Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kukamatwa kwa wanamfalme wa ngazi ya juu watatu wa Saudia kuna maana gani?

Kuondolewa mamlakani kwa ndugu wa karibu wa mwanamfalme wa Saudi Arabia kumechochea tetesi na uvumi mwingi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kuna maana gani kupoteza mabilioni haya kwa Katiba?

Bado najiuliza na sipati majibu kwamba, inakuwaje tuteketeze Sh100 bilioni kutengeneza Katiba Mpya ya wananchi inayotokana na maoni ya wananchi wakati watawala walishaweka msimamo wao?

 

11 years ago

Tanzania Daima

Magoti kwa Manji yana maana gani?

GUMZO kubwa katika medani ya soka ndani ya wiki iliyopita ni hatua ya baadhi ya wanachama wa klabu ya Yanga, wakiongozwa na Bakili Makele, kumwomba Mwenyekiti wao, Yusuf Manji abatilishe...

 

5 years ago

BBCSwahili

Asayel Slay: Mwanamuzi wa kike Saudia kukamatwa kwa video aliotoa ya wasichana wa Mecca

Gavana wa Mecca anasema video ya Asayel Slay ni "matusi kwa mji huo".

 

5 years ago

BBCSwahili

Je ushindi wa upinzani Malawi una maana gani kwa demokrasia Afrika?

Uchaguzi huu wa Malawi unairejesha tena nchi hiyo katika njia ya matumaini panapohusika suala zima la demokrasia na utawala bora.

 

5 years ago

BBCSwahili

Kuna umuhimu gani kwa wanawake wa Uganda kupiga magoti wakisalimia na kukaribisha chakula

Nchini Uganda, wanawake wa jamii ya Buganda na huwa wana utaratibu wa kupiga magoti wakati wanapoandalia watu chakula na wanaposalimia

 

11 years ago

BBCSwahili

Uhuru una maana gani?

Thailand ndio nchi ya tatu duniani inayoongoza kwa kusafirisha nje mazao ya baharini.Je unajua kama mabaharia wengi ni watumwa?

 

11 years ago

BBCSwahili

Uhuru una maana gani kwako?

Ikiwa ni msimu maaalum ambapo BBC inaangazia maswala ya uhuru tuliwaomba wasomaji wa habari kwenye mtandao kutuma picha zinazoonyesha maoni yao ya uhuru.

 

10 years ago

Vijimambo

"Kuna Tatizo gani Lipumba Kupigwa Nawapongeza sana Polisi kwa Kumpiga"Hii ni kauli ya Lusinde Bungeni

Kulikuwa na mvutano mkali sana bungeni wakati wabunge wakijadili hoja ya Lipumba kupigwa. Hapo chini nimekuwekea michango ya Lusinde na Sadifa waliyoitoa Bungeni:Lusinde: Kwani kupigwa Lipumba ndiyo tatizo, wamepigwa viongozi wangapi hapa, Lipumba siyo wa kwanza kupigwaLusinde: Nawapongeza Polisi safari hii kapigwa muhusika mwenyewe, ndiyo nzuri hiyo, siyo wapigwe wengine, kupigwa kazini ndiyo sawa
Lusinde: Bunge linapokwenda mwishoni wabunge wenye hali mbaya majimboni...

 

5 years ago

Michuzi

MBUNGE CHADEMA ASEMA UAMUZI WA LOCKDOWN HAUKUWA WA MAANA, AHOJI HIVI RAIS ATOE MAAMUZI YA KUUA WATANZANIA WENGI KWA AJILI YA CORONA ILI APATE FAIDA GANI

Na Said Mwishehe, Michuzi TV.
WAKATI Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema) kikiwa kwenye mpasuko baada ya baadhi ya wabunge wake kukaidi agizo la Chama hicho kuwataka kutohudhuria Bunge na kisha kukaa 14 kama sehemu ya kujilinda na virusi vya Corona limechukua sura mpya baada ya Mbunge wa Kilombero kwa tiketi ya Chama hicho Peter Lijualikali kuelezea hatua kwa hatua madhara ya Lockdown kwa Watanzania na namna ambavyo aliamua kutokubaliana na uamuzi huo kwa maslahi ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani