MWENYEKITI NA KATIBU WAKE CHADEMA MJINI KIOMBOI WILAYANI IRAMBA WAACHIA NGAZI.

Pichani Kati ni Mwenyekiti wa CHADEMA kata ya Shati,Wilayani Iramba,Bwa Ezekiel Makala akionesha kadi yake na kutangaza kujiunga na chama cha CCM,kwenye mkutano wa hadahara uliofanyika kwenye stendi ya mabasi ya Kiomboi,wilayani Iramba mkoani Singida,shoto ni Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana na kulia ni Mbunge wa Jimbo la Iramba Magharibi na Naibu Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Mwigulu Nchemba wakishuhudia kwa pamoaja.
Kinana ameambatana na Katibu wa NEC Itikad,siasa na Uenezi Nape...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
10 years ago
VijimamboMWENYEKITI WA CHADEMA IRINGA MJINI AINGIA MATATANI TENA, AMTUKANA MWENYEKITI WAKE WA MKOA, ASHITAKIWA
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Iringa Mustapher Msowela amemshitaki mwenyekiti wa chama hicho jimbo la Iringa Mjini, Frank Nyalusi ambaye jana jeshi la Polisi lilifanikiwa kumtia nguvuni kabla ya kuachiwa kwa dhamana.Nyalusi aliyeshitakiwa katika kituo cha Polisi cha kati cha mjini Iringa jana, anatuhumiwa kumtusi...
11 years ago
Michuzi
KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA AWASILI WILAYANI IRAMBA LEO,AENDELEA NA ZIARA YAKE

10 years ago
Mwananchi12 Aug
Wenyeviti watatu CCM waachia ngazi
11 years ago
Tanzania Daima03 Jul
Katibu CCK amruka mwenyekiti wake
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Kijamii (CCK), Kassimu Mtalam, amemtaka Mwenyekiti wa chama hicho, Constantine Akitanda, kuacha kutoa matamshi ya upotoshaji kuhusu Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), kwani hajatumwa...
10 years ago
Mwananchi11 Feb
Mwenyekiti UVCCM kizimbani kwa kumtwanga makonde katibu wake
11 years ago
Michuzi15 Sep
MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU WA CHADEMA TAIFA 2014:FREEMAN MBOWE ASHINDA NAFASI YA MWENYEKITI CHADEMA TAIFA, PROFESA ABDALLAH SAFARI MAKAMU MWENYEKITI WA CHADEMA BARA



11 years ago
Michuzi
ZIARA YA KATIBU MKUU YA CCM,NDUGU KINANA YAIBOMOA NGOME YA CHADEMA WILAYANI LUSHOTO.



10 years ago
Vijimambo
KATIBU MKUU BARAZA LA VIJANA TAIFA CHADEMA AKABIDHI KADI KWA MWENYEKITI WA KIJIJI
