Wenyeviti watatu CCM waachia ngazi
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana (UVCCM), Manispaa ya Bukoba, Chifu Karumuna amebwaga manyanga na kujiunga na Chadema.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-110kPA_vu1E/U3-RtZknanI/AAAAAAACh_o/Yhcq1bwUATI/s72-c/8.jpg)
MWENYEKITI NA KATIBU WAKE CHADEMA MJINI KIOMBOI WILAYANI IRAMBA WAACHIA NGAZI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-110kPA_vu1E/U3-RtZknanI/AAAAAAACh_o/Yhcq1bwUATI/s1600/8.jpg)
Kinana ameambatana na Katibu wa NEC Itikad,siasa na Uenezi Nape...
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2013/12/109.jpg?width=600)
TAMKO LA WENYEVITI WA CCM-MIKOA LA KUMPONGEZA KATIBU MKUU WA CCM NDG. ABDULRAHAMAN OMAR KINANA NA SEKRETARIETI YA CCM TAIFA
5 years ago
BBCSwahili10 Mar
Kukamatwa kwa wanamfalme wa ngazi ya juu watatu wa Saudia kuna maana gani?
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-VQ67_j7lens/UzJMLnpouAI/AAAAAAACdcc/qNbr7BJegtc/s72-c/a652Samuel-Sitta.jpg)
SITTA ATANGAZA MAJINA YA WENYEVITI NA MAKAMU WENYEVITI KAMATI ZA BUNGE MAALUM LA KATIBA
![](http://3.bp.blogspot.com/-VQ67_j7lens/UzJMLnpouAI/AAAAAAACdcc/qNbr7BJegtc/s1600/a652Samuel-Sitta.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima07 Feb
Wenyeviti CCM watishia kuhama
WENYEVITI wa serikali za mitaa nane kati ya 11 kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Manispaa ya Morogoro wametishia kujitoa katika chama hicho endapo chama hicho hakitamuomba radhi Diwani wa...
9 years ago
Mtanzania07 Dec
Wenyeviti CCM wapongeza kasi ya Magufuli
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
WENYEVITI wa Mikoa wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wamempongeza kwa dhati Rais Dk. John Magufuli kwa kasi ya utendaji wake.
Kwa mujibu wa wenyeviti hao, kasi ya Rais Magufuli hasa ya kuwachukulia hatua watendaji wanaoshindwa kutekeleza majukumu yao ni kazi inayokwenda sambamba na utekelezaji wa ilani ya chama hicho.
Pongezi hizo zimetolewa Mwenyekiti wa Wanyeviti wa Mikoa wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Ramadhani Madabida alipozungumza na waandishi wa habari,...
9 years ago
Mwananchi07 Dec
Wenyeviti CCM waridhishwa kasi ya Magufuli
10 years ago
Habarileo25 Oct
Apwanga bosi mpya wenyeviti CCM Masasi
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika kata ya Jida Masasi Mjini, Juma Issa Apwanga amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Wenyeviti wa Kata wa CCM wilayani Masasi.