salaam leo,juu ushindi wake alioupata katika Uchaguzi wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana Barani Afrika,ambapo yeye amechaguliwa kuwa Katibu Mkuu wa Umoja huo kwa upande wa Afrika Mashariki.Uchaguzi huo ulifanyika Mwishoni mwa mwezi uliopita katika Jiji la Johannesburg,nchini Afrika Kusini.Kushoto ni Naibu Katibu Mkuu wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Katibu CCK amruka mwenyekiti wake

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Kijamii (CCK), Kassimu Mtalam, amemtaka Mwenyekiti wa chama hicho, Constantine Akitanda, kuacha kutoa matamshi ya upotoshaji kuhusu Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), kwani hajatumwa...

 

10 years ago

Michuzi

BARAZA LA VIJANA UVCCM MKOANI ARUSHA WALAKUTANA KUMJADILI NAIBU KATIBU UVCCM MKOA HUO

???????????????????????????????
Mwenyekiti UVCCM mkoa wa Arusha Robinson Meitinyiku akitoa taarifa ya ufafanuzi kwa waandishi wa habari juu ya taarifa za upotoshaji zilizotolewa na baadhi ya vyombo vya habari na baadhi ya viongozi wa UVCCM mkoani hapa. Ambao Mkutano huo ulitanguliwa na Kikao cha Baraza la UVCCM Mkoa wa Arusha waliaofikiana kutoa maamuzi juu ya mgogoro wao na Kaimu Katibu wa UVCCM Mkoa wa Arusha Gerald Mwadalu anayetuhumiwa kufunga ofisi na matumizi mabaya ya fedha za umoja huo.

???????????????????????????????
Katibu wa UVCCM wilaya ya...

 

11 years ago

Michuzi

MWENYEKITI NA KATIBU WAKE CHADEMA MJINI KIOMBOI WILAYANI IRAMBA WAACHIA NGAZI.

Pichani Kati ni Mwenyekiti wa CHADEMA kata ya Shati,Wilayani Iramba,Bwa Ezekiel Makala  akionesha kadi yake na kutangaza kujiunga na chama cha CCM,kwenye mkutano wa hadahara uliofanyika kwenye stendi ya mabasi ya Kiomboi,wilayani Iramba mkoani Singida,shoto ni Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana na kulia ni Mbunge wa Jimbo la Iramba Magharibi na Naibu Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Mwigulu Nchemba wakishuhudia kwa pamoaja.
Kinana ameambatana na Katibu wa NEC Itikad,siasa na Uenezi Nape...

 

10 years ago

Mwananchi

KATIBU UVCCM MERU AMEFARIKI KWA AJALI

  Katibu wa Umoja wa Vijana wa CCM (Uvccm) Wilaya ya Meru, Lucy Bongele amefariki dunia na watu wengine watatu kujeruhiwa katika ajali ya gari iliyotokea jana.  Mwenyekiti wa CCM mkoa, Onesmo ole Nangole alisema kuwa ajali hiyo ilitokea eneo la Kimba, Ngorongoro na kuwataja waliojeruhiwa kuwa ni pamoja na Katibu wa Uvccm mkoa, Mwajuma Rashid na dereva wao, Omar Mzava.  Ajali hiyo ilitokea wakati katibu huyo akiwa ameambatana na viongozi wenzake kwenda kumsimika Kamanda wa Uvccm...

 

10 years ago

Mwananchi

Katibu UVCCM Meru afariki kwa ajali

  Katibu wa Umoja wa Vijana wa CCM (Uvccm) Wilaya ya Meru, Lucy Bongele amefariki dunia na watu wengine watatu kujeruhiwa katika ajali ya gari iliyotokea jana.

 

11 years ago

Mwananchi

Mwenyekiti wa CCM Dar kizimbani kwa tuhuma za kusambaza ARV feki

Mwenyekiti wa CCM, Mkoa wa Dar es Salaam ambaye pia ni Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kiwanda cha Tanzania Pharmaceutical Ltd cha Dar es Salaam (TPI), Ramadhani Madabida na wenzake watano wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashtaka matano likiwamo la kusambaza dawa bandia na kusababisha hasara ya Sh148.3 milioni.

 

5 years ago

Michuzi

MWENYEKITI BAVICHA KIZIMBANI KWA TUHUMA ZA KUSAMBAZA NYARAKA, VIDEO ZA NGONO

Na Karama Kenyunko, Michuzi TVMWENYEKITI wa Baraza la Vijana wa Chadema (BAVICHA), Mkoa wa Kilimanjaro, Lemruce Mchome (30) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashitaka ya kusambaza nyaraka za ngono na video kwa nia ya kuleta ashki za ngono kinyume na sheria.
Mchome ambaye ni Mkazi wa Kisaranga wilayani Mwanga mkoani Kilimanjaro na pia ni Katibu wa Chadema wilayani humo, amefikishwa mahakamani hapo leo Mei 20,2020 na kusomewa kesi hiyo namba 77/2020 mbele ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani